Chama cha soka nchini Uingereza kimetangaza hukumu ya kumfungia Mchezaji wa Manchester City Mario Baloteli kutokana na kitendo chake cha kumpiga teke usoni Mchezaji wa Tottenham Hotspurs Scott Parker katika mchezo wa jana.
Akizungumza kwa masikitiko msemaji wa FA Gramne Souness amesema "I think he should sent off" huku akiongeza kuwa " mguu wake wa kulia ulipaswa kutangulia mbele baada ya kuupiga mpira ila kitendo cha kuurudisha nyuma kilikuwa cha makusudi. Kufuatia tukio hilo Baloteli atakosa mchezo wa marudiano wa Carling Cup dhidi ya Liverpool na michezo mitatu ya ligi dhidi ya Everton, Fulham na Aston Villa, hukumu hiyo inatarajowa kuanza mara moja na endapo wakikata rufaa FA anaweza kucheza mchezo dhidi ya Liverpool na uchunguzi wa FA ukirudiwa anaweza kuongezewa adhabu.
Gramne Souness pia alimshangaa mwamuzi Howard Webb kwa kutompatia kadi ya pili ya njano mchezaji huyo ambayo ingemtoa nje ya mchezo huku akisema " Great players are consistent, but Baloteli is a car crush waiting to happen
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2012
(43)
-
▼
January
(8)
- USAJILI DIRISHA DOGO ENGLAND
- HATIMAYE INTER WARIDHIA KUMUUZA SNEIJDER MANCHEST...
- BALOTELI AMALIZIA HASIRA ZAKE KWA HARRY REDNAPP:AM...
- BALOTELI AFUNGIWA MECHI NNE
- THIERRY HENRY APATA MAJERAHA MAZOEZINI
- AJIKATA UUME NA KUCHOMA NYUMBA MOTO
- MAANDALIZI YA BONANZA LA MICHEZO YA TUMAINI YAEND...
- DIAMOND AHUKUMIWA MIEZI 6 JELA
-
▼
January
(8)
Popular Posts
-
Johannesburg (CNN) -- South African anti- apartheid icon Nelson Mandela successfully underwent hernia surgery Saturday, a family member told...
-
The boy octopus An eight-Deepak Kumar from India became a normal child after his parasitic twin was removed by surgery. In India, the b...
-
Computer does not care how you look. Computer can’t be angry if you not respond immediately. Computer always wait for you Computer can’...
-
PRESIDENT Jakaya Kikwete has warned the opposition PRESIDENT Jakaya Kikwete has warned the opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
-
AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harris...
-
The Football Association have confirmed that Fabio Capello has resigned as England manager. The Italian tendered his resignation following a...
-
How to be faithful to a Husband or Wife? There are many people who easily stray and end up cheating on their loved ones. Some get away with ...
-
Before you make an attempt to stop masturbating, there’s an important issue to deal with first. This issue is important because masturbatio...
OTHER BLOG LIST
Monday, January 23, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment