Yule mkali wa bongo anaetesa na kibao cha Mawazo kwa sasa baada ya kusumbua na vibao kadhaa kama vile Moyo wangu, Nitarejea na Mbagala, Diamond Platinum a.k.a Baba Wema juzi akitokea kwenye shughuli za kurekodi video yake mpya ya mawazo alipaki gari yake nje ya sehemu anapoishi na alipoingia ndani tu jamaa wenye vyao wakakomba vitu kibao
Akizungumza kwa huzuni, Diamond amesema miongoni mwa vitu vilivyochukuliwa ni pamoja na power window zote, radio, system ya AC na begi lililokuwa na nguo, cheni kibao za gold na saa nyingi alizokuwa akizitumia katika kushoot video yake mpya ya mawazo.
Pole sana mtu mzima
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
December
(13)
- CHRISTMASS GIFT: OPEN HERE
- MVUA YAZUA BALAA DAR ES SALAAM
- TAARIFA MAALUM TOKA TANESCO
- RATIBA YA 16 BORA UEFA YATANGAZWA: LOOK DOWN
- BE CARE: WATU 102 WAFA KWA KUNYWA POMBE YENYE SUMU
- MATUKIO KUMI YAKUKUMBUKWA MWAKA 2011: SOMA HAPA
- 5 FACTS ABOUT FACEBOOK USERS IN tANZANIA
- MISAMIATI 30 ILIKOSA MAJIBU KATIKA MIAKA 50 YA UHURU
- VIBAKA WAMFANYIA KITU MBAYA DIAMOND
- HIVI RAIS YUPO AU AMESAFIRI? NCHI INAONGOZWA NA NANI?
- TUNDAMAN APATA AJALI MBAYA
- MAKUNDI YA EURO 2012 YATANGAZWA. LOOK DOWN
- MR EBBO AFARIKI DUNIA
-
▼
December
(13)
Popular Posts
-
PROSTITUTES in Lusaka’s Kanyama, John Laing, Chawama and Kalingalinga compounds offered themselves free of charge to every Jim and Jack as p...
OTHER BLOG LIST
Thursday, December 8, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment