WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

Popular Posts

Wednesday, December 14, 2011

BE CARE: WATU 102 WAFA KWA KUNYWA POMBE YENYE SUMU

Watu 102 wamefariki dunia baada ya kunywa pombe inayodhania kuwa na sumu aina ya Methanol katika kijiji cha Sangrampur katika jimbo la Kolkota huko India.
Akizungumzia habari hii, hakimu wa jimbo hilo amesema Narayan Swarup Nigam amesema watu hao walianza kufariki siku ya jumanne na hadi sasa watu wanne wanashikiliwa kwa tukio hilo.
Hii ni tahadhari kubwa kwa wale walevi wa pombe za kienyeji maarufu kama mataputapu ambazo hata muda mwingine tumekuwa hatujui zinatengenezwaje.

Source: BBC

No comments:

Post a Comment