Msanii maarufu wa kundi la Tiptop Connection maarufu kwa jina la Tundaman au Mikidadi amepata ajali mbaya ya gari akiwa njiani toka Kahama kuelekea Shinyanga kwa ajili ya Shoo.
Tundaman amesema chanzo cha ajali hiyo ni kutokana na kuchoka kwa dereva ambae alianza kusinzia na kusababisha gari yao aina ya Toyota Cresta kupinduka kichwa chini miguu juu.
Katika safari hiyo Tundaman aliongozana na Dj Kman(wa kundi la Tiptop) na dereva ambae alifariki papo hapo. Hali zao zinaendelea vizuri na mungu awape afya njema
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
December
(13)
- CHRISTMASS GIFT: OPEN HERE
- MVUA YAZUA BALAA DAR ES SALAAM
- TAARIFA MAALUM TOKA TANESCO
- RATIBA YA 16 BORA UEFA YATANGAZWA: LOOK DOWN
- BE CARE: WATU 102 WAFA KWA KUNYWA POMBE YENYE SUMU
- MATUKIO KUMI YAKUKUMBUKWA MWAKA 2011: SOMA HAPA
- 5 FACTS ABOUT FACEBOOK USERS IN tANZANIA
- MISAMIATI 30 ILIKOSA MAJIBU KATIKA MIAKA 50 YA UHURU
- VIBAKA WAMFANYIA KITU MBAYA DIAMOND
- HIVI RAIS YUPO AU AMESAFIRI? NCHI INAONGOZWA NA NANI?
- TUNDAMAN APATA AJALI MBAYA
- MAKUNDI YA EURO 2012 YATANGAZWA. LOOK DOWN
- MR EBBO AFARIKI DUNIA
-
▼
December
(13)
Popular Posts
-
Mgao wa umeme ambao ulisitishwa kwa muda na serikali baada ya kuamua kutoa fedha ajili ya ununuzi wa mafuta kwa kampuni ya IPTL kwa mwezi Ag...
-
Mnadhimu mkuu wa Jeshi la wananchi la Tanzania Abdularahman Shimbo anashikiliwa na polisi wa kimataifa (Interpol) kwa mahojiano zaidi baada ...
-
AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harris...
-
Chama cha soka nchini Uingereza kimetangaza hukumu ya kumfungia Mchezaji wa Manchester City Mario Baloteli kutokana na kitendo chake cha kum...
-
Hatimaye jana mshindi wa shindano la BSS Second Chance Hajji Ramadhani jana alijinyakulia 40m za BSS huku akifuatiwa na Joseph Cuthbert kati...
-
Serikali ya Uingereza imezitaka nchi zinazoendelea kuzitambua haki za mashoga la sivyo zitapunguziwa ama kuondolewa kabisa misaada inayotole...
-
Johannesburg (CNN) -- South African anti- apartheid icon Nelson Mandela successfully underwent hernia surgery Saturday, a family member told...
-
Babu akitoa huduma kwa wagonjwa WAKATI idadi ya watu ikizid...
OTHER BLOG LIST
Saturday, December 3, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hizi ajali zitaisha lini cjui
ReplyDelete