Timu ya Inter Milan ya nchini Italia imeridhia kumuuza kiungo mshambuliaji wa timu hiyo kwa ada ya £25m. Wesley Sneijder ambae amekuwa akiwindwa na Mashetani wekundu kwa muda mrefu sasa anatarajiwa kusafiri usiku huu kwa vipimo vya afya jijini Manchester na baadae atatangazwa rasmi kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa.
Habari zaidi baadae
From Official source
VIAZI MVIRINGO VYAFUNGUA FURSA MPYA YA KILIMO DODOMA
20 hours ago

No comments:
Post a Comment