Magoli mawili yaliyowekwa kimiani na mshambuliaji wa Barcelona raia wa Chile Alexis Sanchez sambamba na goli murua toka kwa mchezaji bora wa dunia kwa mara tatu mfululizo Lionel Messi yamewapa Barcelona ushiindi mnono wa magoli 3 ~ 1 dhidi ya Bayern Leverkusern ya Ujerumani na kujihakokishia nafasi ya kucheza katika hatua ya robo fainali.
Barcelona ambayo ilikuwa ugenini walitangulia kupata goli katika dakika ya 41 likifungwa na Sanchez ila Bayern wakafanikiwa kusawazisha katika dakika ya 50 kupitia kwa Kadlec aliyemalizia krosi murua ya Corluka, bao hilo lilidumu kwa muda mfupi ambapo Barca waliongeza goli la pili dakika ya 54 likifungwa na Sanchez tena baada ya kugongewa pasi murua na Fabregas na Messi akihitimisha la 3 dakika za mwishoni. Kwingineko mabingwa wa zamani wa Ufaransa Olympic Lyonas walijipatia ushindi mwembamba wa goli
1 ~ 0 dhidi ya Apoel Nicousia ya Urusi kupitia kwa Alexandre Lazerette baada ya kumbabatiza mlinzi wa timu hiyo ya Urusi na mpira uliojaa kimiani. Ushindi kwa timu hizo mbili zikiwa ugenini ni dalili nzuri ya kuffuzu kwa hatua inayofuata.
Kesho patakuwa na michezo mingine kati ya Arsenal vs AC Milan na CSKA Moscow vs Real Madrid.
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2012
(43)
-
▼
February
(35)
- MANDELA IN "SATISFACTORY CONDITION" AFTER OPERATION
- ARSHAVIN, SAMBA WAKIMBILIA RUSSIA
- ARSENAL & TOTTENHAM ZAONYA MASHABIKI WAKE
- WARAKA WA SIRI TOKA KWA MH. HARRISON MWAKYEMBE
- SUGU NA RUGE WAPATANISHWA
- SITTA - MWAKYEMBE KALISHWA SUMU, POLISI WANAPOTOSHA
- WIZARA YA AFYA YAMRUKA DCI MANUMBA:NI KUHUSU TAARI...
- ASAMOAH GYAN QUITS INTERNATIONAL FOOTBALL
- TAARIFA YA DKT HARRISON MWAKYEMBE KUJIBU KAULI YA ...
- WENGER TO SELL WALCOTT & OTHER 5 PLAYERS IN SUMMER...
- MAJAMBAZI YAVAMIA ENEO LA MLIMANI CITY
- MATOKEO YA MICHEZO YOTE YA EUROPA ILIYOFANYIKA JAN...
- HABARI ZILIZOPAMBA MAGAZETI YA SOKA ULAYA LEO
- HONDURAS: FIRE KILLS 300 PRISONERS IN JAIL
- KIKOSI CHA MANCHESTER UNITED KITAKACHOIVAA AJAX KA...
- HABARI ZILIZOPEWA KIPAUMBELE MAGAZETI YA SOKA ULAY...
- ARSENAL KUVAA JEZI TOFAUTI LEO DHIDI YA AC MILAN
- BARCA, LYON ZAANZA VIZURI 16 BORA UEFA
- FA TO PUNISH SUAREZ
- R.I.P: WHITNEY HOUSTON 48 DIED
- WONDERFUL: PROSTITUTES IN LUSAKA OFFER FREE SEX FO...
- TAARIFA TOKA TANESCO JUU YA MGAO UNAOENDELEA
- YALIYOAMULIWA KUHUSU MADAI YA MADAKTARI:MASHARTI W...
- The list is compiled by gathering income streams f...
- MCHANGANUO WA MATOKEO KIDATO CHA NNE: DARAJA LA KW...
- WACHORA PICHA, KUANDIKA MATUSI NA VERSE ZA BONGO F...
- FABIO CAPELLO RESIGNED TO COACH ENGLAND
- UTAFITI: NUSU YA WANAUME NCHINI NI WAGUMBA
- TAARIFA MAALUM KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI TOKA JUKW...
- KAULI NA MSIMAMO WA MBUNGE jOHN MNYIKA KUHUSU MGOM...
- MADAKTARI BINGWA MUHIMBILI WAGOMA RASMI
- BARIDI INAYOENDELEA ULAYA YAUA 300
- YASEMAVYO MAGAZETI YA SOKA ULAYA LEO.
- TERRY APOKONYWA UNAHODHA ENGLAND
- MASHABIKI 74 WAFARIKI KATIKA FUJO MISRI
-
▼
February
(35)
Popular Posts
-
Jeshi Wananchi la Tanzania limewakamata wanajeshi 20 toka Jamhuri ya Kidemokrasia Ya Congo walioingia nchini kinyume cha sheria. Msemaji wa...
-
50 Romantic Things to do with your Girlfriend Watch the sunset together. Whispers to each other. ...
-
Polisi mkoani Arusha leo alfajiri katika muda wa saa kumi na moja wamevamia katika viwanja vya NMC na kuwatawanya wafuasi wa CHADEMA walioua...
-
AKITOA TAARIFA JUU YA MASULUHISHO HAYO MSANII WA KUNDI LA WAGOSI WA KAYA AMESEMA:KWANZA POLENI NA SAMAHANINI KWA HALI YA SINTOFAHAMU ILIYOTO...
-
By Ronald Hey, habits, even bad ones, take time to perfect. You don't just pic...
-
UTAFITI mpya umebaini kuwa nusu ya wanaume nchini ni wagumba ukipingana madai ya wengi kuwa tatizo hilo linawaathiri zaidi wanawake.Kwa muji...
-
Mvua iinayoendelea kunyesha ndani na nje ya jiji toka mishale ya saa kumi alfajiri zimezua balaa katika maeneo mengi ya Jiji la Dar es salaa...
-
Mkazi mmoja wa kijiji cha Nyamakendo anafahamika kwa jina la Maregei Werema amejikata sehemu kubwa ya uume wake na kuuacha ukining'inia ...
-
Before you make an attempt to stop masturbating, there’s an important issue to deal with first. This issue is important because masturbatio...
-
PFA chief executive Gordon Taylor believes it is time for the FA to intervene after Luis Suarez and Patrice Evra failed to shake hands befor...
OTHER BLOG LIST
Tuesday, February 14, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment