WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
September
(8)
- SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO...
- GOOD NEWS FOR FACEBOOK USERS- Facebook CEO Mark Zu...
- Kuuliza sio ujinga, labda naona ufahamu wangu ni m...
- No title
- Liverpool 2 - 0 Wolves FT, Arsenal 3 - 0 Bolton FT...
- Arsenal 1 - 0 Bolton 46'
- Chelsea 2 - 0 Swansea HT, Arsenal 0 - 0 Bolton HT,...
- Matokeo ya Uchaguzi wa Zambia yanatufunza nini?
-
▼
September
(8)
Popular Posts
-
12 World’s weirdest stadiums A lot of stadiums around the world have spectacular designs, like the new World Cup 2010 stadiums in South A...
-
Timu za soka zinazotokea katika jiji la London na zilizo katika Big 4 ya ligi kuu ya England zimewaonya mashabiki wake kujiepusha na vitendo...
-
UTANGULIZI Mgomo wa Madaktari ambao umedumu kwa takriban wiki mbili nchini sasa ni dhahiri kwamba umelitikisa Taifa na kuathiri huduma za t...
-
Usajili uliokamilika kwa timu za Uingereza Everton -Nikica Jelavic toka Rangers Tottenham - Louis Saha toka Everton QPR - Djibril Cis...
-
The worst part about being president is that you have to act civilized all the time…
-
AKITOA TAARIFA JUU YA MASULUHISHO HAYO MSANII WA KUNDI LA WAGOSI WA KAYA AMESEMA:KWANZA POLENI NA SAMAHANINI KWA HALI YA SINTOFAHAMU ILIYOTO...
-
Beckham akishangilia goli lililoiondoa Argentina katika 16bora za World Cup 2002 Beckhamakimpa moyo David Seaman baada ya kuondoshwa na...
-
Lokomotiv 2-1Bilbao FT AZ Alkmaar 1-0 Anderlecht FT Ajax 0-2 Man Utd FT Lazio 1-3 Atletico M FT Legia Warsaw 2-2 Sporting FT Plzen 1-1 ...
-
Mabingwa wa samba barani Ulaya, timu ya Barcelona F.C jana usiku waliwaadhiri watani wao wa jadi timu ya Real Madrid kwa kipigo cha magoli m...
OTHER BLOG LIST
Wednesday, September 28, 2011
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO VIKUU. Serikali imeonya kwamba haitavumilia na kutishia kufuta uhamini wa mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu nchini watakaoshiriki kwenye migomo na maandamano kwa sababu zisizo na msingi. Msimamo huo ulitolewa mapema wiki hii na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Dk. Shukuru Kawambwa alipozungumza na jamii ya Chuo kikuu cha Tumaini Makumira wakati wa ziara ya kujifunza shughuli, utendaji na changamoto zinzovikabili vyuo vikuu nchini. Alisema msimamo huo wa Serikali unaotokana na dhamira ya kuboresha mfumo wa elimu ya juu nchini uliosababisha wizara yake kutengewa 300 bilioni kwa ajili ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Monday, September 26, 2011
GOOD NEWS FOR FACEBOOK USERS- Facebook CEO Mark Zuckerberg revealed tons of new features and changes aimed at making the social network even more engaging. Among of of the change that will be introducing soon is Timeline and facebook's newest profile features, complete with photos. Also the tagline that will contain All your Apps, Express who you are. The new feature will grant something many angry users have been demanding:control. Zuckerberg said users will decide "what you show, how you display it and who can see it" on their Timeline. You will be able to add specific photos, links, check-inks, likes and more that represent your interests and passions, making it a lot like scrapbooking online. Everyone will have a Timeline, which will look sparse at first, so more private people will probably keep it bare while others can fill it up with their very latest music interests, relationships, e.t.cd tons of new features and changes aimed at making the social network even more engaging. Among of of the change that will be introducing soon is Timeline and facebook's newest profile features, complete with photos. Also the tagline that will contain All your Apps, Express who you are. The new feature will grant something many angry users have been demanding:control. Zuckerberg said users will decide "what you show, how you display it and who can see it" on their Timeline. You will be able to add specific photos, links, check-inks, likes and more that represent your interests and passions, making it a lot like scrapbooking online. Everyone will have a Timeline, which will look sparse at first, so more private people will probably keep it bare while others can fill it up with their very latest music interests, relationships, e.t.c
Saturday, September 24, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)