WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Tuesday, November 22, 2011

26th Nov; BAADHI YA WASANII WATAKAOTUMBUIZA ; okoa music wa bongo

MR II

G SOLO

ANTI VIRUS PART 1 COVER

SOGGY DOGGY

ZAY B


SUMA G
Picha za juu hapo ni baadhi ya wasanii watakaotumbuiza siku ya tarehe 26 mwezi 11/2011 pale kwenye viwanja vya Sayansi au viwanja vya Posta. Kama mwanaharakati unakaribishwa katika show hiyo kwa kiingilio cha shilingi 5000 tu. Wasanii wengine watakaopanda jukwaani siku hiyo ni pamoja na Inspector Haroon, Mkoloni, D wa Gheto, Dani Msimamo, Adili Mkwela, LWP, Coin one, Magazijuto, Peen Lawyer, Mapacha PKP na Rama D. Djs watakaofanya mambo siku hiyo ni Dj JD "John Dilinga" na Majey. pia patakuwa na uzinduzi wa Antivirus Part II, pia unaweza download copy yako kupitia www.swahilioriginaltz.com

1 comment: