Hatimaye serikali kupitia Wizara ya Mali Asili na Utalii imetoa namba maalum ambazo zitawawezesha watanzania kuupigia kura mlima Kilimanjaro uweze kuingia katika maajabu mapya saba ya dunia.
Zoezi hilo ambalo lilizinduliwa toka Julai mwaka huu limekuwa la kusuasua na ni baada ya njia pekee ya kuupigia kura mlima huo ikiwa ni kwa njia ya mtandao ambapo ni idadi ndogo tu ya watanzania wenye uwezo wa kufanikisha zoezi hilo kutokana na wengi kutojua jinsi ya kufanya ama kutokuwa na mawasiliano hayo ambayo mara nyingi yanahusisha kompyuta.
Zikiwa zimesalia siku 10 pekee zoezi hilo kukamilika Wizara hiyo imetangaza namba hizo ni 15771 kwa mitandao ya Vodacom, Tigo, Sasatel na Zantel na namba 15021 kwa wateja wa Airtel.
Wazo hilo ambalo katibu wa Wizara hiyo amelipata kwa kijana mdogo ambae hakutaka kumtaja katika mazungumzo yake na waandishi wa Habari jambo ambalo libaonesha viongozi wetu ni wavivu kufikiri. Amesema hadi sasa ni asilimia 20% pekee ya watanzania waliopiga kura huku akihamasisha watanzania kuupigia mlima huo kura za kutosha.
Ili kuweza kupiga kura unatakiwa kutuma neno KILIMANJARO kwenda namba 15771 kwa VODACOM, TIGO, SASATEL & ZANTEL na namba 15021 kwa wateja wa AIRTEL.
Shime Watanzania tuupigie kura mlima wetu kuuingiza katika rekodi hizo.
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
November
(29)
- MANCHESTER UNITED WATUPWA NJE:CARLING CUP
- BREAKING NEWS; WANNE WAFA KWA AJALI UBUNGO
- 26th Nov; BAADHI YA WASANII WATAKAOTUMBUIZA ; okoa...
- KUNA UMUHIMU GANI KWA KATIBA YETU KUANDIKWA KWA LU...
- URAIS 2015 WAWACHANGANYA WENGI:TABIRI ZA MASANGOMA...
- HOW TO STOP MASTERBATION ADDICTION
- MOTO MKUBWA WALIPUKA MITAMBO YA UMEME UBUNGO:MITAM...
- BREAKING NEWS: MAFURIKO DAR NA MWANZA
- NCHINI INANUKA:MNADHIMU MKUU WA JWTZ AKAMATWA NA I...
- FROM MOVENPICK TO DAR ES SALAAM SERENA HOTEL:KWELI...
- HIVI NDIVYO ALIVYOLAKIWA PRINCE CHARLES
- POLISI YAWATAWANYA WAFUASI WA CHADEMA ARUSHA
- LADY GAGA ATWAA TUZO 4 ZA MTV EUROPE MUSIC AWARDS
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- HUDUMA ZA MAKAMPUNI YA SIMU NCHINI NI MBOVU MNO, T...
- MISS VENEZUELA IVIAN SARCOS ATWAA TAJI LA MISS WOR...
- CHURCH OF ENGLAND OPPOSED TO SAME SEX CIVIL PARTNE...
- EID MUBARAK GREETINGS ALL MUSLIMS: READ THIS
- RAIS KIKWETE AMTEMBELEA VENGU HOSPITALI
- THE MAGICIAN PAGE: KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMB...
- KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMBISHA KICHWA MASHOGA TZ
- BALOZI WA UINGEREZA NCHINI AIPINGA KAULI YA MEMBE:...
- MLIMA KILIMANJARO KAMWE HAUWEZI KUSHINDA KWA STAIL...
- WAZIRI WA MAMBO YA NJE ATOA KAULI JUU YA MISAADA Y...
- 2.2 BILIONI ZATUMIKA KUWASOMESHA WATATU TCRA NJE K...
- RAIS WA GHANA AIKATAA MISAADA TOKA UINGEREZA YENYE...
- NAMBA ZA KUUPIIGIA KURA MLIMA KILIMANJARO ZATOLEWA...
- TUNATAKIWA KUUKUBALI USHOGA ILI TUONGEZEWE MISAADA...
-
▼
November
(29)
Popular Posts
-
Usajili uliokamilika kwa timu za Uingereza Everton -Nikica Jelavic toka Rangers Tottenham - Louis Saha toka Everton QPR - Djibril Cis...
-
The 5,000 sq ft home includes a saltwater pool, glassed in sunroom, outside fireplace, 5 bedrooms and 5 baths ... but no apparent grotto,...
-
AKITOA TAARIFA JUU YA MASULUHISHO HAYO MSANII WA KUNDI LA WAGOSI WA KAYA AMESEMA:KWANZA POLENI NA SAMAHANINI KWA HALI YA SINTOFAHAMU ILIYOTO...
-
Timu za soka zinazotokea katika jiji la London na zilizo katika Big 4 ya ligi kuu ya England zimewaonya mashabiki wake kujiepusha na vitendo...
-
Peace of Mind Tips and Advice by Ronald Richard Most people would be glad to have some peace of mind in their life. They would be happy to ...
-
Mnadhimu mkuu wa Jeshi la wananchi la Tanzania Abdularahman Shimbo anashikiliwa na polisi wa kimataifa (Interpol) kwa mahojiano zaidi baada ...
-
AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harris...
-
Mabingwa wa samba barani Ulaya, timu ya Barcelona F.C jana usiku waliwaadhiri watani wao wa jadi timu ya Real Madrid kwa kipigo cha magoli m...
-
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta ameendelea kusisitiza kwamba ugonjwa unaomsumbua Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harriso...
OTHER BLOG LIST
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment