Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipyaAbell Motika maarufu kama Mr Ebbo amefariki dunia huko mkoani Arusha usiku wa kuamkia leo.
Msanii huyo maarufu ambae enzi za uhai wake alitamba na nyimbo kama Mi mmasai, maneno mbofumbofu, kamongo na mnisamehe huku akighani kwa staili ya kimasai amefariki baada ya kuugua kwa muda mfupi. Msanii huyo pia alikuwa mmiliki wa studio ya Motika Records.
Mungu ailaze Roho ya marehemu mahala pema peponi.
VIONGOZI WA CCM KATIKA PICHA Z’BAR
8 hours ago
No comments:
Post a Comment