Chama cha soka nchini Uingereza kimetangaza hukumu ya kumfungia Mchezaji wa Manchester City Mario Baloteli kutokana na kitendo chake cha kumpiga teke usoni Mchezaji wa Tottenham Hotspurs Scott Parker katika mchezo wa jana.
Akizungumza kwa masikitiko msemaji wa FA Gramne Souness amesema "I think he should sent off" huku akiongeza kuwa " mguu wake wa kulia ulipaswa kutangulia mbele baada ya kuupiga mpira ila kitendo cha kuurudisha nyuma kilikuwa cha makusudi. Kufuatia tukio hilo Baloteli atakosa mchezo wa marudiano wa Carling Cup dhidi ya Liverpool na michezo mitatu ya ligi dhidi ya Everton, Fulham na Aston Villa, hukumu hiyo inatarajowa kuanza mara moja na endapo wakikata rufaa FA anaweza kucheza mchezo dhidi ya Liverpool na uchunguzi wa FA ukirudiwa anaweza kuongezewa adhabu.
Gramne Souness pia alimshangaa mwamuzi Howard Webb kwa kutompatia kadi ya pili ya njano mchezaji huyo ambayo ingemtoa nje ya mchezo huku akisema " Great players are consistent, but Baloteli is a car crush waiting to happen
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2012
(43)
-
▼
January
(8)
- USAJILI DIRISHA DOGO ENGLAND
- HATIMAYE INTER WARIDHIA KUMUUZA SNEIJDER MANCHEST...
- BALOTELI AMALIZIA HASIRA ZAKE KWA HARRY REDNAPP:AM...
- BALOTELI AFUNGIWA MECHI NNE
- THIERRY HENRY APATA MAJERAHA MAZOEZINI
- AJIKATA UUME NA KUCHOMA NYUMBA MOTO
- MAANDALIZI YA BONANZA LA MICHEZO YA TUMAINI YAEND...
- DIAMOND AHUKUMIWA MIEZI 6 JELA
-
▼
January
(8)
Popular Posts
-
<ul id="gallery" class="noscript"> <li id="picGalleryNoScript_1"> <a href="http://news.bb...
-
Animals are such agreeable friends – they ask no questions, they pass no criticisms.”
-
150 things to do when you're bored This started out as a list just for kids, but I soon realized that most of these activities would be...
-
Meneja mawasiliano wa Shirika la umeme nchini Tanzania (TANESCO) Bi Badra Masoud limetoa ufafanuzi kuhusiana na matukio ya kukatika umeme ya...
-
How To Be Creative by ronald Do you ever get asked ‘Where did you get that idea from?’ in any of your projects or pieces of work and yo...
-
PROSTITUTES in Lusaka’s Kanyama, John Laing, Chawama and Kalingalinga compounds offered themselves free of charge to every Jim and Jack as p...
OTHER BLOG LIST
Monday, January 23, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment