WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Showing posts with label Michezo. Show all posts
Showing posts with label Michezo. Show all posts

Friday, February 24, 2012

ARSHAVIN, SAMBA WAKIMBILIA RUSSIA

Arshavin amejiunga na klabu yake ya zamani ya Zennit Petrsburg ya Urusi kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu, mchezaji huyo ambae alikuwa akiipigia klabu hiyo kabla ya kuhamia Arsenal amalazimika kuchukua maamuzi hayo baada ya nafasi yake katika kikosi cha kwanza kuwa ngumu klabuni hapo tangu kuwasili kwa Gevinho toka Lille mwanzoni mwa msimu, ili kujihakikishia nafasi ya kuichezea timu yake ya Taifa katika michuano ya Ulaya mwezi Juni imembidi Arshavin kufanya hivyo
Wakati huo huo beki wa klabu ya Blackburn Rivers ya Uingereza Chriss Samba amejiunga na Matajiri wa Urusi Anzhi Makachkalla kwa uhamisho wa ada ambayo haijawekwa bayana.

Wednesday, February 22, 2012

ARSENAL & TOTTENHAM ZAONYA MASHABIKI WAKE

Timu za soka zinazotokea katika jiji la London na zilizo katika Big 4 ya ligi kuu ya England zimewaonya mashabiki wake kujiepusha na vitendo vya kibaguzi katika kuelekea mchezo mkali kabisa utakaozikutanisha timu hizo siku ya jumapili.
Katika mchezo huo Mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo Emmanuel Adebayor atakuwa akirejea kwa mara ya kwanza toka ajiunge na Tottenham Hotspurs kwa mkopo akitokea Manchester City. Adebayor ambae anatarajia mapokezi mabaya katika uwanja wa Emirates amekuwa katika kiwango bora kabisa msimu huu mara baada ya kutolewa kwa mkopo kwa Real Madrid msimu uliopita na sasa akiichezea Tottenham ambapo katika mcchezo uliopita ambao Tottenham iliifunga timu ngumu ya Newcastle 5 - 0, Adebayor alihusika katika utengenezaji wa magoli manne na yeye kufunga moja.
Kauli toka kwa klabu hizo imekuja mara baada ya Waziri mkuu wa England Mh David Cameron kutoa karipio kali juu ya vitendo vya kibaguzi katika soka hapo jana katika mkutano dhidi yake na chama cha soka cha Uingereza FA, Cameron alisema kama jambo hilo lisiposhughulikiwa kwa ufasaha litaurudisha mchezo wa soka nyuma katika miaka ambapo ubaguzi ulishamiri.

Tuesday, February 21, 2012

SUGU NA RUGE WAPATANISHWA

AKITOA TAARIFA JUU YA MASULUHISHO HAYO MSANII WA KUNDI LA WAGOSI WA KAYA AMESEMA:KWANZA POLENI NA SAMAHANINI KWA HALI YA SINTOFAHAMU ILIYOTOKEA LEO KUTOKANA NA TAARIFA ZA GHAFLA ZA USULUHISHI KATI YETU NA RUGE/CLOUDS FM,NI KUTOKANA NA UNYETI WA ISSUE YENYEWE ILIBIDI TUFANYE HIVYO KWA NIA NJEMA KABISA…KWANZA NAOMBA TUJIPONGEZE KWA KUWA TUKIO LA LEO NI USHINDI KWA VINEGA KWA MAANA KWAMBA MADAI YETU YOTE YA MSINGI NDIO YALIKUWA MSINGI WA MAJADILIANO NA RUGE AMEKUBALI KUYATEKELEZA YOTE…KUANZIA SUALA LA STUDIO YA RAIS KURUDISHWA KWA BASATA ILI IWE YA WASANII WOTE,PIA T.F.U IJIKABIDHI KWA CHAMA HALALI CHA WASANII YAANI T.U.M.A KAMA AMBAVYO TULIKUWA TUNADAI NA MPAKA ISSUE ZA WASANII KUNYANYASWA NA KUBANIWA NA PIA SUALA LA MALIPO HAFIFU VYOTE VIMEJADILIWA NA KUKUBALIWA KWA UTEKELEZAJI…HAIKUWA KAZI RAHISI,KWANZA ILIANZA KWA WAO KUMPIGIA MWENYEKITI WANGU MBOWE KUTAKA TUKAE CHINI,AMBAPO KAMANDA MBOWE ALINISHAURI TUKAE NAO CHINI KAMA KWELI WANA NIA YA KUYAMALIZA…BAADAYE WAKAMPIGIA MR SHIGONGO AMBAYE NI WAZI KUWA NI KATI YA WATU WANGU WA KARIBU NAYE BAADA YA KUONGEA NA MR. KUSAGA TU ALINIPIGIA NA KUNISHAURI HIVYO HIVYO…NA KAMA HAIKUTOSHA WAKALIFIKISHA HILI SUALA KWENYE KAMATI YA BUNGE AMBAYO ILINITAKA NIIPE MAELEZO YA KIINI CHA MGOGORO NA NIKAFANYA HIVYO AMBAPO PIA BAADA YA KUNIELEWA WAKASHAURI NIKAE NAO CHINI…NA HATIMAYE SUALA HILI LIKAISHIA MIKONONI MWA WAZIRI NCHIMBI PAMOJA NA MHE. TUNDU LISSU(MP) KUWA WAPATANISHI WETU… WAZIRI NCHIMBI AKAANZA KWA KUMUITA RUGE DODOMA NA ALIKUJA TUKAKAA KWA HATUA YA KWANZA NA HATIMAYE LEO TUKAKAA TENA MAKAO MAKUU YA WIZARA YA UTAMADUNI CHINI YA DR NCHIMBI NA MHE TUNDU LISSU NA HATIMAYE TUKAFIKIA HATUA HII YA LEO…VITA YETU ILIKUWA NA HOJA HATUKUWA TUNAPIGANA TU KWA CHUKI BINAFSI KAMA BAADHI YA WATU WALIVYOKUWA WANAJARIBU KUIWEKA,KWAHIYO KAMA HOJA ZETU ZIMEELEWEKA KWA SASA TUNATAKIWA KUSHUKURU NA KUFURAHIA…LAKINI NAOMBA NIWAHAKIKISHIE MISIMAMO IKO PALE PALE NA NIMEWAWEKA WAZI KUWA ANTI-VIRUS ITAENDELEA KUWEPO ILI KUENDELEA KU-SCAN VIRUS WENGINE KAMA MAMENEJA MASOKO NA WENGINE WATAKAOJITOKEZA KWANI NCHI INAPOSHINDA VITA AU HATA KUFIKIA TU MAKUBALIANO YA AMANI NA NCHI ADUI YAKE HAINA MAANA NCHI HIYO INAVUNJA JESHI LAKE…ASANTENI SANA…

Mgosi Mkoloni TAARIFA: POLENI SANA WANAHARAKATI KWA MKANGANYIKO WA TAARIFA MLIOUPATA KUPITIA MITANDAO HII YA KIJAMII……LINAKUJA TAMKO RASMI ILI TAARIFA ZIWAFIKIE WANAHARAKATI WOTE DUNIANI JUU YA NINI KIMEFANYIKA NA NINI KIMEAMULIWA,PICHA NA KUPEANA MIKONO KUSIWASTUE KIASI CHA KUVUNJIKA MOYO ILA SIWALAUMU NA HII NI KWA SABABU YA KUTOPATA TAARIFA YA NINI KIMETOKEA…..NI USHINDI KWA KWENDA MBELE HATA WAONGEE NINI TAARIFA ITAKAYOTOLEWA NDIO JIBU SAHIHI KWA WANAHARAKATI WOTE……..ALUTA CONTINUA……….PAMOJA SANA!

Saturday, February 18, 2012

ASAMOAH GYAN QUITS INTERNATIONAL FOOTBALL

Asamoah Gyan has decided to take an "indefinite break" from international football. The Black Stars key man sent a letter to the Ghanaian Football Association late on Friday night informing them of his decision, which had the "full support of family and friends". The 26-year-old has been capped 59 times by his country. He cited the "intolerable" abuse he has been subjected to following the Black Stars exit from the recent African Cup of Nations. The player has been at the butt end of serious critique from his countrymen, who have blamed him for repeatedly causing them heartache, after missing penalties in the African Cup against Zambia and a previous one against Uruguay. According to Gyan has said that is was "not a the decision lightly" to end his international career for the time being. He said it had been "an incredible honour" to represent his country having made his debut as a 17-year-old in 2003. The striker, on-loan at Al Ain from Premier League club Sunderland, concludes his letter, according to source at the Ghanaian FA, by stating he will notify the them when, and if, he wishes to return in the future. Gyan has scored 28 goals in 59 games for his country and netted on his debut against Somalia nine years ago

Friday, February 17, 2012

WENGER TO SELL WALCOTT & OTHER 5 PLAYERS IN SUMMER: VAN PERSIE IS LIKELY TO GO TOO

Arsene Wenger is running out of patience with Theo Walcott and could sell the England forward in a summer clear-out. Arsenal’s humiliating 4-0 defeat by AC Milan on Wednesday night will have far-reaching consequences as the Gunners manager prepares to wield the axe, with Walcott the highest-profile player on his radar. Wenger launched a furious tirade at his players during a team meeting at the club’s London Colney training ground on Thursday, warning them that he will not tolerate any more performances like the debacle in Milan. Hauled off: Theo Walcott was substituted at half-time after a peripheral performance in Milan That embarrassing defeat has also put skipper Robin van Persie a step closer to leaving the club as Arsenal sources told Sportsmail that a number of players are now fighting for their futures. As former Gunners midfielder Emmanuel Petit claimed Walcott and other young players have not repaid Wenger’s faith in them, the manager has decided enough is enough and will ship out players who have underachieved. Petit was scathing of Arsenal’s performance, telling French website sofoot.com: ‘In midfield there isn’t anything now, the defence is constantly under construction. Stagnant: Emmanuel Petit (left) slammed Walcott for a lack of progress ‘Certain young players haven’t done enough to justify the confidence that Arsene has in them. ‘Walcott — somehow he’s going to have to reach the next stage. It’s been years that he’s been at the same level.’ Walcott was substituted at half-time and the arrival of Alex Oxlade-Chamberlain has cast doubt on whether the England winger is worth a starting place. Inept: The gulf in class between AC Milan and Arsenal was a sight to behold Andrey Arshavin, Marouane Chamakh, Sebastien Squillaci, Tomas Rosicky and Park Ju-young are all likely to leave and Van Persie, whose deal expires at the end of next season, has yet to sign a new contract. He cut a forlorn figure at the San Siro as the enormity of the defeat sunk in. Mario Gotze, Lukas Podolski and Eden Hazard are all on Wenger’s shopping list but Van Persie doubts he can sign them.

Thursday, February 16, 2012

MATOKEO YA MICHEZO YOTE YA EUROPA ILIYOFANYIKA JANA USIKU.

Lokomotiv 2-1Bilbao FT
AZ Alkmaar 1-0 Anderlecht FT
Ajax 0-2 Man Utd FT
Lazio 1-3 Atletico M FT
Legia Warsaw 2-2 Sporting FT
Plzen 1-1 Schalke FT
Salzburg 0-4 Metalist Kharki FT
FC Porto 1-2 Man City FT
Hannover 2-1 Club Brugge
FT Steaua Bucuresti 0-1 Twente FT
Stoke City 0-1 Valencia FT
Trabzonspor 1-2 PSV FT
Udinese 0-0 PAOK Salonika FT
Wisla Krakow 1-1 Standard Liege FT

HABARI ZILIZOPAMBA MAGAZETI YA SOKA ULAYA LEO

Roberto Mancini slammed the door on Carlos Tevez returning to the Man City team. THE SUN

Sir Alex Ferguson believes Ryan Giggs could one day succeed him as Manchester United manager. DAILY MAIL


Man City manager Roberto Mancini has ordered striker Mario Balotelli to behave himself for the rest of the season. THE SUN


Patrice Evra has been left out of Man Utd's Europa League trip to Amsterdam as a result of an 'emotional week' following the handshake row with Luis Suarez. DAILY MAIL


Robinho and Kevin-Prince Boateng sent Arsenal crashing to their worst-ever European defeat in the San Siro. THE SUN


Arsenal were outpaced, out-thought and outfought as Arsene Wenger's woeful failure to invest properly last summer finally caught up with them. DAILY TELEGRAPH

Chelsea are once again showing interest in 25-year- old CSKA Moscow goalkeeper Igor Akinfeev. DAILY MAIL

Russian club Anzhi Makhachkala have offered Guus Hiddink an extraordinary £8.3m-a-year contract to become their new coach and want a decision this week. DAILY TELEGRAPH

Man City boss Roberto Mancini last night hit back at Carlos Tevez by snapping: "I treated you too well." DAILY STAR

Rangers owner Craig Whyte will not face criminal charges over the £9 million in tax and VAT that is owed. TELEGRAPH


Morocco defender Mehdi Benatia, 24, has issued a 'come and get me' call to Manchester United. The Udinese centre-back is believed to be being monitored by Sir Alex Ferguson. THE SUN

Thierry Hazard, the father of Lille's Eden Hazard, has given Tottenham encouragement in their bid to sign the playmaker. DAILY MAIL

Steve Bruce faces stiff competition for the Wolves manager's job from Alan Curbishley and Neil Warnock. GUARDIAN

Wednesday, February 15, 2012

KIKOSI CHA MANCHESTER UNITED KITAKACHOIVAA AJAX KATIKA EUROPA LIGI KESHO

Timu ya Manchester United imewasili jijini Amsterdam, Uholanzi mchana wa leo kikiwa na jumla ya wachezaji 20 tayari kwa mchezo wa Raundi ya 32 ya Europa ligi kesho.
United: De Gea, Amos; Fabio, Rafael, Evans, Jones, Smalling, Fryers, Ferdinand; Valencia, Nani, Carrick, Young, Park, Scholes, Cleverley, Pogba; Rooney, Hernandez, Welbeck.
Wachezaji Patrice Evra, Ryan Giggs na Dimitar Berbatov hawakujumuishwa katika kikosi hicho.

HABARI ZILIZOPEWA KIPAUMBELE MAGAZETI YA SOKA ULAYA LEO

Carlos Tevez has been told he must make grovelling apologies before pulling on a Manchester City shirt again. THE SUN

Arsene Wenger has admitted the heat could be back on him if Arsenal mess up in Milan tonight. DAILY EXPRESS

Andre Villas-Boas is being undermined by Jose Mourinho's close relationship with Chelsea players, says the Porto president. DAILY MIRROR

Rangers are expected to be forced to cut staff and salaries after they entered administration and were deducted 10 points - a situation former captain Terry Butcher described as "pure carnage". DAILY TELEGRAPH

Alan Curbishley will hold talks with Wolves today and try to convince the Premier League strugglers he is the man to steer them to safety. THE SUN

Man Utd are interested in Real Madrid's German international midfielder Sami Khedira, with the 24- year-old weighing up his options. DAILY MAIL

Striker Daniel Sturridge is considering his future at Chelsea as their season lurches deeper into disarray. THE SUN

Carlos Tevez has returned to Man City and immediately felt the backlash over his three months on strike. DAILY MIRROR

Arsene Wenger said last night that his Arsenal team can still win the Champions League as they prepare to face Milan at San Siro. INDEPENDENT

Chelsea are still tracking Man Utd midfielder Paul Pogba - but Sir Alex Ferguson remains hopeful that he can get the highly rated 18-year-old to sign a new deal. DAILY MIRROR

Chelsea's emergency plan to reappoint Guus Hiddink suffered a set-back after it emerged he has become a serious candidate for the job at Anzhi Makhachkala. DAILY MAIL

Tottenham midfielder David Bentley is considering a move to Major League Soccer despite being given another chance after returning to Spurs following a season-long loan at West Ham. THE SUN

ARSENAL KUVAA JEZI TOFAUTI LEO DHIDI YA AC MILAN

Timu ya Arsenal ya Uingereza inatarajiwa kuvaa jezi yenye jina DUBAI kifuani katika mchezo wa leo usiku wa hatua ya 16 bora katika ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya AC Milan.
Hii inakuja baada ya wote kuwa na mdhamini mmoja ambapo huwa jezi zao zina maandishi ya Fly Emirates kifuani, Arsenal itawabidi kuvaa jezi hizo sababu wapo ugenini. Mara ya mwisho Arsenal kuvaa jezi hizo ilikuwa mwaka 2006 walipocheza na Hamburg ya Ujerumani ambao pia hudhaminiwa na kampuni hiyo ya Uarabuni.
Mchezo wa leo dhidi ya AC Milan utachezwa katika dimba la San Sirro ambapo tayari timu ya Arsenal ipo Italia tayari kwa mchezo utakaochezwa saa 4 na dakika 45 kwa saa za Afrika Mashariki.

