WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Wednesday, November 30, 2011

MANCHESTER UNITED WATUPWA NJE:CARLING CUP

Timu kongwe ya Manchester United imetupwa nje ya michuano ya Carling cup na Timu ya dataja la pili ya Crystal Palace kwa magoli 2 - 1.
Mchezo huo yliochezwa kwenye uwanja wa Old Trafford umeshuhudia Crystal Palace wakipata magoli yao kupitia kwa Darren Ambrosse 65' na jingine katika dakika za nyongeza kupitia kwa Glenn Murray 98' ambapo Manchester United walipata goli kwa mkwaju wa penati kupitia kwa Federico Macheda 69'.
Haya yamekuwa matokeo mabaya zaidi kwa Manchester a,bao wanaonekana kusuasua baada ya sare mbili katikati na mwishoni mwa wiki dhidi ya Benfica katika Klabu Bingwa Ulaya na Newcastle United katika ligi ya Uingereza.

Wednesday, November 23, 2011

BREAKING NEWS; WANNE WAFA KWA AJALI UBUNGO

Watu wanne akiwemo mama mjamzito na wanaume watatu wamefariki papo hapo kutokana na ajali iliyolihusisha Lori la mafuta na Gari ndogo mbili katika eneo la Riverside Ubungo majira ya saa10 jioni. Watu wengine watatu wamewahishwa hospitali kwa matibabu zaidi akiwemo dereva wa moja ya magari hayo madogo na mchuuzi wa barabarani
Lori hilo lililokuwa likielekea bandarini kupitia barabara ya mandela limeangukia magari hayo mawili yaliyokuwa kwenye foleni upande wa pili wa barabara ya kuelekea ubungo mataa katika eneo la Riverside baada ya kujaribu kuikwepa gari nyingine ndogo na kuacha barabara.
Habari zaidi baadae

Tuesday, November 22, 2011

26th Nov; BAADHI YA WASANII WATAKAOTUMBUIZA ; okoa music wa bongo

MR II

G SOLO

ANTI VIRUS PART 1 COVER

SOGGY DOGGY

ZAY B


SUMA G
Picha za juu hapo ni baadhi ya wasanii watakaotumbuiza siku ya tarehe 26 mwezi 11/2011 pale kwenye viwanja vya Sayansi au viwanja vya Posta. Kama mwanaharakati unakaribishwa katika show hiyo kwa kiingilio cha shilingi 5000 tu. Wasanii wengine watakaopanda jukwaani siku hiyo ni pamoja na Inspector Haroon, Mkoloni, D wa Gheto, Dani Msimamo, Adili Mkwela, LWP, Coin one, Magazijuto, Peen Lawyer, Mapacha PKP na Rama D. Djs watakaofanya mambo siku hiyo ni Dj JD "John Dilinga" na Majey. pia patakuwa na uzinduzi wa Antivirus Part II, pia unaweza download copy yako kupitia www.swahilioriginaltz.com

Thursday, November 17, 2011

KUNA UMUHIMU GANI KWA KATIBA YETU KUANDIKWA KWA LUGHA YA KIINGEREZA?

Napata wakati mgumu jinsi ya kuandika makala hii, nagundua bado viongozi wetu wengi wana utumwa wa kifikra, hivi ipi ni lugha ya Taifa!!? Kiswahili na Kiingereza? Kwanini tunashindwa kuiheshimu na kuithamini lugha yetu? Hizi ndizo sababu hata shilingi yetu imekuwa ikiporomoka kila siku na gharama za maisha kuzidi kuongezeka sababu wapo viongizi na makampuni ambayo hadi sasa wanalipa au kulipwa kwa dola ndani ya nchi hii, bodi ya TCRA ilikuwa mfano tosha, tuachane na haya
Nashindwa kuelewa kama huo muswada wa katiba unaoleta utata bungeni kama uliandikwa hapa nchini au kwa Cameron!!!
Swali jingine gumu ninalokosa jibu lake kuna nini ndani ya muswada huo wanaokataa kuuweka katika lugha ya Taifa? Mpaka lini tutaendelea kunyenyekea lugha za wenzetu huku tukiongea kinafki kuwa kiswahili ni lugha ya Taifa?
Watanzania wangapi wenye uelewa fasaha wa lugha ya kiingereza? Hata wale wachache waliofanikiwa kupata elimu ya sekondari na elimu ya juu bado lugha hii ni changamoto kwao. Hivi hii katiba wanaandikiwa kina nani? CCM wana ajenda gani ya siri juu ya katiba hii? Siungi mkono wanachofanya CHADEMA kwa sasa bungeni ila ndio njia pekee ya kuonyesha kutoridhishwa na udikteta wa chama tawala.
Wapo baadhi ya wabunge wanapenda kuonekana wema mbele ya Rais na mwenyekiti wao wa chama wamekuwa wakisimama bungeni na kuzungumza upuuzi ambao nawaza bado wananchi wao ndicho walichowatuma? Ufike wakati tuzungumze ukweli na kuacha siasa za kishabiki, hili ndilo tatizo lililofanya wananchi wengi wa kawaida kutoielewa katiba ya zamani hadi sasa.
Patolewe machapisho mengi ya muswada huo wananchi wengi wapate kuelewa nini kinazungumziwa, katiba sio kwa ajili ya chama au wabunge, ni ya wananchi wote. Tuache umbumbumbu wa fikra, mawazo sahihi huja kwa lugha sahihi na inayoeleweka kwa wengi

Wednesday, November 16, 2011

URAIS 2015 WAWACHANGANYA WENGI:TABIRI ZA MASANGOMA ZAPEWA NAFASI KUBWA

Kinyang'anyiro cha Urais wa mwaka 2015 umeendelea kuwapa tumbo joto baadhi ya vigogo wa CCM huku kila mmoja akitumia kila njia kuhakikisha yeye ndie anapitishwa kama mgombea.
Fukuto kubwa linaonekana kwa vigogo watatu wenye nguvu ndani ya Chama hicho ambao wamekuwa wakitumia kila njia kuhakikisha majina yao yanang'ara.
Baadhi ya vigogo hao wamekuwa wakihusishwa na mpasuko mkubwa unaoendelea ndani ya Chama cha Mapinduzi, ambapo baadhi wamekuwa wakiunga mkono wale wanaojihusisha na ufisadi wang'olewe ndani ya Chama, wengine wakipinga hilo na baadhi wakionekana kutounga mkono upande wowote.
Wengine wameenda mbali zaidi na kudai kuwa Rais ajae lazima atoke dini fulani kutokana na mlolongo wa wale waliopita kufuata mapokezano ya dini ambapo imekuwa wanaanza Wakristo na kufuatia Waislam jambo ambalo limewapa nguvu baadhi ya vigogo hao ambao ni wakristo kudhani kuwa sasa ni zamu yao. Huku hayo yakiendelea vyama vya upinzani vimeendelea kujipanga kuhakikisha nao wanachukua madaraka na jambo kubwa ambalo wanafanya sasa ni kuhakikisha wanajijengea sifa nzuri kwa wapiga kura.

HOW TO STOP MASTERBATION ADDICTION

Before you make an attempt to stop masturbating, there’s an important issue to deal with first. This issue is important because masturbation is a misunderstood addiction.

There are people who think they’re addicted to masturbation and they aren’t. Plenty of people are hooked on masturbation and think there’s nothing wrong with it. Just like the alcoholic who fools him or herself about drinking, the person addicted to masturbation is not doing themselves any favor by trying to deny the problem.
Let’s assume you’ve decided that you are addicted to masturbating. There are many people who are addicted to masturbation and hate themselves for masturbating. Feeling let down in yourself for acting addictively is a signal from nature that you are engaging in a pattern of activity that is self-destructive. But feeling let down in yourself is different than self-hatred. When you hate yourself you condemn your total being. When you feel let down in yourself, you are upset with a certain part of your life.

Self-hatred will not help you stop masturbating. One of the things to understand about self-hatred is: You won’t do something good for someone you hate.

People from all walks of life: the devoutly religious, atheists, agnostics, and people who are moderate in their belief system can find themselves smothered in self-hatred because they are addicted to masturbation and can’t stop.

You might be thinking, “If I have a problem hating myself, how do I stop it?” I can tell you where to start: Evaluate yourself the same way you would evaluate someone else who you were trying to be fair to.

For instance, Paul is addicted to masturbation. He wants to stop. He has been trying ever since he was a teen. He can stop for a few days, a few weeks, or even a few months. But eventually he returns to his masturbation addiction. When he returns he descends into self-hatred. Any person who stops addictive behavior and returns to it will feel let down. But Paul is going beyond feeling let down. He hates himself because he can’t stop masturbating.

If you share his problem here’s my advice to you:

“First, give yourself credit for what you accomplished. You wanted to stop. You gave it a best effort. And you succeeded for a while. Would you hate someone else because they attempted to overcome their problem or would you give the person credit for trying?

“If the person failed would you hate him or her? Or would you try to understand that they did their best? If the person has failed many times would you hate him for failing or would you give him credit for continuing to try in face of failure? If the person was concerned about their problem would you hate her because she was concerned or would you give her credit for identifying her problem and wanting to do something about it?”

Remember, you’re not going to be supportive of a person you hate. You will be on the side of someone who’s trying their best.

Some people think that failure at overcoming a masturbation addiction means you don’t want to stop. There’s more to stopping than just wanting to.

  • You need an effective method. “Just say ‘No’” doesn’t work.
  • You need an understanding of addiction. Being addicted and understanding what an addiction is are two very different states of mind.
  • You need to know the differences between a sex addiction and other kinds of addiction. A big mistake people make when they try to deal with a sex addiction is treating a sex addiction as if it were an alcohol problem. A good example of this is the twelve-step approach. Twelve step is an alcohol program. It is not designed and is not effective for sex addiction.
  • You need to know what makes a masturbation addiction different from other kinds of sex addiction. The Most Personal Addiction will give you an in depth discussion of the differences.
  • You also need to determine if you are addicted to masturbation. The interviews in The Most Personal Addiction will help you understand if you have a sex addiction and will help you begin the process of getting a masturbation addiction stopped. There is also a further discussion about masturbation addiction in the article Masturbation Addiction Counseling.

Tuesday, November 15, 2011

MOTO MKUBWA WALIPUKA MITAMBO YA UMEME UBUNGO:MITAMBO YAENDELEA KUTEKETEA NA MOTO

Moto mkubwa umezuka katika mitambo ya kuzalisha umeme ya ubungo ambayo imepelekea baadhi ya Transformer kuendelea kuungua.
Moti huo ambao chanzo chake hakijafahamika unaendelea kuunguza mitambo hiyo huku pakiwa hakuna jitihada zozote za kuzima moto huo.
Uzembe uliojionyesha dhahiri ni kukuosekana kwa maji kwa gari la zimamoto ambalo hupaki pembezoni mwa mitambo ya Songas.
Hali inaonekana kuwa mbaya zaidi na foleni ni kubwa jambo ambalo litakuwa gumu kwa gari za zimamoto zinazotoka mbali na eneo hili. Idadi kubwa ya wafanyabiashara ambao hupanga bidhaa zao maeneo haya wanakusanya vitu vyao ili kurejea majumbani huku transformer mbili zikiendelea kuteketea
Tega sikio zaidi nipo eneo la tukio

Monday, November 14, 2011

BREAKING NEWS: MAFURIKO DAR NA MWANZA

Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeanza kuleta athari hasa kwa wakazi wanaoishi maeneo ya mabondeni. Mvua hizo zilizoanza kunyesha mapema mwezi huu athari zake zimeonekana zaidi katika jiji la
Dar es salaam na Mwanza ambapo baadhi ya familia zimekosa makazi kutokana na hali hiyo.

Dar es Salaam
Mvua hizo ambazo zimeanza kunyesha mfululizo kwa siku tatu athari zimeonekana zaidi katika maeneo yenye mifumo mibovu ya upitishaji maji taka. Maeneo kama Tandale kwa Mtogole, kwa tumbo, Shoppers & My FAIR Plaza mikocheni yamezungukwa na maji kabisa jambo ambalo limefanya wanunuzi wanaotumia usafiri wa pikipiki na waenda kwa miguu kufika kwa tabu. Maeneo mengine yaliyokubwa na mafuriko hayo ni Manzese, kimara sambamba na daraja la mlalakuwa katika barabara itokayo Magomeni kuelekea Kawe.

Mwanza
Katika jiji la Mwanza pia mvua hizo zimesababisha maeneo kadhaa katika jiji hilo mfano Nyegezi, Majengo Mapya na Nyamagana kufurika maji na kubwa zaidi ikiwa ni kujaa kwa maji kwa Uwanja wa ndege jambo lililofanya ufungwe kwa muda usiojulikana.
Tahadhari inahitajika kabla ya majanga kama haya na tunaombwa kuwapa msaada wale walioathiriwa na mvua hizi. Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote inayoyahusisha mafuriko haya na vifo.

Friday, November 11, 2011

NCHINI INANUKA:MNADHIMU MKUU WA JWTZ AKAMATWA NA INTERPOL KWA UFISADI WA TRILIONI 3

Mnadhimu mkuu wa Jeshi la wananchi la Tanzania Abdularahman Shimbo anashikiliwa na polisi wa kimataifa (Interpol) kwa mahojiano zaidi baada ya kuhusishwa na ufisadi wa Shilingi Trilioni 3 ambazo alikuwa amezihifadhi katika benki moja mchini Afrika Kusini.
Chanzo cha habari kinaendelea kupasha kuwa fedha hizo zilitokana na makato ambayo amekuwa akiwakaya wanajeshi wanaoenda kujitolea kulinda amani katika nchi katika nchi mbalimbali na nyingine zikiwa ni shukrani kwa majeshi yetu kwenda kulinda amani katika nchi hizo mojawapo ikiwa Comoro.
Alipofahamishwa swala hilo alizimia na polisi hao wameondoka nae kwenda nchini Afrika Kusini.
Sakata hilo liligundulika baada ya Rais Jakaya Kikwete kwenda nchini Afrika Kusini kuomba msaada na ndipo alipoelezwa wanaombaje msaada wakati kuna mfanyakazi wa kawaida tu wa serikali ana kiasi hicho cha pesa? Ndipo Rais akaagiza uchunguzi ufanyike na baadae swala hilo likagundulika.
Stay tuned kwa habari zaidi

Wednesday, November 9, 2011

FROM MOVENPICK TO DAR ES SALAAM SERENA HOTEL:KWELI HII NCHI WANAIFAIDI WAJANJA

Ule mchezo wa kubadili majina kila baada ya miaka kadhaa ikiwa ni janja ya kukwepa kulipa kodi umeendelea kudhihirika mara baada ya hotel maarufu iliyowahi kuwa na majina zaidi ya kumi katika kipindi kisichopungua miaka 10 kubadili jina, hoteli hiyo ya kisasa iliyokuwa ikifahamika awali kama Sheraton, Royal Palm na baadae Movenpick sasa imepata jina jipya ambalo ni Dar es Salaam Serena Hotel.
Wadadisi wa mambo wanadai janja hii ya kubadili majina inalenga kukwepa kodi ambapo hadi sasa kuna kampuni za simu ambazo pia huu umekuwa mchezo wao ambapo haipiti miaka mitano lazima wabadili jina.
Kwa mtindo huu inamaana serikali imefumba macho? Au watendaji wamepoozwa kidogo? Jibu mimi sina.