Chama cha soka nchini Uingereza kimetangaza hukumu ya kumfungia Mchezaji wa Manchester City Mario Baloteli kutokana na kitendo chake cha kumpiga teke usoni Mchezaji wa Tottenham Hotspurs Scott Parker katika mchezo wa jana.
Akizungumza kwa masikitiko msemaji wa FA Gramne Souness amesema "I think he should sent off" huku akiongeza kuwa " mguu wake wa kulia ulipaswa kutangulia mbele baada ya kuupiga mpira ila kitendo cha kuurudisha nyuma kilikuwa cha makusudi. Kufuatia tukio hilo Baloteli atakosa mchezo wa marudiano wa Carling Cup dhidi ya Liverpool na michezo mitatu ya ligi dhidi ya Everton, Fulham na Aston Villa, hukumu hiyo inatarajowa kuanza mara moja na endapo wakikata rufaa FA anaweza kucheza mchezo dhidi ya Liverpool na uchunguzi wa FA ukirudiwa anaweza kuongezewa adhabu.
Gramne Souness pia alimshangaa mwamuzi Howard Webb kwa kutompatia kadi ya pili ya njano mchezaji huyo ambayo ingemtoa nje ya mchezo huku akisema " Great players are consistent, but Baloteli is a car crush waiting to happen
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2012
(43)
-
▼
January
(8)
- USAJILI DIRISHA DOGO ENGLAND
- HATIMAYE INTER WARIDHIA KUMUUZA SNEIJDER MANCHEST...
- BALOTELI AMALIZIA HASIRA ZAKE KWA HARRY REDNAPP:AM...
- BALOTELI AFUNGIWA MECHI NNE
- THIERRY HENRY APATA MAJERAHA MAZOEZINI
- AJIKATA UUME NA KUCHOMA NYUMBA MOTO
- MAANDALIZI YA BONANZA LA MICHEZO YA TUMAINI YAEND...
- DIAMOND AHUKUMIWA MIEZI 6 JELA
-
▼
January
(8)
Popular Posts
-
Timu za soka zinazotokea katika jiji la London na zilizo katika Big 4 ya ligi kuu ya England zimewaonya mashabiki wake kujiepusha na vitendo...
-
Facebook is a social networks that links and create friendship and networking to many people worldwide, but some of illiterate people start ...
-
What makes a good logo? Published on Monday, July 27, 2009 – 1:54 pm What makes a good logo? A good logo is distinctive, appropriate, ...
-
Terry right behind Capello Three Lions skipper calls for country to be united behind Italian tactician Last updated: 26th March ...
-
I wanna take this opportunity as the owner of this Blog/Page to wish all of my fans and friends who visit here every now & then a MERRY...
-
Mnadhimu mkuu wa Jeshi la wananchi la Tanzania Abdularahman Shimbo anashikiliwa na polisi wa kimataifa (Interpol) kwa mahojiano zaidi baada ...
-
Overview You're sitting behind the wheel of your van at an everlasting traffic light. The only thing slower than the traffic is you...
-
Mashabiki 74 wamepoteza maisha yao jana mjini Port Said nchini Misri katika mchezo uliozikutanisha timu za Al Masry dhidi ya timu inayoongoz...
OTHER BLOG LIST
Monday, January 23, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment