WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Saturday, February 25, 2012

MANDELA IN "SATISFACTORY CONDITION" AFTER OPERATION

Johannesburg (CNN) -- South African anti- apartheid icon Nelson Mandela successfully underwent hernia surgery Saturday, a family member told CNN Saturday. Mandela was "comfortable" and in "a satisfactory condition" Saturday, said the South African president, who referred to the medical event only as "a planned procedure." The 93-year-old likely will be discharged within the next two days, a Mandela relative told CNN. Considered the founding father of South Africa's democracy, Mandela became an international figure when he endured 27 years in prison for fighting racial segregation. He was freed in 1990, and three years later, he and then-South African President F.W. de Klerk won the Nobel Peace Prize. In 1994, Mandela was elected president, serving only one term as he had promised. On Saturday, President Jacob Zuma said Mandela was being treated for a "longstanding abdominal complaint." The president referred to Mandela by his affectionate clan name Madiba. "Madiba is fine and fully conscious and the doctors are satisfied with his condition, which they say is consistent with his age," Zuma said in a statement Saturday afternoon. "He was in good health before admission in hospital but doctors felt the complaint needed a thorough investigation. He underwent a diagnostic procedure as part of his ongoing medical management. We are happy that he is not in any danger and thank the doctors for their hard work and professionalism," Zuma said. A government official assured the public that Mandela's hospital stay was not an emergency. "People need not panic. This was planned ... Mandela has had abdominal pains for sometime," said Keith Khoza, a spokesman for the ruling African National Congress. Officials and family declined to name the hospital where the former president is undergoing treatment. Mandela last appeared in public in the closing ceremonies of the 2010 World Cup in South Africa. He was hospitalized last year for treatment of an acute respiratory infection, and continued to receive treatment at home after doctors discharged him. Despite his rare appearances, Mandela retains his popularity and is considered a hero of democracy here. He spent 27 years in prison after being convicted of sabotage and attempts to overthrow the former apartheid regime. In a life fighting the racism of apartheid he went from being considered a terrorist to jailed freedom fighter to nation builder to elder statesman respected in the world's capitals. Clint Eastwood's 2009 film "Invictus," starring Morgan Freeman as Mandela, dramatizes Mandela's nation-healing presidency in the 1990s. Mandela relocated to his childhood town of Qunu last year, but moved back to his Johannesburg home earlier this year. At the time, Zuma said the move was because the home in his boyhood town was undergoing maintenance. Members of the public can send messages to Mandela through President Zuma to president@po.gov.za, officials said.

Friday, February 24, 2012

ARSHAVIN, SAMBA WAKIMBILIA RUSSIA

Arshavin amejiunga na klabu yake ya zamani ya Zennit Petrsburg ya Urusi kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu, mchezaji huyo ambae alikuwa akiipigia klabu hiyo kabla ya kuhamia Arsenal amalazimika kuchukua maamuzi hayo baada ya nafasi yake katika kikosi cha kwanza kuwa ngumu klabuni hapo tangu kuwasili kwa Gevinho toka Lille mwanzoni mwa msimu, ili kujihakikishia nafasi ya kuichezea timu yake ya Taifa katika michuano ya Ulaya mwezi Juni imembidi Arshavin kufanya hivyo
Wakati huo huo beki wa klabu ya Blackburn Rivers ya Uingereza Chriss Samba amejiunga na Matajiri wa Urusi Anzhi Makachkalla kwa uhamisho wa ada ambayo haijawekwa bayana.

Wednesday, February 22, 2012

ARSENAL & TOTTENHAM ZAONYA MASHABIKI WAKE

Timu za soka zinazotokea katika jiji la London na zilizo katika Big 4 ya ligi kuu ya England zimewaonya mashabiki wake kujiepusha na vitendo vya kibaguzi katika kuelekea mchezo mkali kabisa utakaozikutanisha timu hizo siku ya jumapili.
Katika mchezo huo Mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo Emmanuel Adebayor atakuwa akirejea kwa mara ya kwanza toka ajiunge na Tottenham Hotspurs kwa mkopo akitokea Manchester City. Adebayor ambae anatarajia mapokezi mabaya katika uwanja wa Emirates amekuwa katika kiwango bora kabisa msimu huu mara baada ya kutolewa kwa mkopo kwa Real Madrid msimu uliopita na sasa akiichezea Tottenham ambapo katika mcchezo uliopita ambao Tottenham iliifunga timu ngumu ya Newcastle 5 - 0, Adebayor alihusika katika utengenezaji wa magoli manne na yeye kufunga moja.
Kauli toka kwa klabu hizo imekuja mara baada ya Waziri mkuu wa England Mh David Cameron kutoa karipio kali juu ya vitendo vya kibaguzi katika soka hapo jana katika mkutano dhidi yake na chama cha soka cha Uingereza FA, Cameron alisema kama jambo hilo lisiposhughulikiwa kwa ufasaha litaurudisha mchezo wa soka nyuma katika miaka ambapo ubaguzi ulishamiri.

Tuesday, February 21, 2012

WARAKA WA SIRI TOKA KWA MH. HARRISON MWAKYEMBE

AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harrison Mwakyembe, ameandika waraka mahususi unaoeleza kile anachokiamini kuwa ni chanzo cha ugonjwa wake, Tanzania Daima Jumatano limebaini. Waraka huo ambao gazeti hili limeuona mbali ya kueleza kile ambacho Mwakyembe mwenyewe anaamini kuwa ni chanzo cha ugonjwa wake, unaeleza pia jinsi alivyoanza kuugua, watu anaowashuku kuwa nyuma ya mpango huo, siku na tarehe aliyodhani kuwa ndiyo aliyowekewa sumu hiyo. Kama hiyo haitoshi, Mwakyembe katika waraka wake huo pasipo kueleza chanzo halisi cha undani wa taarifa zake, anaeleza mbinu iliyotumika kumdhuru na mahala mpango huo wa kumdhuru ulipopangwa. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kwamba Dk. Mwakyembe ambaye kwa sasa yuko nchini India ameusambaza waraka huo kwa ndugu, jamaa na marafiki zake wa karibu. Katika waraka huo, Dk. Mwakyembe anaeleza kwamba anaamini alipewa sumu hiyo akiwa ofisini kwake huku akitaja majina ya watu anaowatuhumu kuwa nyuma ya mpango huo ambao gazeti hili kwa sasa linahifadhi majina yao. Kwa mujibu wa Dk. Mwakyembe, mara tu baada ya kuwekewa sumu hiyo alianza kuwashwa mwili kabla ya hali kuendelea kuzorota na kuwa mbaya. Akionekana kujibu hoja za Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba, mwanasiasa huyo katika waraka wake anaeleza kwamba hakuwekewa sumu hiyo kwenye chakula, bali kwenye sabuni na kitaulo cha kujifutia, ambacho huwekwa kwenye chumba maalumu ofisini kwake kwa ajili ya kusafisha mikono na huduma nyingine awapo ofisini. Vyanzo vyetu vya habari kutoka kwa ndugu na marafiki wa karibu wa Dk. Mwakyembe vilisema kuwa, naibu waziri huyo ambaye pia ni Mbunge wa Kyela, amefikia hatua ya kuandika waraka huo kwa lengo la kutaka kuijulisha familia yake na taifa kile anachoamini anakabiliana nacho endapo atapoteza maisha kabla ya ukweli kamili kubainishwa. Hata hivyo, kutokana na ukweli kwamba suala hilo la afya ya Dk. Mwakyembe liko katika hatua za uchunguzi, Tanzania Daima Jumatano haliwezi kuandika kwa undani kuhusu waraka huo kwa sasa. Ukiacha hilo, Dk. Mwakyembe katika waraka huo ameelezea historia ya maisha yake kisiasa na mikasa iliyompata kiasi cha kujijengea maadui.Ameeleza jinsi alivyonusurika kuuawa mara kadhaa na kwamba taarifa zote za mikasa yake aliziripoti polisi, lakini hakuna hatua zilizochukuliwa na Jeshi hilo la Polisi. Baadhi ya mikasa aliyoitaja kwenye waraka huo ni pamoja na tukio la kunusurika kuuawa kwenye ajali ya gari iliyotokea Mei 21, mwaka 2009. Ajali hiyo ilitokea eneo la Ihemi, kilomita 40 kutoka Iringa mjini akiwa safarini kutokea Mbeya kwenda Dar es Salaam. Kwa mujibu wa waraka huo, gari alilokuwa akisafiria aina ya Toyota Land Cruiser T 362 ACH, liliacha njia saa moja asubuhi baada ya kukanyaga shimo na tairi ya upande wa kulia kuchomoka na dereva wake, Joseph Msuya (30), kupoteza mwelekeo kabla ya gari hilo kutoka nje ya barabara upande wa kushoto na kuparamia mti kisha kupinduka. Ajali hiyo ilitokea wakati dereva wa Dk. Mwakyembe akijaribu kulipita lori kabla ya kukanyaga shimo hilo. Anasema katika ajali hiyo aliokolewa na wasamaria wema pamoja na trafiki wawili waliokuwa kwenye basi dogo waliokuwa wakisafiri kutoka Iringa kwenda Njombe. Anasema katika waraka huo kuwa, baada ya ajali hiyo alilazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa kutokana na kuumia taya kisha alihamishiwa Dar es Salaam kwa matibabu zaidi. Kwa mujibu wa waraka huo, Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema, aliunda tume iliyoongozwa na Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani wakati huo, Kamanda James Kombe, kuchunguza chanzo cha ajali hiyo. Matokeo yalionesha kwamba ilisababishwa na uzembe wa dereva wake, Msuya wakati Dk. Mwakyembe akiamini kwamba ajali hiyo ilipangwa.Februari 9, mwaka 2011, Dk. Mwakyembe aliandika barua kwa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Said Mwema, akimpa taarifa juu ya kuwapo kwa njama za kutaka kumuua yeye pamoja na viongozi wengine. Wengine aliowataja katika barua hiyo ni pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe na Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela. Katika orodha hiyo ya Mwakyembe kwa IGP, hadi sasa kiongozi mwingine ambaye anaumwa ni Profesa Mark Mwandosya.

SUGU NA RUGE WAPATANISHWA

AKITOA TAARIFA JUU YA MASULUHISHO HAYO MSANII WA KUNDI LA WAGOSI WA KAYA AMESEMA:KWANZA POLENI NA SAMAHANINI KWA HALI YA SINTOFAHAMU ILIYOTOKEA LEO KUTOKANA NA TAARIFA ZA GHAFLA ZA USULUHISHI KATI YETU NA RUGE/CLOUDS FM,NI KUTOKANA NA UNYETI WA ISSUE YENYEWE ILIBIDI TUFANYE HIVYO KWA NIA NJEMA KABISA…KWANZA NAOMBA TUJIPONGEZE KWA KUWA TUKIO LA LEO NI USHINDI KWA VINEGA KWA MAANA KWAMBA MADAI YETU YOTE YA MSINGI NDIO YALIKUWA MSINGI WA MAJADILIANO NA RUGE AMEKUBALI KUYATEKELEZA YOTE…KUANZIA SUALA LA STUDIO YA RAIS KURUDISHWA KWA BASATA ILI IWE YA WASANII WOTE,PIA T.F.U IJIKABIDHI KWA CHAMA HALALI CHA WASANII YAANI T.U.M.A KAMA AMBAVYO TULIKUWA TUNADAI NA MPAKA ISSUE ZA WASANII KUNYANYASWA NA KUBANIWA NA PIA SUALA LA MALIPO HAFIFU VYOTE VIMEJADILIWA NA KUKUBALIWA KWA UTEKELEZAJI…HAIKUWA KAZI RAHISI,KWANZA ILIANZA KWA WAO KUMPIGIA MWENYEKITI WANGU MBOWE KUTAKA TUKAE CHINI,AMBAPO KAMANDA MBOWE ALINISHAURI TUKAE NAO CHINI KAMA KWELI WANA NIA YA KUYAMALIZA…BAADAYE WAKAMPIGIA MR SHIGONGO AMBAYE NI WAZI KUWA NI KATI YA WATU WANGU WA KARIBU NAYE BAADA YA KUONGEA NA MR. KUSAGA TU ALINIPIGIA NA KUNISHAURI HIVYO HIVYO…NA KAMA HAIKUTOSHA WAKALIFIKISHA HILI SUALA KWENYE KAMATI YA BUNGE AMBAYO ILINITAKA NIIPE MAELEZO YA KIINI CHA MGOGORO NA NIKAFANYA HIVYO AMBAPO PIA BAADA YA KUNIELEWA WAKASHAURI NIKAE NAO CHINI…NA HATIMAYE SUALA HILI LIKAISHIA MIKONONI MWA WAZIRI NCHIMBI PAMOJA NA MHE. TUNDU LISSU(MP) KUWA WAPATANISHI WETU… WAZIRI NCHIMBI AKAANZA KWA KUMUITA RUGE DODOMA NA ALIKUJA TUKAKAA KWA HATUA YA KWANZA NA HATIMAYE LEO TUKAKAA TENA MAKAO MAKUU YA WIZARA YA UTAMADUNI CHINI YA DR NCHIMBI NA MHE TUNDU LISSU NA HATIMAYE TUKAFIKIA HATUA HII YA LEO…VITA YETU ILIKUWA NA HOJA HATUKUWA TUNAPIGANA TU KWA CHUKI BINAFSI KAMA BAADHI YA WATU WALIVYOKUWA WANAJARIBU KUIWEKA,KWAHIYO KAMA HOJA ZETU ZIMEELEWEKA KWA SASA TUNATAKIWA KUSHUKURU NA KUFURAHIA…LAKINI NAOMBA NIWAHAKIKISHIE MISIMAMO IKO PALE PALE NA NIMEWAWEKA WAZI KUWA ANTI-VIRUS ITAENDELEA KUWEPO ILI KUENDELEA KU-SCAN VIRUS WENGINE KAMA MAMENEJA MASOKO NA WENGINE WATAKAOJITOKEZA KWANI NCHI INAPOSHINDA VITA AU HATA KUFIKIA TU MAKUBALIANO YA AMANI NA NCHI ADUI YAKE HAINA MAANA NCHI HIYO INAVUNJA JESHI LAKE…ASANTENI SANA…

Mgosi Mkoloni TAARIFA: POLENI SANA WANAHARAKATI KWA MKANGANYIKO WA TAARIFA MLIOUPATA KUPITIA MITANDAO HII YA KIJAMII……LINAKUJA TAMKO RASMI ILI TAARIFA ZIWAFIKIE WANAHARAKATI WOTE DUNIANI JUU YA NINI KIMEFANYIKA NA NINI KIMEAMULIWA,PICHA NA KUPEANA MIKONO KUSIWASTUE KIASI CHA KUVUNJIKA MOYO ILA SIWALAUMU NA HII NI KWA SABABU YA KUTOPATA TAARIFA YA NINI KIMETOKEA…..NI USHINDI KWA KWENDA MBELE HATA WAONGEE NINI TAARIFA ITAKAYOTOLEWA NDIO JIBU SAHIHI KWA WANAHARAKATI WOTE……..ALUTA CONTINUA……….PAMOJA SANA!

Sunday, February 19, 2012

SITTA - MWAKYEMBE KALISHWA SUMU, POLISI WANAPOTOSHA

WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta ameendelea kusisitiza kwamba ugonjwa unaomsumbua Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe, unatokana na kulishwa sumu. Kauli yake imekuja baada ya Jeshi la Polisi nchini kueleza kwamba ugonjwa unaomsumbua Naibu Waziri huyo hausababishwi na kula chakula chenye sumu; kauli iliyomuibua Dk. Mwakyembe na kudai Jeshi hilo halikumtendea haki akisema si lazima unyeshwe sumu ili ikudhuru. Sitta amesema, hoja ya Jeshi la Polisi kueleza kuwa suala hilo linahitaji ushahidi ni kuupotosha umma ili usielewe nini kinachomsumbua Dk. Mwakyembe ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kyela mkoani Mbeya. Akizungumza katika uzinduzi wa Asasi ya Kiraia ya Vijana wa Kanisa Katoliki mkoani Tabora (VITAL) uliofanyika kwenye Ukumbi wa Askofu Mkuu Marco Mihayo, Sitta ambaye ni Mbunge wa Urambo mkoani hapa, alisema yeye kama Waziri hawezi kusema uongo kuhusu jambo hilo. Alisema Jeshi la Polisi limekuwa likipotosha umma kukanusha kwamba Dk. Mwakyembe hajalishwa sumu ingawa Naibu Waziri huyo ana ushahidi wa kutosha kuhusu jambo hilo. “Mimi nitapigana hadi siku ya mwisho kutetea wanyonge na ninashangaa kuelezwa kwamba mimi nimeshitakiwa na Polisi kwamba nimepotosha umma kusema kwamba Dk. Mwakyembe amelishwa sumu. Na kwa taarifa yako Baba Askofu nimeelezwa jalada langu limepelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) ili nishitakiwe,” alisema Sitta. Alilishutumu Jeshi la Polisi kutokana na tabia ya kuhujumu watu na kusisitiza kuwa tabia hizo ni za kijambazi zinazoweza kuhatarisha hali ya usalama na maisha ya watu wanaozuliwa mashitaka kama hayo yanayomkabili. Akizungumza ufisadi, alisema amekuwa mstari wa mbele kupinga suala hilo kwa nguvu zote na atahakikisha anapigana kufa au kupona kupambana na watu wanaojilimbikizia mali kwa kutumia madaraka yao. Alisema jambo hilo halikubaliki na kwamba kwa sababu yupo hai, ataendelea kupambana nalo hadi hapo litakapoleta tija na hatimaye kuwawezesha wananchi wanufaike na rasilimali za nchi yao. Jeshi la Polisi kupitia Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Kamishna Robert Manumba, lilieleza kuwa kwa taarifa ilizopewa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na Hospitali ya Apollo nchini India, ni kwamba ugonjwa wa Dk. Mwakyembe haukutokana na kulishwa kitu chenye sumu. Lakini Dk. Mwakyembe katika taarifa yake juzi kwa vyombo vya habari hakueleza kwamba madaktari wamegundua kuwa amelishwa sumu, lakini akasema, “si lazima unyweshwe ili ikudhuru, inaweza kukudhuru hata kwa kugusishwa tu.” Alisema kwa mujibu wa taarifa ya madaktari wa Apollo, kuna kitu kwenye ujiuji wa ndani ya mifupa (bone marrow) kinachochea hali aliyonayo ambapo mabingwa wanahangaika kukifahamu. Sitta akizungumzia asasi aliyoizindua jana, alisema Serikali haina budi kuwaendeleza vijana na kuwawezesha ili wajishughulishe na shughuli mbalimbali za kiuchumi ikiwa ni mkakati wake wa kupambana na umasikini. Alieleza kwamba taifa lisiloangalia mustakabali wa vijana, linahatarisha usalama wake na kusababisha vitendo vya uhalifu vizidi kuongezeka kitu ambacho kinaweza kulifanya utawala wake uporomoke. Sitta alitoa kompyuta na printa yenye thamani ya Sh milioni moja na kuahidi kurejea tena kwa ajili ya kufanya harambee kubwa ambayo itasaidia kukusanya fedha kwa ajili ya asasi hiyo. Awali, Mwenyekiti wa Asasi hiyo, Deogratius Nzuki, alimueleza Waziri Sitta kwamba lengo la kuanzisha asasi hiyo ni kuwaunganisha vijana na kuwajenga kimaadili ili waitumikie nchi na Kanisa Katoliki vizuri.

Source: Habari Leo

WIZARA YA AFYA YAMRUKA DCI MANUMBA:NI KUHUSU TAARIFA ALIYOITOA KUHUSU DKT HARRISON MWAKYEMBE

WI Z A R A y a A f y a n a U s t awi wa J am i i , i mem r u k a M k u r u g e n z i wa M a k o s a y a J i n a i ( D C I ) , R o b e r t M a n umb a , n a k um t a k a a e l e z e a l i k o i p a t a t a a r i f a a l i y o i t o a h i v i k a r i b u n i k uwa u g o n j wa wa N a i b u Wa z i r i wa U j e n z i , D k . H a r r i s o n Mwa k y emb e , h a i h u s i a n i n a k u l i s hwa s umu . Wi z a r a h i y o i me t o a k a u l i h i y o s i k u mo j a b a a d a y a D k . Mwa k y emb e k u s ema k uwa J e s h i l a P o l i s i l i me t o a t a a r i f a f e k i k u h u s i a n a n a u g o n j wa u n a oms umb u a t a n g u O k t o b a mwa k a j a n a k uwa h a u t o k a n i n a k u l i s hwa s umu . D k . Mwa k y emb e k a t i k a t a a r i f a y a k e kwa v y omb o v y a h a b a r i j u z i , a l i e l e z a k uwa a l i c h o k i e l e z a D C I M a n umb a h a k i f a n a n i k a b i s a n a p i c h a i l i y o kwe n y e t a a r i f a h a l i s i y a h o s p i t a l i i n a y om t i b u y a A p o l l o n c h i n i I n d i a n a k u o n g e z a k uwa s umu i n awe z a k u d h u r u h a t a kwa k u g u s i s hwa . A k i z u n g umz a n a T a n z a n i a D a i ma j a n a kwa n j i a y a s i mu , Wa z i r i wa A f y a n a U s t awi wa J am i i , D k . H a j i M p o n d a , a l i s ema s u a l a h i l o l i me z u n g umzwa n a M a n umb a , h i v y o n i b o r a a t a f u t we n a k u e l e z a ame t o a wa p i t a a r i f a h i y o n a k u e l e z a k uwa wi z a r a h i y o kwa s a s a h a i n a l a k u s ema . M p o n d a a l i s ema wi z a r a k ama wi z a r a h a i h u s i k i k a t i k a s u a l a h i l o n a k u o n g e z a k uwa s i h a k i k u z u n g umz i a u g o n j wa wa m t u h a d h a r a n i . “ N a omb a u s i n i n u k u u v i n g i n e v y o h a o n d i y o wa l i o s ema n i v ema mk awa f u a t a n a k uwa u l i z a n a d h a n i m t a p a t a ma j i b u s a h i h i , ” a l i s ema Wa z i r i M p o n d a . Kwa u p a n d e wa k e , M a n umb a a l i s ema t a a r i f a a l i y o i t o a mw i s h o n i mwa wi k i k u h u s i a n a n a u g o n j wa wa D k . Mwa k y emb e ame i p a t a k u t o k a kwa ma d a k t a r i wa l i o k uwa wa k i m t i b u . H a t a h i v y o h a k u e l e z a ma d a k t a r i h a o n i wa h a p a n c h i n i a u wa n c h i n i I n d i a . A l i s ema kwa k uwa D k . Mwa k y emb e a n a t i b i wa kwa g h a r ama z a s e r i k a l i , n i l a z i ma ma d a k t a r i wa n a om t i b u wa f i k i s h e t a a r i f a h i z o s e r i k a l i n i . A i d h a a l i s ema h u u s i wa k a t i wa k u b i s h a n a kwe n y e v y omb o v y a h a b a r i , kwa k uwa s u a l a h i l o l i n a h u s i a n a n a u s h a h i d i z a i d i , h i v y o n i v ema u k a s u b i r i wa wa k a t i u t a k a p o f i k a . “ F a i l i t a y a r i l i me kwi s h a f u n g u l i wa n a l i me f i k i s hwa kwa M k u r u g e n z i wa M a s h t a k a , h i v y o n i b o r a mk a s u b i r i u p e l e l e z i u t a k a p o k am i l i k a n a h a i p e n d e z i k u e n d e l e a k u l i o n g e l e a , ” a l i s ema M a n umb a . J u z i a k i h o j i wa n a S h i r i k a l a U t a n g a z a j i N c h i n i ( T B C ) T a i f a k u h u s i a n a n a s u a l a h i l o , D C I M a n umb a a l i s ema a l i c h o k i z u n g umz a k i me t o k a n a n a ma d a k t a r i , h i v y o k ama k u n a u o n g o b a s i wa l i o s ema u o n g o wa t a k uwa n i h a o ma d a k t a r i . A k i z u n g umz i a s u a l a h i l o j u z i k a t i k a t a a r i f a y a k e kwa v y omb o v y a h a b a r i , D k . Mwa k y emb e a l i s ema t a a r i f a h a l i s i y a h o s p i t a l i y a A p o l l o i n a t amk a k uwa k u n a k i t u kwe n y e u b o h o ( b o n e ma r r ow) k i n a c h o c h o c h e a h a l i a l i y o n a y o , k i t u amb a c h o ma b i n gwa wa n a h a n g a i k a k u k i j u a , k u k i d h i b i t i n a k u k i o n d o a . A l i s ema k uwa a n a p a t a t a a b u k u am i n i k ama D C I K a n umb a n a we n z a k e wa l i i s oma t a a r i f a h a l i s i y a ma t i b a b u y a k e a u wa l i s oma t a a r i f a f e k i . D k . Mwa k y emb e a l i k a r i r i wa a k i s ema a n a c h o k i o n a s a s a h a s a k u t o k a n a n a k a u l i h i y o y a j e s h i h i l o k u a n z a k u i n g i l i a k a t i n a k u t o a t a a r i f a k u h u s u u g o n j wa u n a oms umb u a wa k a t i b a d o h a j ama l i z a ma t i b a b u n i mp a n g o wa wa z i wa ma f i s a d i k u i n g i l i a kwe n y e s u a l a h i l o . Ame e l e z a k u k e r wa n a t amk o h i l o l a p o l i s i h a s a k a t i k a h a l i a l i y o n a y o y a u g o n j wa n a k u s h a n g a zwa n a u f i n y u wa u e l ewa wa j e s h i h i l o k u s i s i t i z a k uwa h a j a l i s hwa s umu wa k a t i s umu s i l a z i ma u n ywe s hwe i l i i k u d h u r u . Ame s ema ame l i s h a n g a a j e s h i h i l o k u j i i n g i z a k u l i z u n g umz i a s u a l a amb a l o t a k r i b a n mwa k a mz i ma h a l i j awa h i k uwa n a d h am i r a y a d h a t i k u l i c h u n g u z a n a k u l i t u h umu kwa k u l i f a n y i a mz a h a j amb o h i l o kwe n y e v y omb o v y a h a b a r i . D k . Mwa k y emb e a l i a n z a k u u g u a O k t o b a mwa k a j a n a n a b a a d a y e k u p e l e kwa n c h i n i I n d i a n a k u l a zwa kwa ma t i b a b u kwa t a k r i b a n m i e z i m i wi l i . A l i r e j e a n c h i n i D e s emb a 1 1 mwa k a j a n a . U g o n j wa wa k e ume k uwa u k i h u s i s hwa n a k u l i s hwa s umu n a ma r a k a d h a a Wa z i r i wa A f r i k a M a s h a r i k i , S amu e l S i t t a , ame n u k u l i wa a k i s ema u g o n j wa h u o ume t o k a n a n a k u l i s hwa s umu n a k u s i s i t i z a k uwa J e s h i l a P o l i s i l i n a u s h a h i d i . CHANZO: Tanzania Daima