Msanii maarufu wa kundi la Tiptop Connection maarufu kwa jina la Tundaman au Mikidadi amepata ajali mbaya ya gari akiwa njiani toka Kahama kuelekea Shinyanga kwa ajili ya Shoo.
Tundaman amesema chanzo cha ajali hiyo ni kutokana na kuchoka kwa dereva ambae alianza kusinzia na kusababisha gari yao aina ya Toyota Cresta kupinduka kichwa chini miguu juu.
Katika safari hiyo Tundaman aliongozana na Dj Kman(wa kundi la Tiptop) na dereva ambae alifariki papo hapo. Hali zao zinaendelea vizuri na mungu awape afya njema
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
December
(13)
- CHRISTMASS GIFT: OPEN HERE
- MVUA YAZUA BALAA DAR ES SALAAM
- TAARIFA MAALUM TOKA TANESCO
- RATIBA YA 16 BORA UEFA YATANGAZWA: LOOK DOWN
- BE CARE: WATU 102 WAFA KWA KUNYWA POMBE YENYE SUMU
- MATUKIO KUMI YAKUKUMBUKWA MWAKA 2011: SOMA HAPA
- 5 FACTS ABOUT FACEBOOK USERS IN tANZANIA
- MISAMIATI 30 ILIKOSA MAJIBU KATIKA MIAKA 50 YA UHURU
- VIBAKA WAMFANYIA KITU MBAYA DIAMOND
- HIVI RAIS YUPO AU AMESAFIRI? NCHI INAONGOZWA NA NANI?
- TUNDAMAN APATA AJALI MBAYA
- MAKUNDI YA EURO 2012 YATANGAZWA. LOOK DOWN
- MR EBBO AFARIKI DUNIA
-
▼
December
(13)
Popular Posts
-
The 5,000 sq ft home includes a saltwater pool, glassed in sunroom, outside fireplace, 5 bedrooms and 5 baths ... but no apparent grotto,...
-
Peace of Mind Tips and Advice by Ronald Richard Most people would be glad to have some peace of mind in their life. They would be happy to ...
-
Majambazi yaliyokuwa na silaha nzito yamevamia katika kituo cha mafuta cha TOTAL kilichopembeni ya Mlimani City Supermarket na kupora mamili...
-
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma(POAC) imegundua ufisadi wa kutisha uliokuwa unafanyika ndani ya Bodi ya TCRA iliyo chini ya J...
-
Mabingwa wa samba barani Ulaya, timu ya Barcelona F.C jana usiku waliwaadhiri watani wao wa jadi timu ya Real Madrid kwa kipigo cha magoli m...
-
Usajili uliokamilika kwa timu za Uingereza Everton -Nikica Jelavic toka Rangers Tottenham - Louis Saha toka Everton QPR - Djibril Cis...
-
When we lose someone close to our heart we let go of a part of ourselves. In order to deal with heartache and loss we close ourselves of...
-
If you are struggling with low self esteem you can boost self esteem and improve self confidence. I like to share how to apply my personal e...
-
Is it Love or Lust? How to Know if Your Love is Real You've met someone great online. ...
-
PROSTITUTES in Lusaka’s Kanyama, John Laing, Chawama and Kalingalinga compounds offered themselves free of charge to every Jim and Jack as p...
OTHER BLOG LIST
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hizi ajali zitaisha lini cjui
ReplyDelete