Baridi iliyoleta kizaazaa barani Ulaya imekwishaua watu 300, huku watu wanaoishi katika nchi za Ukraine na Italia wakiwa katika shida kubwa ya kukabiliana na viwango vya baridi ambavyo vimevunja rekodi barani Ulaya..
Baridi hiyo ambayo imefikisha wiki kwa sasa imeleta madhara makubwa barani Ulaya huku nchi za Urusi na Czech zikiwa zimetanda barafu jambo ambalo limesababisha shughuli nyingi kusimama.
WATATU MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI MOROGORO
3 hours ago

No comments:
Post a Comment