Hii ni orodha ya maneno ambayo yamekosa maana ya moja kwa moja na yametesa sana vichwa vya watanzania.
1. Kuchakachua
2. Mchakato
3. Uwekezaji
4. Posho
5. Katiba
6. Maisha bora kwa kila mtanzania
7. Ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya
8. Megawati
9.Kujivua Gamba
10. Hadidu za rejea
11. Barabara za juu
12. Mabasi ya mwendo kasi
13. upembuzi yakinifu
14. Sharobaro
15. Fursa sawa kwa wote
16. Richmond
17. EPA
18. Rasimu
19. Kamati teule
20. Tume ya uchunguzi
21. Mfumuko wa bei
22. Muafaka
23. Maslahi ya umma
24. Utandawazi
25. Ruksa
26. Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele
27. Wahisani
28. Kichwa cha mwenda wazimu
29. Haki za Binadamu
30. Mafisadi
Wewe kama mtanzania mwenzangu hebu changia ulichoelewa katika misamiati hii.
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
December
(13)
- CHRISTMASS GIFT: OPEN HERE
- MVUA YAZUA BALAA DAR ES SALAAM
- TAARIFA MAALUM TOKA TANESCO
- RATIBA YA 16 BORA UEFA YATANGAZWA: LOOK DOWN
- BE CARE: WATU 102 WAFA KWA KUNYWA POMBE YENYE SUMU
- MATUKIO KUMI YAKUKUMBUKWA MWAKA 2011: SOMA HAPA
- 5 FACTS ABOUT FACEBOOK USERS IN tANZANIA
- MISAMIATI 30 ILIKOSA MAJIBU KATIKA MIAKA 50 YA UHURU
- VIBAKA WAMFANYIA KITU MBAYA DIAMOND
- HIVI RAIS YUPO AU AMESAFIRI? NCHI INAONGOZWA NA NANI?
- TUNDAMAN APATA AJALI MBAYA
- MAKUNDI YA EURO 2012 YATANGAZWA. LOOK DOWN
- MR EBBO AFARIKI DUNIA
-
▼
December
(13)
Popular Posts
-
Mgao wa umeme ambao ulisitishwa kwa muda na serikali baada ya kuamua kutoa fedha ajili ya ununuzi wa mafuta kwa kampuni ya IPTL kwa mwezi Ag...
-
Mnadhimu mkuu wa Jeshi la wananchi la Tanzania Abdularahman Shimbo anashikiliwa na polisi wa kimataifa (Interpol) kwa mahojiano zaidi baada ...
-
AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harris...
-
Chama cha soka nchini Uingereza kimetangaza hukumu ya kumfungia Mchezaji wa Manchester City Mario Baloteli kutokana na kitendo chake cha kum...
-
Hatimaye jana mshindi wa shindano la BSS Second Chance Hajji Ramadhani jana alijinyakulia 40m za BSS huku akifuatiwa na Joseph Cuthbert kati...
-
Serikali ya Uingereza imezitaka nchi zinazoendelea kuzitambua haki za mashoga la sivyo zitapunguziwa ama kuondolewa kabisa misaada inayotole...
-
Johannesburg (CNN) -- South African anti- apartheid icon Nelson Mandela successfully underwent hernia surgery Saturday, a family member told...
-
Babu akitoa huduma kwa wagonjwa WAKATI idadi ya watu ikizid...
OTHER BLOG LIST
Friday, December 9, 2011
MISAMIATI 30 ILIKOSA MAJIBU KATIKA MIAKA 50 YA UHURU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment