WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

Popular Posts

Monday, January 23, 2012

BALOTELI AFUNGIWA MECHI NNE

Chama cha soka nchini Uingereza kimetangaza hukumu ya kumfungia Mchezaji wa Manchester City Mario Baloteli kutokana na kitendo chake cha kumpiga teke usoni Mchezaji wa Tottenham Hotspurs Scott Parker katika mchezo wa jana.
Akizungumza kwa masikitiko msemaji wa FA Gramne Souness amesema "I think he should sent off" huku akiongeza kuwa " mguu wake wa kulia ulipaswa kutangulia mbele baada ya kuupiga mpira ila kitendo cha kuurudisha nyuma kilikuwa cha makusudi. Kufuatia tukio hilo Baloteli atakosa mchezo wa marudiano wa Carling Cup dhidi ya Liverpool na michezo mitatu ya ligi dhidi ya Everton, Fulham na Aston Villa, hukumu hiyo inatarajowa kuanza mara moja na endapo wakikata rufaa FA anaweza kucheza mchezo dhidi ya Liverpool na uchunguzi wa FA ukirudiwa anaweza kuongezewa adhabu.
Gramne Souness pia alimshangaa mwamuzi Howard Webb kwa kutompatia kadi ya pili ya njano mchezaji huyo ambayo ingemtoa nje ya mchezo huku akisema " Great players are consistent, but Baloteli is a car crush waiting to happen

No comments:

Post a Comment