Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh Zitto Kabwe jana usiku alihamishiwa katika Kitengo Cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalum (ICU) baada ya madaktari kutoridhishwa na hali yake.
Msemaji wa Hosipitali ya Muhimbili(MHN) Jeza Waziri amesema madaktari bingwa waliompima Zitto wamegundua kuwa ana vijidudu 150 vya malaria hali ambayo siyo ya kawaida kwa binadamu na ndio sababu iliyofanya madaktari hao kumhamishia katika kitengo hicho.
Wakati huo huo Spika wa Bunge Anne Makinda baada ya kufika hospitalini hapo na kumjulia hali aliwaambia waandishi wa habari kuwa tatizo la kichwa bado linamsumbua Mh Zitto na serikali inajipanga kumpeleka India kwa matibabu zaidi.
Hali ya mheshimiwa Zitto ilianza kuwa tete mapema wiki hii ambapo aliwahishwa katika Hospitali ya Agha Khan na baadae kuhamishiwa Muhimbili kwa matibabu zaidi, Mh Zitto alipohojiwa alisema kwa kifupi tu "naendelea vizuri" madaktari wamekataza watu mbalimbali kufika hospitalini hapo kuzungumza na Zitto wakiwamo waandishi wa habari.
Wakati huo huo mbunge wa viti maalum (CUF) Claradiana Mwatuka nae amelazwa katika kitengo hicho kutokana na kusumbuliwa na vidonda vya tumbo, mbunge huyo alifikishwa hospitalini hapo jana na hali yake inaendelea vizuri pia.
Tumwombe mungu awaponye viongozi wetu warudi katika majukumu yao ya kitaifa.
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
October
(18)
- MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FE...
- ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA,...
- BASI LA SUMMRY TOKA DAR-DOM LAPATA AJALI MBAYA, JI...
- WATATU WAFA KWA KIPIGO CHA POLISI DODOMA: NANI ANA...
- NANI ANAWAPA POLISI NGUVU YA KUPIGA RAIA NA KUHARI...
- KILICHOMTOKEA JK UDSM NI HALALI KABISA:NCHI INANUKA
- GHADDAFI ADAIWA KUKAMATWA NA MAJESHI YA NATO
- SHAME: JK AZOMEWA NA WANAFUNZI WA UDSM
- MTANGAZAJI AJITANGAZA SHOGA KWENYE TAARIFA YA HABARI
- USHAURI WA BURE KWA SERIKALI
- MITAMBO MIPYA YA AGGRECO YAPATA HITILAFU KUBWA
- LETS FIGHT AGAINST MALARIA: Miss Mtwara 2011/12 af...
- KADA WA CCM ATAMANI UPINZANI USHINDE MWAKA 2015: A...
- CHRISS BROWN ANG'AA KATIKA BET 2011 AWARDS
- MSHINDI WA BSS APATIKANA
- TUTAFIKA KWELI KWA KAULI ZA VIONGOZI? - Dr H.K Kin...
- CCM WASHINDA KWA TABU iGUNGA Chama Cha Mapind...
- http://www.mwananchi.co.tz/
-
▼
October
(18)
Popular Posts
-
Haya ndiyo baadhi ya yaliyoamuliwa kuhusu madai ya Madaktari Kwa ufupi, kutoka kwa watu waliokuwemo kwenye mkutano wa Madaktari na Waziri Mk...
-
Mashabiki 74 wamepoteza maisha yao jana mjini Port Said nchini Misri katika mchezo uliozikutanisha timu za Al Masry dhidi ya timu inayoongoz...
-
Leo Mbunge wa Mbozi Geofrey Zambi alitoa hoja ya bunge kujadili suala la mgomo wa madaktari kwa dharura kufuatia taarifa kuwa madaktari bing...
-
The worst part about being president is that you have to act civilized all the time…
-
Jana usiku klabu za Chelsea na Real Madrid zilifuata nyayo za Manchester United, Barcelona, Shaktar Donetsk, Inter Milan, Tottenham Hotspu...
-
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh Zitto Kabwe jana usiku alihamishiwa katika Kitengo Cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalum (ICU) baada ya ma...
-
Ule mchezo wa kubadili majina kila baada ya miaka kadhaa ikiwa ni janja ya kukwepa kulipa kodi umeendelea kudhihirika mara baada ya hotel ma...
-
Mabingwa wa samba barani Ulaya, timu ya Barcelona F.C jana usiku waliwaadhiri watani wao wa jadi timu ya Real Madrid kwa kipigo cha magoli m...
-
Whitney Houston, who reigned as pop music's queen until her majestic voice and regal image were ravaged by drug use, erratic behavior an...
OTHER BLOG LIST
Thursday, October 27, 2011
ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA, WAJIPANGA KUMPELEKA INDIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment