Mnadhimu mkuu wa Jeshi la wananchi la Tanzania Abdularahman Shimbo anashikiliwa na polisi wa kimataifa (Interpol) kwa mahojiano zaidi baada ya kuhusishwa na ufisadi wa Shilingi Trilioni 3 ambazo alikuwa amezihifadhi katika benki moja mchini Afrika Kusini.
Chanzo cha habari kinaendelea kupasha kuwa fedha hizo zilitokana na makato ambayo amekuwa akiwakaya wanajeshi wanaoenda kujitolea kulinda amani katika nchi katika nchi mbalimbali na nyingine zikiwa ni shukrani kwa majeshi yetu kwenda kulinda amani katika nchi hizo mojawapo ikiwa Comoro.
Alipofahamishwa swala hilo alizimia na polisi hao wameondoka nae kwenda nchini Afrika Kusini.
Sakata hilo liligundulika baada ya Rais Jakaya Kikwete kwenda nchini Afrika Kusini kuomba msaada na ndipo alipoelezwa wanaombaje msaada wakati kuna mfanyakazi wa kawaida tu wa serikali ana kiasi hicho cha pesa? Ndipo Rais akaagiza uchunguzi ufanyike na baadae swala hilo likagundulika.
Stay tuned kwa habari zaidi
HASARA YA SH. MILIONI 971.9 YAMPELEKA KAGALE JELA MIAKA 20
34 seconds ago

No comments:
Post a Comment