Tuesday, February 14, 2012

BARCA, LYON ZAANZA VIZURI 16 BORA UEFA

Magoli mawili yaliyowekwa kimiani na mshambuliaji wa Barcelona raia wa Chile Alexis Sanchez sambamba na goli murua toka kwa mchezaji bora wa dunia kwa mara tatu mfululizo Lionel Messi yamewapa Barcelona ushiindi mnono wa magoli 3 ~ 1 dhidi ya Bayern Leverkusern ya Ujerumani na kujihakokishia nafasi ya kucheza katika hatua ya robo fainali.
Barcelona ambayo ilikuwa ugenini walitangulia kupata goli katika dakika ya 41 likifungwa na Sanchez ila Bayern wakafanikiwa kusawazisha katika dakika ya 50 kupitia kwa Kadlec aliyemalizia krosi murua ya Corluka, bao hilo lilidumu kwa muda mfupi ambapo Barca waliongeza goli la pili dakika ya 54 likifungwa na Sanchez tena baada ya kugongewa pasi murua na Fabregas na Messi akihitimisha la 3 dakika za mwishoni. Kwingineko mabingwa wa zamani wa Ufaransa Olympic Lyonas walijipatia ushindi mwembamba wa goli
1 ~ 0 dhidi ya Apoel Nicousia ya Urusi kupitia kwa Alexandre Lazerette baada ya kumbabatiza mlinzi wa timu hiyo ya Urusi na mpira uliojaa kimiani. Ushindi kwa timu hizo mbili zikiwa ugenini ni dalili nzuri ya kuffuzu kwa hatua inayofuata.
Kesho patakuwa na michezo mingine kati ya Arsenal vs AC Milan na CSKA Moscow vs Real Madrid.

Sunday, February 12, 2012

FA TO PUNISH SUAREZ

PFA chief executive Gordon Taylor believes it is time for the FA to intervene after Luis Suarez and Patrice Evra failed to shake hands before Manchester United's clash with Liverpool. The pair were meeting on the pitch for the first time since Suarez completed an eight-match suspension for racially abusing the Manchester United defender. Evra appeared to offer his hand to the Uruguay striker but he bypassed the Frenchman and went straight to David de Gea. That set the tone for a fractious encounter at Old Trafford in which the police were twice called on to intervene in incidents in the tunnel and dressing rooms and Evra sparked more controversy by wildly celebrating United's win in front of Evra at the final whistle. Taylor said: "What Suarez did was disrespectful, inappropriate and embarrassing. I just felt quite sick in my stomach. "If anything, Patrice Evra was the victim and he was prepared to put his hand out. "These players are expected to be role models but if we have a situation where nobody accepts the findings of hearings and just carries on regardless, all you get is anarchy. "Now the Football Association have to step in because the whole situation has gone too far. "Suarez had a chance to put everything to be yesterday, in front of a worldwide audience. "The fact that he chose not to is, quite frankly, depressing."

