Miss Mtwara mwaka 2011/12 Rahma Swai amefariki dunia kwa Ugonjwa wa malaria, mlimwende huyo ambae alikuwa moja ya washiriki wa Shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 lililofanyika mwezi uliopita amefariki baada ya kuugua muda mfupi tu.
Mungu ailaze roho ya marehemu pema na hii ni changamoto kwetu kutumua vyandarua bila kudharau na kupima afya zetu mara kwa mara sambamba na kuwahi hospitali kila tunapojisikia vibaya.
WASIRA ASISITIZA UMOJA CCM
52 minutes ago

No comments:
Post a Comment