WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

Popular Posts

Thursday, January 12, 2012

AJIKATA UUME NA KUCHOMA NYUMBA MOTO

Mkazi mmoja wa kijiji cha Nyamakendo anafahamika kwa jina la Maregei Werema amejikata sehemu kubwa ya uume wake na kuuacha ukining'inia sambamba na kuteketeza kwa moto nyumba zake mbili na mali zilizokuwamo ndani.
Akizungumzia tukio hilo Kamanda wa Polisi mkoani Mara Robert Boaz alisema Bw Werema alifanya matendo hayo tarehe 11 January baada ya kupandwa na malaria kichwani ambapo kwa sasa amelazwa katika hospitali ya DDH - Mugumu.
Malaria haikubaliki jamani, ukihisi dalili tu wahi mapema kituo cha afya kupima na kupata tiba sahihi ili yasikukute kama haya

No comments:

Post a Comment