Balozi wa Uingereza hapa nchini amesema kama Serikali ya Tanzania haitakubaliana na sera za Chama cha Conservative nchini kwao kilichochini ya David Cameron ambacho kinataka nchi za kiafrika kuukubali USHOGA.
Amesema kuwa kama hatutakubaliana na sera hizo nchi hiyo itaangalia tena uhusiano wao na Tanzania.
Kauli hiyo imekuja mara baada ya Waziri wa mambo ya Nje wa Tanzania Mh Bernard Membe kutoa msimamo wa serikali kutokubaliana na masharti hayo
TCCA YAMPONGEZA DKT. NASRA KUSAIDIA SEKTA YA ANGA
13 hours ago

Oh Fuck.. wasituzingue na misaaada yao. Hii ni wake up call kwamba huku kumtegemea mtu akusaidie kwa kila kitu matatizo yake ndo haya.
ReplyDelete