Arshavin amejiunga na klabu yake ya zamani ya Zennit Petrsburg ya Urusi kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu, mchezaji huyo ambae alikuwa akiipigia klabu hiyo kabla ya kuhamia Arsenal amalazimika kuchukua maamuzi hayo baada ya nafasi yake katika kikosi cha kwanza kuwa ngumu klabuni hapo tangu kuwasili kwa Gevinho toka Lille mwanzoni mwa msimu, ili kujihakikishia nafasi ya kuichezea timu yake ya Taifa katika michuano ya Ulaya mwezi Juni imembidi Arshavin kufanya hivyo
Wakati huo huo beki wa klabu ya Blackburn Rivers ya Uingereza Chriss Samba amejiunga na Matajiri wa Urusi Anzhi Makachkalla kwa uhamisho wa ada ambayo haijawekwa bayana.
KIBAHA KUANZA KILIMO CHA MBOGAMBOGA NA MATUNDA
25 minutes ago

No comments:
Post a Comment