WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
MY DIARY
RONALDTHEGREAT
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
View my complete profile
RONNIE DOCOMENTARY
►
2012
(43)
►
February
(35)
►
January
(8)
▼
2011
(157)
►
December
(13)
►
November
(29)
►
October
(18)
▼
September
(8)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO...
GOOD NEWS FOR FACEBOOK USERS- Facebook CEO Mark Zu...
Kuuliza sio ujinga, labda naona ufahamu wangu ni m...
No title
Liverpool 2 - 0 Wolves FT, Arsenal 3 - 0 Bolton FT...
Arsenal 1 - 0 Bolton 46'
Chelsea 2 - 0 Swansea HT, Arsenal 0 - 0 Bolton HT,...
Matokeo ya Uchaguzi wa Zambia yanatufunza nini?
►
May
(2)
►
April
(3)
►
March
(46)
►
February
(38)
Popular Posts
MAJAMBAZI YAVAMIA ENEO LA MLIMANI CITY
Majambazi yaliyokuwa na silaha nzito yamevamia katika kituo cha mafuta cha TOTAL kilichopembeni ya Mlimani City Supermarket na kupora mamili...
MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FEDHA AGOMA KUTOA FEDHA ZA UNUNUZI WA MAFUTA KWA IPTL
Mgao wa umeme ambao ulisitishwa kwa muda na serikali baada ya kuamua kutoa fedha ajili ya ununuzi wa mafuta kwa kampuni ya IPTL kwa mwezi Ag...
MCHANGANUO WA MATOKEO KIDATO CHA NNE: DARAJA LA KWANZA HADI SIFURI
Kwa mujibu wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) haya ndiyo matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2011 JUMLA YA WATAHINIWA 3671 SAWA NA A...
TAARIFA TOKA TANESCO JUU YA MGAO UNAOENDELEA
Meneja mawasiliano wa Shirika la umeme nchini Tanzania (TANESCO) Bi Badra Masoud limetoa ufafanuzi kuhusiana na matukio ya kukatika umeme ya...
HABARI ZILIZOPAMBA MAGAZETI YA SOKA ULAYA LEO
Roberto Mancini slammed the door on Carlos Tevez returning to the Man City team. THE SUN Sir Alex Ferguson believes Ryan Giggs could one d...
30 MISTAKES MEN MAKE IN BED
1 Going straight for the naughty bits You've got to be sensitive to the fact that a woman is more likely to be irritated than aroused...
KIKOSI CHA MANCHESTER UNITED KITAKACHOIVAA AJAX KATIKA EUROPA LIGI KESHO
Timu ya Manchester United imewasili jijini Amsterdam, Uholanzi mchana wa leo kikiwa na jumla ya wachezaji 20 tayari kwa mchezo wa Raundi ya ...
MANDELA IN "SATISFACTORY CONDITION" AFTER OPERATION
Johannesburg (CNN) -- South African anti- apartheid icon Nelson Mandela successfully underwent hernia surgery Saturday, a family member told...
I"M REAL FUNNY........................ WATCH THIS GUYS
Animals are such agreeable friends – they ask no questions, they pass no criticisms.”
HAVE EVER BEING LIED? LOOK THIS PHOTOS.............
Funny pictures about cheating and lying... f
OTHER BLOG LIST
JIACHIE
TUME YA MADINI YAFUNGUA FURSA KWA VIJANA
14 minutes ago
MICHUZI
WANANCHI WA MOHORO WAMSHUKURU RAIS SAMIA
3 hours ago
DJ Fetty
Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA
11 years ago
mwijaebakari
Wednesday, September 28, 2011
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO VIKUU. Serikali imeonya kwamba haitavumilia na kutishia kufuta uhamini wa mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu nchini watakaoshiriki kwenye migomo na maandamano kwa sababu zisizo na msingi. Msimamo huo ulitolewa mapema wiki hii na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Dk. Shukuru Kawambwa alipozungumza na jamii ya Chuo kikuu cha Tumaini Makumira wakati wa ziara ya kujifunza shughuli, utendaji na changamoto zinzovikabili vyuo vikuu nchini. Alisema msimamo huo wa Serikali unaotokana na dhamira ya kuboresha mfumo wa elimu ya juu nchini uliosababisha wizara yake kutengewa 300 bilioni kwa ajili ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Monday, September 26, 2011
GOOD NEWS FOR FACEBOOK USERS- Facebook CEO Mark Zuckerberg revealed tons of new features and changes aimed at making the social network even more engaging. Among of of the change that will be introducing soon is Timeline and facebook's newest profile features, complete with photos. Also the tagline that will contain All your Apps, Express who you are. The new feature will grant something many angry users have been demanding:control. Zuckerberg said users will decide "what you show, how you display it and who can see it" on their Timeline. You will be able to add specific photos, links, check-inks, likes and more that represent your interests and passions, making it a lot like scrapbooking online. Everyone will have a Timeline, which will look sparse at first, so more private people will probably keep it bare while others can fill it up with their very latest music interests, relationships, e.t.cd tons of new features and changes aimed at making the social network even more engaging. Among of of the change that will be introducing soon is Timeline and facebook's newest profile features, complete with photos. Also the tagline that will contain All your Apps, Express who you are. The new feature will grant something many angry users have been demanding:control. Zuckerberg said users will decide "what you show, how you display it and who can see it" on their Timeline. You will be able to add specific photos, links, check-inks, likes and more that represent your interests and passions, making it a lot like scrapbooking online. Everyone will have a Timeline, which will look sparse at first, so more private people will probably keep it bare while others can fill it up with their very latest music interests, relationships, e.t.c
Saturday, September 24, 2011
Kuuliza sio ujinga, labda naona ufahamu wangu ni mdogo kwa kuwa tofauti na mtazamo wa Baraza la Mitihani. Wenzangu mnaonaje eti kuwa na maswali ya Hisabati ya kuchagua? Kama ilvyokuwa kwa mitihani ya darasa la 7 mwaka huu? Tulielekea katika mitihani ya kidato cha 4
Liverpool 2 - 0 Wolves FT, Arsenal 3 - 0 Bolton FT, Chelsea 4 - 1 Swansea, Tottenham 2 - 1 Wigan FT, Newcastle 3 - 1 Blackburn
Arsenal 1 - 0 Bolton 46'
Chelsea 2 - 0 Swansea HT, Arsenal 0 - 0 Bolton HT, Liverpool 2 - 0 Wolves HT, Man City 2 - 0 Everton FT, Tottenham 2 - 0 Wigan HT, Newcastle 2 - 1 Blackburn HT Newcastle 2 - 1 Blackburn HT
Matokeo ya Uchaguzi wa Zambia yanatufunza nini?
Newer Posts
Older Posts
Home
Subscribe to:
Comments (Atom)