Ule mchezo wa kubadili majina kila baada ya miaka kadhaa ikiwa ni janja ya kukwepa kulipa kodi umeendelea kudhihirika mara baada ya hotel maarufu iliyowahi kuwa na majina zaidi ya kumi katika kipindi kisichopungua miaka 10 kubadili jina, hoteli hiyo ya kisasa iliyokuwa ikifahamika awali kama Sheraton, Royal Palm na baadae Movenpick sasa imepata jina jipya ambalo ni Dar es Salaam Serena Hotel.
Wadadisi wa mambo wanadai janja hii ya kubadili majina inalenga kukwepa kodi ambapo hadi sasa kuna kampuni za simu ambazo pia huu umekuwa mchezo wao ambapo haipiti miaka mitano lazima wabadili jina.
Kwa mtindo huu inamaana serikali imefumba macho? Au watendaji wamepoozwa kidogo? Jibu mimi sina.
FUNGASHADA NA HATARI YA USALAMA WA ZAO LA NDIZI
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment