Katika hali inayoonekana wanfunzi wa chuo cha Usimamizi wa fedha kutoridhishwa na kitendo cha wenzao kuzuiwa kufanya mitihani ya chuo iliyokuwa ianze jana tarehe 28 mwezi wa pili, wameendelea na mgomo wao na kusisitiza wenzao waruhusiwe kufanya mitihani hiyo bila kikwazo ambapo uongozi wa chuo umeiahirisha hadi wiki ijayo.
TUME YA MADINI YAFUNGUA FURSA KWA VIJANA
8 minutes ago

No comments:
Post a Comment