Saturday, February 11, 2012

R.I.P: WHITNEY HOUSTON 48 DIED

Whitney Houston, who reigned as pop music's queen until her majestic voice and regal image were ravaged by drug use, erratic behavior and a tumultuous marriage to singer Bobby Brown, has died. She was 48. Publicist Kristen Foster said Saturday that the singer had died, but the cause and the location of her death were unknown. At her peak, Houston was the golden girl of the music industry. From the middle 1980s to the late 1990s, she was one of the world's best-selling artists. She wowed audiences with effortless, powerful, and peerless vocals that were rooted in the black church but made palatable to the masses with a pop sheen. Her success carried her beyond music to movies, where she starred in hits like "The Bodyguard" and "Waiting to Exhale." She had the perfect voice and the perfect image: a gorgeous singer who had sex appeal but was never overtly sexual, who maintained perfect poise. She influenced a generation of younger singers, from Christina Aguilera to Mariah Carey, who when she first came out sounded so much like Houston that many thought it was Houston. But by the end of her career, Houston became a stunning cautionary tale of the toll of drug use. Her album sales plummeted and the hits stopped coming; her once serene image was shattered by a wild demeanor and bizarre public appearances. She confessed to abusing cocaine, marijuana and pills, and her once pristine voice became raspy and hoarse, unable to hit the high notes as she had during her prime. "The biggest devil is me. I'm either my best friend or my worst enemy," Houston told ABC's Diane Sawyer in an infamous 2002 interview with then- husband Brown by her side. It was a tragic fall for a superstar who was one of the top-selling artists in pop music history, with more than 55 million records sold in the United States alone. She seemed to be born into greatness. She was the daughter of gospel singer Cissy Houston, the cousin of 1960s pop diva Dionne Warwick and the goddaughter of Aretha Franklin. Houston first started singing in the church as a child. In her teens, she sang backup for Chaka Khan, Jermaine Jackson and others, in addition to modeling. It was around that time when music mogul Clive Davis first heard Houston perform. "The time that I first saw her singing in her mother's act in a club ... it was such a stunning impact," Davis told "Good Morning America." "To hear this young girl breathe such fire into this song. I mean, it really sent the proverbial tingles up my spine," he added. Before long, the rest of the country would feel it, too. Houston made her album debut in 1985 with "Whitney Houston," which sold millions and spawned hit after hit. "Saving All My Love for You" brought her her first Grammy, for best female pop vocal. "How Will I Know," ''You Give Good Love" and "The Greatest Love of All" also became hit singles. Another multiplatinum album, "Whitney," came out in 1987 and included hits like "Where Do Broken Hearts Go" and "I Wanna Dance With Somebody." The New York Times wrote that Houston "possesses one of her generation's most powerful gospel-trained voices, but she eschews many of the churchier mannerisms of her forerunners. She uses ornamental gospel phrasing only sparingly, and instead of projecting an earthy, tearful vulnerability, communicates cool self-assurance and strength, building pop ballads to majestic, sustained peaks of intensity." Her decision not to follow the more soulful inflections of singers like Franklin drew criticism by some who saw her as playing down her black roots to go pop and reach white audiences. The criticism would become a constant refrain through much of her career. She was even booed during the "Soul Train Awards" in 1989. "Sometimes it gets down to that, you know?" she told Katie Couric in 1996. "You're not black enough for them. I don't know. You're not R&B enough. You're very pop. The white audience has taken you away from them." Some saw her 1992 marriage to former New Edition member and soul crooner Bobby Brown as an attempt to refute those critics. It seemed to be an odd union; she was seen as pop's pure princess while he had a bad-boy image, and already had children of his own. (The couple had a daughter, Bobbi Kristina, in 1993.) Over the years, he would be arrested several times, on charges ranging from DUI to failure to pay child support. But Houston said their true personalities were not as far apart as people may have believed. "When you love, you love. I mean, do you stop loving somebody because you have different images? You know, Bobby and I basically come from the same place," she told Rolling Stone in 1993. "You see somebody, and you deal with their image, that's their image. It's part of them, it's not the whole picture. I am not always in a sequined gown. I am nobody's angel. I can get down and dirty. I can get raunchy." It would take several years, however, for the public to see that side of Houston. Her moving 1991 rendition of "The Star Spangled Banner" at the Super Bowl, amid the first Gulf War, set a new standard and once again reaffirmed her as America's sweetheart. In 1992, she became a star in the acting world with "The Bodyguard." Despite mixed reviews, the story of a singer (Houston) guarded by a former Secret Service agent (Kevin Costner) was an international success. It also gave her perhaps her most memorable hit: a searing, stunning rendition of Dolly Parton's "I Will Always Love You," which sat atop the charts for weeks. It was Grammy's record of the year and best female pop vocal, and the "Bodyguard" soundtrack was named album of the year. She returned to the big screen in 1995-96 with "Waiting to Exhale" and "The Preacher's Wife." Both spawned soundtrack albums, and another hit studio album, "My Love Is Your Love," in 1998, brought her a Grammy for best female R&B vocal for the cut "It's Not Right But It's Okay." But during these career and personal highs, Houston was using drugs. In an interview with Oprah Winfrey in 2010, she said by the time "The Preacher's Wife" was released, "(doing drugs) was an everyday thing. ... I would do my work, but after I did my work, for a whole year or two, it was every day. ... I wasn't happy by that point in time. I was losing myself." In the interview, Houston blamed her rocky marriage to Brown, which included a charge of domestic abuse against Brown in 1993. They divorced in 2007. Houston would go to rehab twice before she would declare herself drug-free to Winfrey in 2010. But in the interim, there were missed concert dates, a stop at an airport due to drugs, and public meltdowns. She was so startlingly thin during a 2001 Michael Jackson tribute concert that rumors spread she had died the next day. Her crude behavior and jittery appearance on Brown's reality show, "Being Bobby Brown," was an example of her sad decline. Her Sawyer interview, where she declared "crack is whack," was often parodied. She dropped out of the spotlight for a few years. Houston staged what seemed to be a successful comeback with the 2009 album "I Look To You." The album debuted on the top of the charts, and would eventually go platinum. Things soon fell apart. A concert to promote the album on "Good Morning America" went awry as Houston's voice sounded ragged and off-key. She blamed an interview with Winfrey for straining her voice. A world tour launched overseas, however, only confirmed suspicions that Houston had lost her treasured gift, as she failed to hit notes and left many fans unimpressed; some walked out. Canceled concert dates raised speculation that she may have been abusing drugs, but she denied those claims and said she was in great shape, blaming illness for cancellations.
Source: Los Angeles (AP)

Wednesday, February 8, 2012

FABIO CAPELLO RESIGNED TO COACH ENGLAND

The Football Association have confirmed that Fabio Capello has resigned as England manager. The Italian tendered his resignation following a meeting with FA chairman David Bernstein and general secretary Alex Horne at Wembley. The meeting focused on the FA board's decision to strip John Terry of the England captaincy and Capello's subsequent comments to the Italian media. Bernstein told the FA's official website: "I would like to stress that during today's meeting and throughout his time as England Manager, Fabio has conducted himself in an extremely professional manner. "We have accepted Fabio's resignation, agreeing this is the right decision. We would like to thank Fabio for his work with the England team and wish him every success in the future." Capello was appointed England manager in 2008 as the successor to Steve McLaren and oversaw a relatively successful four years. England lost just two competitive matches under the 65-year-old although he was widely criticised for the dismal 2010 World Cup campaign, which ended in the last 16 with a 4-1 defeat to Germany. More

Friday, February 3, 2012

TERRY APOKONYWA UNAHODHA ENGLAND

Nahodha wa klabu ya Chelsea John Terry amepokonywa unahodha wa timu ya Taifa kwa mara ya pili katika kipindi cha miaka miwili kutokana na tuhuma za ubaguzi inayomkabili
Terry anakabiliwa na mashtaka ya kumtamkia maneno ya kibaguzi mchezaji wa QPR Anton Ferdinand mwishoni mwa mwaka jana.
Mahakama inayosikiliza kesi hiyo imeiahirisha hadi Julai 9 siku 8 baada ya fainali za EURO. Nahodha mpya anatarajiwa kutangazwa muda wowote huku Steven Gerrad akipewa nafasi kubwa

Wednesday, February 1, 2012

MASHABIKI 74 WAFARIKI KATIKA FUJO MISRI

Mashabiki 74 wamepoteza maisha yao jana mjini Port Said nchini Misri katika mchezo uliozikutanisha timu za Al Masry dhidi ya timu inayoongoza ligi kuu nchini humo ya Al Ahly ambapo timu hiyo ndogo ya Al Masry ilifanikiwa kuifunga timu ya Al Ahly kwa jumla ya magoli 3 - 1.
Baada ya filimbi ya mwisho mashabiki wa timu mwenyeji ya Al Masry walivamia uwanja na kuanza kuwakimbiza wachezaji wa Al Ahly na kuwapiga ambapo katika fujo hizo wachezaji kadhaa wa Al Ahly walijeruhiwa na Polisi walifanikiwa kuingilia kati na kuwaokoa.
Wengi wa mashabiki hao wamefariki kutokana na kukanyagana na wengine kwa majeraha walipokuwa wakipigana na mashabiki wa timu pinzani.
Rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Blatter amesema amesikitishwa sana na tukio hilo ambalo halitegemewi kutokea katika soka mara nyingi na ana majonzi kwa wale waliopoteza ndugu zao kutokana na tukio hilo na kusema kwa kifupi "It was a black day in Footbal"
Chama cha soka nchini humo kimetangaza kusimamisha michezo ligi ya mpira kwa muda usiojulikana wakati huu ambapo uchunguzi unaendelea huku pakiwa na dalili kwa timu ya Al Masry kufutwa katika ulimwengu wa soka.
Mungu aziweke roho za marehemu mahala pema peponi.
Source: SkySports Football Website
www.skysports.com

Monday, January 30, 2012

HATIMAYE INTER WARIDHIA KUMUUZA SNEIJDER MANCHESTER: ASAFIRI KUPIMWA AFYA USIKU HUU

Timu ya Inter Milan ya nchini Italia imeridhia kumuuza kiungo mshambuliaji wa timu hiyo kwa ada ya £25m. Wesley Sneijder ambae amekuwa akiwindwa na Mashetani wekundu kwa muda mrefu sasa anatarajiwa kusafiri usiku huu kwa vipimo vya afya jijini Manchester na baadae atatangazwa rasmi kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa.

Habari zaidi baadae
From Official source

Monday, January 23, 2012

BALOTELI AMALIZIA HASIRA ZAKE KWA HARRY REDNAPP:AMCHAFUA KATIKA TWITTER

Baada ya mchezaji mtukutu wa club ya Manchester City kufungiwa michezo minne na chama cha soka nchini Uingereza FA. Ameendeleza visa vyake kwa kupost picha ya katuni ya kocha huyo wa Tottenham yenye picha ya mbwa usoni na trend yenye maneno
#MyDogAteMyTaxReturns.
Hii imekuja baada ya kocha huyo kupeleka mashtaka FA baada ya mchezo wa jana. Harry anakabiliwa na kesi ya kukwepa kulipa kodi alipokuwa kocha wa Portsmouth ambapo alifungua akaunti benki aliyoipa jina la mbwa wake.
Kuicheki katuni hiyo tembelea akaunti ya twitter ya mchezaji huyo yenye jina la @MarioBalotelAd.

BALOTELI AFUNGIWA MECHI NNE

Chama cha soka nchini Uingereza kimetangaza hukumu ya kumfungia Mchezaji wa Manchester City Mario Baloteli kutokana na kitendo chake cha kumpiga teke usoni Mchezaji wa Tottenham Hotspurs Scott Parker katika mchezo wa jana.
Akizungumza kwa masikitiko msemaji wa FA Gramne Souness amesema "I think he should sent off" huku akiongeza kuwa " mguu wake wa kulia ulipaswa kutangulia mbele baada ya kuupiga mpira ila kitendo cha kuurudisha nyuma kilikuwa cha makusudi. Kufuatia tukio hilo Baloteli atakosa mchezo wa marudiano wa Carling Cup dhidi ya Liverpool na michezo mitatu ya ligi dhidi ya Everton, Fulham na Aston Villa, hukumu hiyo inatarajowa kuanza mara moja na endapo wakikata rufaa FA anaweza kucheza mchezo dhidi ya Liverpool na uchunguzi wa FA ukirudiwa anaweza kuongezewa adhabu.
Gramne Souness pia alimshangaa mwamuzi Howard Webb kwa kutompatia kadi ya pili ya njano mchezaji huyo ambayo ingemtoa nje ya mchezo huku akisema " Great players are consistent, but Baloteli is a car crush waiting to happen

Wednesday, January 18, 2012

THIERRY HENRY APATA MAJERAHA MAZOEZINI

Nyota wa Klabu ya New York Redbulls ya Marekani aliye katika kikosi cha Arsenal kwa mkopo wa miezi miwili amepata majeraha katika mazoezi asubuhi ya leo jambo ambalo linaweza kumuweka nje katika mchezo wa jumapili dhidi ya Manchester United.
Henry(34) alitua katika klabu yake hiyo ya zamani mwanzoni mwa mwezi huu na amecheza michezo miwili hadi sasa dhidi ya Leeds United na Swansea City akiwa amepachika goli moja tayari.