Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh Zitto Kabwe jana usiku alihamishiwa katika Kitengo Cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalum (ICU) baada ya madaktari kutoridhishwa na hali yake.
Msemaji wa Hosipitali ya Muhimbili(MHN) Jeza Waziri amesema madaktari bingwa waliompima Zitto wamegundua kuwa ana vijidudu 150 vya malaria hali ambayo siyo ya kawaida kwa binadamu na ndio sababu iliyofanya madaktari hao kumhamishia katika kitengo hicho.
Wakati huo huo Spika wa Bunge Anne Makinda baada ya kufika hospitalini hapo na kumjulia hali aliwaambia waandishi wa habari kuwa tatizo la kichwa bado linamsumbua Mh Zitto na serikali inajipanga kumpeleka India kwa matibabu zaidi.
Hali ya mheshimiwa Zitto ilianza kuwa tete mapema wiki hii ambapo aliwahishwa katika Hospitali ya Agha Khan na baadae kuhamishiwa Muhimbili kwa matibabu zaidi, Mh Zitto alipohojiwa alisema kwa kifupi tu "naendelea vizuri" madaktari wamekataza watu mbalimbali kufika hospitalini hapo kuzungumza na Zitto wakiwamo waandishi wa habari.
Wakati huo huo mbunge wa viti maalum (CUF) Claradiana Mwatuka nae amelazwa katika kitengo hicho kutokana na kusumbuliwa na vidonda vya tumbo, mbunge huyo alifikishwa hospitalini hapo jana na hali yake inaendelea vizuri pia.
Tumwombe mungu awaponye viongozi wetu warudi katika majukumu yao ya kitaifa.
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
October
(18)
- MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FE...
- ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA,...
- BASI LA SUMMRY TOKA DAR-DOM LAPATA AJALI MBAYA, JI...
- WATATU WAFA KWA KIPIGO CHA POLISI DODOMA: NANI ANA...
- NANI ANAWAPA POLISI NGUVU YA KUPIGA RAIA NA KUHARI...
- KILICHOMTOKEA JK UDSM NI HALALI KABISA:NCHI INANUKA
- GHADDAFI ADAIWA KUKAMATWA NA MAJESHI YA NATO
- SHAME: JK AZOMEWA NA WANAFUNZI WA UDSM
- MTANGAZAJI AJITANGAZA SHOGA KWENYE TAARIFA YA HABARI
- USHAURI WA BURE KWA SERIKALI
- MITAMBO MIPYA YA AGGRECO YAPATA HITILAFU KUBWA
- LETS FIGHT AGAINST MALARIA: Miss Mtwara 2011/12 af...
- KADA WA CCM ATAMANI UPINZANI USHINDE MWAKA 2015: A...
- CHRISS BROWN ANG'AA KATIKA BET 2011 AWARDS
- MSHINDI WA BSS APATIKANA
- TUTAFIKA KWELI KWA KAULI ZA VIONGOZI? - Dr H.K Kin...
- CCM WASHINDA KWA TABU iGUNGA Chama Cha Mapind...
- http://www.mwananchi.co.tz/
-
▼
October
(18)
Popular Posts
-
Babu akitoa huduma kwa wagonjwa WAKATI idadi ya watu ikizid...
-
Mnadhimu mkuu wa Jeshi la wananchi la Tanzania Abdularahman Shimbo anashikiliwa na polisi wa kimataifa (Interpol) kwa mahojiano zaidi baada ...
-
Mgao wa umeme ambao ulisitishwa kwa muda na serikali baada ya kuamua kutoa fedha ajili ya ununuzi wa mafuta kwa kampuni ya IPTL kwa mwezi Ag...
-
AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harris...
-
Perhaps you took a course on human sexuality in college. If you did, you likely remember one thing: the lecture on the female orgasm. W...
-
Mkazi mmoja wa kijiji cha Nyamakendo anafahamika kwa jina la Maregei Werema amejikata sehemu kubwa ya uume wake na kuuacha ukining'inia ...
-
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta ameendelea kusisitiza kwamba ugonjwa unaomsumbua Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harriso...
-
150 things to do when you're bored This started out as a list just for kids, but I soon realized that most of these activities would be...
-
Kwa mujibu wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) haya ndiyo matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2011 JUMLA YA WATAHINIWA 3671 SAWA NA A...
-
Whitney Houston, who reigned as pop music's queen until her majestic voice and regal image were ravaged by drug use, erratic behavior an...
OTHER BLOG LIST
Thursday, October 27, 2011
ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA, WAJIPANGA KUMPELEKA INDIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment