MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE. BE BLESSED
TUTAFIKA KWELI KWA KAULI ZA VIONGOZI? - Dr H.K Kingwangwala (MP) CCM amesema... namnukuu " Vyombo vya Habari vimetubana sana katika Uchaguzi mdogo wa igunga, tutatumia wingi wetu bungeni (CCM) kuubana huo Uhuru wao wa Habari" hivi huyu ana akili kweli? Anakijua alichosema? Nani kampa huo udoctor? Hivi chama chao huwa kina watrain jinsi ya kuongea na Media? Kweli viongozi hatuna.
No comments:
Post a Comment