Kiongozi wa zamani wa Libya anadaiwa kukamatwa na majeshi ya NATO katika mapigano yaliyokuwa yakiendelea katika jimbo la Sirte ambapo ndipo alipozaliwa kiongozi huyo.
Habari ambazo bado hazijathibitishwa rasmi na serikali ya mpito nchini humo zinasema Rais huyo wa zamani amekamatwa na ana majeraha katika miguu yake yote miwili baada ya mapambano yaliyokuwa yanaendelea katika jimbo hili. Habari hizo zimeeleza pia Waziri wa zamani wa ulinzi wa serikali ya Kanali Ghaddafi ajulikanae kama Abu Bakr Yunis amefariki dunia.
Kaa tayari kwa habari zaidi
WASIRA ASISITIZA UMOJA CCM
45 minutes ago

No comments:
Post a Comment