WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
September
(8)
- SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO...
- GOOD NEWS FOR FACEBOOK USERS- Facebook CEO Mark Zu...
- Kuuliza sio ujinga, labda naona ufahamu wangu ni m...
- No title
- Liverpool 2 - 0 Wolves FT, Arsenal 3 - 0 Bolton FT...
- Arsenal 1 - 0 Bolton 46'
- Chelsea 2 - 0 Swansea HT, Arsenal 0 - 0 Bolton HT,...
- Matokeo ya Uchaguzi wa Zambia yanatufunza nini?
-
▼
September
(8)
Popular Posts
-
Nahodha wa klabu ya Chelsea John Terry amepokonywa unahodha wa timu ya Taifa kwa mara ya pili katika kipindi cha miaka miwili kutokana na tu...
-
Kwa mujibu wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) haya ndiyo matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2011 JUMLA YA WATAHINIWA 3671 SAWA NA A...
-
How to Write a Research Proposal Most students and beginning researchers do not fully und...
-
Timu za soka zinazotokea katika jiji la London na zilizo katika Big 4 ya ligi kuu ya England zimewaonya mashabiki wake kujiepusha na vitendo...
-
UTAFITI mpya umebaini kuwa nusu ya wanaume nchini ni wagumba ukipingana madai ya wengi kuwa tatizo hilo linawaathiri zaidi wanawake.Kwa muji...
-
Asamoah Gyan has decided to take an "indefinite break" from international football. The Black Stars key man sent a letter to the G...
-
Mashabiki 74 wamepoteza maisha yao jana mjini Port Said nchini Misri katika mchezo uliozikutanisha timu za Al Masry dhidi ya timu inayoongoz...
-
AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harris...
-
UTANGULIZI Mgomo wa Madaktari ambao umedumu kwa takriban wiki mbili nchini sasa ni dhahiri kwamba umelitikisa Taifa na kuathiri huduma za t...
OTHER BLOG LIST
Wednesday, September 28, 2011
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO VIKUU. Serikali imeonya kwamba haitavumilia na kutishia kufuta uhamini wa mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu nchini watakaoshiriki kwenye migomo na maandamano kwa sababu zisizo na msingi. Msimamo huo ulitolewa mapema wiki hii na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Dk. Shukuru Kawambwa alipozungumza na jamii ya Chuo kikuu cha Tumaini Makumira wakati wa ziara ya kujifunza shughuli, utendaji na changamoto zinzovikabili vyuo vikuu nchini. Alisema msimamo huo wa Serikali unaotokana na dhamira ya kuboresha mfumo wa elimu ya juu nchini uliosababisha wizara yake kutengewa 300 bilioni kwa ajili ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment