Baridi iliyoleta kizaazaa barani Ulaya imekwishaua watu 300, huku watu wanaoishi katika nchi za Ukraine na Italia wakiwa katika shida kubwa ya kukabiliana na viwango vya baridi ambavyo vimevunja rekodi barani Ulaya..
Baridi hiyo ambayo imefikisha wiki kwa sasa imeleta madhara makubwa barani Ulaya huku nchi za Urusi na Czech zikiwa zimetanda barafu jambo ambalo limesababisha shughuli nyingi kusimama.
TUME YA MADINI YAFUNGUA FURSA KWA VIJANA
21 minutes ago

No comments:
Post a Comment