WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
September
(8)
- SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO...
- GOOD NEWS FOR FACEBOOK USERS- Facebook CEO Mark Zu...
- Kuuliza sio ujinga, labda naona ufahamu wangu ni m...
- No title
- Liverpool 2 - 0 Wolves FT, Arsenal 3 - 0 Bolton FT...
- Arsenal 1 - 0 Bolton 46'
- Chelsea 2 - 0 Swansea HT, Arsenal 0 - 0 Bolton HT,...
- Matokeo ya Uchaguzi wa Zambia yanatufunza nini?
-
▼
September
(8)
Popular Posts
-
12 World’s weirdest stadiums A lot of stadiums around the world have spectacular designs, like the new World Cup 2010 stadiums in South A...
-
Usajili uliokamilika kwa timu za Uingereza Everton -Nikica Jelavic toka Rangers Tottenham - Louis Saha toka Everton QPR - Djibril Cis...
-
Pink Hummer Limo Three TVs, laser lights , strobes, 1800 watt sound system, Disco Floor, star lights, optic lights, pink leather interior, ...
-
INTERNATIONAL WOMEN’S DAY CENTENARY CELEBRATIONS: 1911-2011 DECENT WORK, DECENT LIVES: 100 YEARS OF HERSTORY CONCEPT NOTE Synopsis The 8...
-
Tanzania kwa mara ya kwanza tumepata bahati ya moja ya vivutio vyetu vya Utalii na moja ya lebo ya Taifa mlima Kilimanjaro kutajwa kuingia k...
-
PRESIDENT Jakaya Kikwete has warned the opposition PRESIDENT Jakaya Kikwete has warned the opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
-
Timu ya Liverpool na Manchester City zimeonja chungu ya kufungwa ugenini baada ya kupoteza michezo yake ya Europa League hapo jana. Liverp...
-
Haya ndiyo baadhi ya yaliyoamuliwa kuhusu madai ya Madaktari Kwa ufupi, kutoka kwa watu waliokuwemo kwenye mkutano wa Madaktari na Waziri Mk...
-
Miss Mtwara mwaka 2011/12 Rahma Swai amefariki dunia kwa Ugonjwa wa malaria, mlimwende huyo ambae alikuwa moja ya washiriki wa Shindano la V...
-
The boy octopus An eight-Deepak Kumar from India became a normal child after his parasitic twin was removed by surgery. In India, the b...
OTHER BLOG LIST
Wednesday, September 28, 2011
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO VIKUU. Serikali imeonya kwamba haitavumilia na kutishia kufuta uhamini wa mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu nchini watakaoshiriki kwenye migomo na maandamano kwa sababu zisizo na msingi. Msimamo huo ulitolewa mapema wiki hii na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Dk. Shukuru Kawambwa alipozungumza na jamii ya Chuo kikuu cha Tumaini Makumira wakati wa ziara ya kujifunza shughuli, utendaji na changamoto zinzovikabili vyuo vikuu nchini. Alisema msimamo huo wa Serikali unaotokana na dhamira ya kuboresha mfumo wa elimu ya juu nchini uliosababisha wizara yake kutengewa 300 bilioni kwa ajili ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment