Baada ya mchezaji mtukutu wa club ya Manchester City kufungiwa michezo minne na chama cha soka nchini Uingereza FA. Ameendeleza visa vyake kwa kupost picha ya katuni ya kocha huyo wa Tottenham yenye picha ya mbwa usoni na trend yenye maneno
#MyDogAteMyTaxReturns.
Hii imekuja baada ya kocha huyo kupeleka mashtaka FA baada ya mchezo wa jana. Harry anakabiliwa na kesi ya kukwepa kulipa kodi alipokuwa kocha wa Portsmouth ambapo alifungua akaunti benki aliyoipa jina la mbwa wake.
Kuicheki katuni hiyo tembelea akaunti ya twitter ya mchezaji huyo yenye jina la @MarioBalotelAd.
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2012
(43)
-
▼
January
(8)
- USAJILI DIRISHA DOGO ENGLAND
- HATIMAYE INTER WARIDHIA KUMUUZA SNEIJDER MANCHEST...
- BALOTELI AMALIZIA HASIRA ZAKE KWA HARRY REDNAPP:AM...
- BALOTELI AFUNGIWA MECHI NNE
- THIERRY HENRY APATA MAJERAHA MAZOEZINI
- AJIKATA UUME NA KUCHOMA NYUMBA MOTO
- MAANDALIZI YA BONANZA LA MICHEZO YA TUMAINI YAEND...
- DIAMOND AHUKUMIWA MIEZI 6 JELA
-
▼
January
(8)
Popular Posts
-
Leo Mbunge wa Mbozi Geofrey Zambi alitoa hoja ya bunge kujadili suala la mgomo wa madaktari kwa dharura kufuatia taarifa kuwa madaktari bing...
-
Haya ndiyo baadhi ya yaliyoamuliwa kuhusu madai ya Madaktari Kwa ufupi, kutoka kwa watu waliokuwemo kwenye mkutano wa Madaktari na Waziri Mk...
-
Mashabiki 74 wamepoteza maisha yao jana mjini Port Said nchini Misri katika mchezo uliozikutanisha timu za Al Masry dhidi ya timu inayoongoz...
-
The worst part about being president is that you have to act civilized all the time…
-
Jana usiku klabu za Chelsea na Real Madrid zilifuata nyayo za Manchester United, Barcelona, Shaktar Donetsk, Inter Milan, Tottenham Hotspu...
-
Ule mchezo wa kubadili majina kila baada ya miaka kadhaa ikiwa ni janja ya kukwepa kulipa kodi umeendelea kudhihirika mara baada ya hotel ma...
-
Usajili uliokamilika kwa timu za Uingereza Everton -Nikica Jelavic toka Rangers Tottenham - Louis Saha toka Everton QPR - Djibril Cis...
-
Hatimaye serikali kupitia Wizara ya Mali Asili na Utalii imetoa namba maalum ambazo zitawawezesha watanzania kuupigia kura mlima Kilimanjaro...
-
Baridi iliyoleta kizaazaa barani Ulaya imekwishaua watu 300, huku watu wanaoishi katika nchi za Ukraine na Italia wakiwa katika shida kubwa ...
OTHER BLOG LIST
Monday, January 23, 2012
BALOTELI AMALIZIA HASIRA ZAKE KWA HARRY REDNAPP:AMCHAFUA KATIKA TWITTER
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment