Makundi ya michuano ya Euro 2012 itakayofanyika huko Poland & Ukraine yametangazwa. Makundi hayo ni kama ifuatavyo
Group A
Poland, Greece, Russia, Czech Republic
Group B
Holland, Denmark, Germany, Portugal
Group C
Spain, Italy, Republic of Ireland, Croatia
Group D
Ukraine, Sweden, France, England
Katka makundi yote kundi B ndilo linaonekana gumu zaidi katika michuano ambao inaonekana itakuwa yakuvutia.
RAIS WA BURUNDI AMFARI RAIS SAMIA
1 week ago

No comments:
Post a Comment