Mkazi mmoja wa kijiji cha Nyamakendo anafahamika kwa jina la Maregei Werema amejikata sehemu kubwa ya uume wake na kuuacha ukining'inia sambamba na kuteketeza kwa moto nyumba zake mbili na mali zilizokuwamo ndani.
Akizungumzia tukio hilo Kamanda wa Polisi mkoani Mara Robert Boaz alisema Bw Werema alifanya matendo hayo tarehe 11 January baada ya kupandwa na malaria kichwani ambapo kwa sasa amelazwa katika hospitali ya DDH - Mugumu.
Malaria haikubaliki jamani, ukihisi dalili tu wahi mapema kituo cha afya kupima na kupata tiba sahihi ili yasikukute kama haya
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2012
(43)
-
▼
January
(8)
- USAJILI DIRISHA DOGO ENGLAND
- HATIMAYE INTER WARIDHIA KUMUUZA SNEIJDER MANCHEST...
- BALOTELI AMALIZIA HASIRA ZAKE KWA HARRY REDNAPP:AM...
- BALOTELI AFUNGIWA MECHI NNE
- THIERRY HENRY APATA MAJERAHA MAZOEZINI
- AJIKATA UUME NA KUCHOMA NYUMBA MOTO
- MAANDALIZI YA BONANZA LA MICHEZO YA TUMAINI YAEND...
- DIAMOND AHUKUMIWA MIEZI 6 JELA
-
▼
January
(8)
Popular Posts
-
Timu ya Liverpool na Manchester City zimeonja chungu ya kufungwa ugenini baada ya kupoteza michezo yake ya Europa League hapo jana. Liverp...
-
Timu ya Arsenal ya Uingereza inatarajiwa kuvaa jezi yenye jina DUBAI kifuani katika mchezo wa leo usiku wa hatua ya 16 bora katika ligi ya m...
-
Babu akitoa huduma kwa wagonjwa WAKATI idadi ya watu ikizid...
-
The boy octopus An eight-Deepak Kumar from India became a normal child after his parasitic twin was removed by surgery. In India, the b...
-
Tanesco Tanzania wameendelea kuandamwa na mikosi na hii ni baada ya mitambo mipya iliyofungwa katika eneo la Ubungo katika wilaya ya Kinondo...
-
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma(POAC) imegundua ufisadi wa kutisha uliokuwa unafanyika ndani ya Bodi ya TCRA iliyo chini ya J...
-
Nahodha wa klabu ya Chelsea John Terry amepokonywa unahodha wa timu ya Taifa kwa mara ya pili katika kipindi cha miaka miwili kutokana na tu...
-
When we lose someone close to our heart we let go of a part of ourselves. In order to deal with heartache and loss we close ourselves of...
-
Furious Fabio Capello is considering quitting as England boss after the row over John Terry. DAILY MIRROR John Terry has vowed to carry on p...
-
Sasa unaweza soma gazeti la Mwananchi katika blog yangu, tembelea http//ronnieelmagnifico.blogspot.com
OTHER BLOG LIST
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment