WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
September
(8)
- SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO...
- GOOD NEWS FOR FACEBOOK USERS- Facebook CEO Mark Zu...
- Kuuliza sio ujinga, labda naona ufahamu wangu ni m...
- No title
- Liverpool 2 - 0 Wolves FT, Arsenal 3 - 0 Bolton FT...
- Arsenal 1 - 0 Bolton 46'
- Chelsea 2 - 0 Swansea HT, Arsenal 0 - 0 Bolton HT,...
- Matokeo ya Uchaguzi wa Zambia yanatufunza nini?
-
▼
September
(8)
Popular Posts
-
Haya ndiyo baadhi ya yaliyoamuliwa kuhusu madai ya Madaktari Kwa ufupi, kutoka kwa watu waliokuwemo kwenye mkutano wa Madaktari na Waziri Mk...
-
Mashabiki 74 wamepoteza maisha yao jana mjini Port Said nchini Misri katika mchezo uliozikutanisha timu za Al Masry dhidi ya timu inayoongoz...
-
Leo Mbunge wa Mbozi Geofrey Zambi alitoa hoja ya bunge kujadili suala la mgomo wa madaktari kwa dharura kufuatia taarifa kuwa madaktari bing...
-
The worst part about being president is that you have to act civilized all the time…
-
Jana usiku klabu za Chelsea na Real Madrid zilifuata nyayo za Manchester United, Barcelona, Shaktar Donetsk, Inter Milan, Tottenham Hotspu...
-
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh Zitto Kabwe jana usiku alihamishiwa katika Kitengo Cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalum (ICU) baada ya ma...
-
Ule mchezo wa kubadili majina kila baada ya miaka kadhaa ikiwa ni janja ya kukwepa kulipa kodi umeendelea kudhihirika mara baada ya hotel ma...
-
Mabingwa wa samba barani Ulaya, timu ya Barcelona F.C jana usiku waliwaadhiri watani wao wa jadi timu ya Real Madrid kwa kipigo cha magoli m...
-
Whitney Houston, who reigned as pop music's queen until her majestic voice and regal image were ravaged by drug use, erratic behavior an...
OTHER BLOG LIST
Wednesday, September 28, 2011
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO VIKUU. Serikali imeonya kwamba haitavumilia na kutishia kufuta uhamini wa mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu nchini watakaoshiriki kwenye migomo na maandamano kwa sababu zisizo na msingi. Msimamo huo ulitolewa mapema wiki hii na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Dk. Shukuru Kawambwa alipozungumza na jamii ya Chuo kikuu cha Tumaini Makumira wakati wa ziara ya kujifunza shughuli, utendaji na changamoto zinzovikabili vyuo vikuu nchini. Alisema msimamo huo wa Serikali unaotokana na dhamira ya kuboresha mfumo wa elimu ya juu nchini uliosababisha wizara yake kutengewa 300 bilioni kwa ajili ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment