Kwa mtazamo wangu kwa hali ilivyo sasa katika eneo la Ubungo kutokana na kuwa na mitambo mingi hasa eneo la karibu na darajani ni heri wananchi wa maeneo yale wangehamishwa na kupelekwa maeneo mengine.
Kuna wafanyabiashara ambao hupanga bidhaa zao pembezoni mwa barabara ya Mandela sambamba na Gereji ambayo ipo laribu kabisa na mitambo ya Aggreco ambapo kama litajitokeza tatizo kubwa zaidi ya la leo maisha ya watu wengi yanaweza kupotea, ni zaidi ya mara 6 sasa kwa uzoefu wangu toka nimehamia eneo la Ubungo kwa matatizo kama haya kutokea, au tunasubiri makibwa kama ya MV Spice ndio turekebishe?
Usipoziba ufa..................
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
October
(18)
- MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FE...
- ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA,...
- BASI LA SUMMRY TOKA DAR-DOM LAPATA AJALI MBAYA, JI...
- WATATU WAFA KWA KIPIGO CHA POLISI DODOMA: NANI ANA...
- NANI ANAWAPA POLISI NGUVU YA KUPIGA RAIA NA KUHARI...
- KILICHOMTOKEA JK UDSM NI HALALI KABISA:NCHI INANUKA
- GHADDAFI ADAIWA KUKAMATWA NA MAJESHI YA NATO
- SHAME: JK AZOMEWA NA WANAFUNZI WA UDSM
- MTANGAZAJI AJITANGAZA SHOGA KWENYE TAARIFA YA HABARI
- USHAURI WA BURE KWA SERIKALI
- MITAMBO MIPYA YA AGGRECO YAPATA HITILAFU KUBWA
- LETS FIGHT AGAINST MALARIA: Miss Mtwara 2011/12 af...
- KADA WA CCM ATAMANI UPINZANI USHINDE MWAKA 2015: A...
- CHRISS BROWN ANG'AA KATIKA BET 2011 AWARDS
- MSHINDI WA BSS APATIKANA
- TUTAFIKA KWELI KWA KAULI ZA VIONGOZI? - Dr H.K Kin...
- CCM WASHINDA KWA TABU iGUNGA Chama Cha Mapind...
- http://www.mwananchi.co.tz/
-
▼
October
(18)
Popular Posts
-
Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeanza kuleta athari hasa kwa wakazi wanaoishi maeneo ya mabondeni. Mvua hizo zilizoa...
-
Sunday, 13 February 2011 14:03 digg CCM Secretary-General Yusuf Makamba By Bernard James The Citizen Reporter Dar es Salaam. The C...
-
If you are struggling with low self esteem you can boost self esteem and improve self confidence. I like to share how to apply my personal e...
-
The 5,000 sq ft home includes a saltwater pool, glassed in sunroom, outside fireplace, 5 bedrooms and 5 baths ... but no apparent grotto,...
OTHER BLOG LIST
Tuesday, October 18, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment