Kada wa CCM, Mustafa Sabodo ameahidi kuchimba zaidi ya visima 200 katika majimbo yote ya wabunge wa CHADEMA nchini huku akieleza angependa kuona upinzani unachukua nchi mwaka 2015.
Kada huyo maarufu wa CCM toka enzi za Mwalimu Nyerere alikuwa akipokea mpango wa uchimbaji wa visima hivyo toka kwa Katibu wa CHADEMA Dk. Wilbroad Slaa. Kauli hiyo ya Sabodo ambaye pia aliwasaidia sh100 milioni CHADEMA katika kampeni zao imekuja wakati CCM inakabiliwa na mpasuko kutokana na Siasa za makundi.
Katika mazungumzo hayo Sabodo alimhakikishia Dk Slaa kwamba ataendelea kuisaidia CHADEMA katika miradi mbalimbali inayowahusu wananchi hususani suala la Elimu na maji.
Mabadiliko yanakuja tuongeze nguvu
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
October
(18)
- MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FE...
- ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA,...
- BASI LA SUMMRY TOKA DAR-DOM LAPATA AJALI MBAYA, JI...
- WATATU WAFA KWA KIPIGO CHA POLISI DODOMA: NANI ANA...
- NANI ANAWAPA POLISI NGUVU YA KUPIGA RAIA NA KUHARI...
- KILICHOMTOKEA JK UDSM NI HALALI KABISA:NCHI INANUKA
- GHADDAFI ADAIWA KUKAMATWA NA MAJESHI YA NATO
- SHAME: JK AZOMEWA NA WANAFUNZI WA UDSM
- MTANGAZAJI AJITANGAZA SHOGA KWENYE TAARIFA YA HABARI
- USHAURI WA BURE KWA SERIKALI
- MITAMBO MIPYA YA AGGRECO YAPATA HITILAFU KUBWA
- LETS FIGHT AGAINST MALARIA: Miss Mtwara 2011/12 af...
- KADA WA CCM ATAMANI UPINZANI USHINDE MWAKA 2015: A...
- CHRISS BROWN ANG'AA KATIKA BET 2011 AWARDS
- MSHINDI WA BSS APATIKANA
- TUTAFIKA KWELI KWA KAULI ZA VIONGOZI? - Dr H.K Kin...
- CCM WASHINDA KWA TABU iGUNGA Chama Cha Mapind...
- http://www.mwananchi.co.tz/
-
▼
October
(18)
Popular Posts
-
<ul id="gallery" class="noscript"> <li id="picGalleryNoScript_1"> <a href="http://news.bb...
-
Animals are such agreeable friends – they ask no questions, they pass no criticisms.”
-
150 things to do when you're bored This started out as a list just for kids, but I soon realized that most of these activities would be...
-
Meneja mawasiliano wa Shirika la umeme nchini Tanzania (TANESCO) Bi Badra Masoud limetoa ufafanuzi kuhusiana na matukio ya kukatika umeme ya...
-
How To Be Creative by ronald Do you ever get asked ‘Where did you get that idea from?’ in any of your projects or pieces of work and yo...
-
PROSTITUTES in Lusaka’s Kanyama, John Laing, Chawama and Kalingalinga compounds offered themselves free of charge to every Jim and Jack as p...
OTHER BLOG LIST
Saturday, October 15, 2011
KADA WA CCM ATAMANI UPINZANI USHINDE MWAKA 2015: AKISAIDIA CHADEMA MRADI WA MAJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment