Mnadhimu mkuu wa Jeshi la wananchi la Tanzania Abdularahman Shimbo anashikiliwa na polisi wa kimataifa (Interpol) kwa mahojiano zaidi baada ya kuhusishwa na ufisadi wa Shilingi Trilioni 3 ambazo alikuwa amezihifadhi katika benki moja mchini Afrika Kusini.
Chanzo cha habari kinaendelea kupasha kuwa fedha hizo zilitokana na makato ambayo amekuwa akiwakaya wanajeshi wanaoenda kujitolea kulinda amani katika nchi katika nchi mbalimbali na nyingine zikiwa ni shukrani kwa majeshi yetu kwenda kulinda amani katika nchi hizo mojawapo ikiwa Comoro.
Alipofahamishwa swala hilo alizimia na polisi hao wameondoka nae kwenda nchini Afrika Kusini.
Sakata hilo liligundulika baada ya Rais Jakaya Kikwete kwenda nchini Afrika Kusini kuomba msaada na ndipo alipoelezwa wanaombaje msaada wakati kuna mfanyakazi wa kawaida tu wa serikali ana kiasi hicho cha pesa? Ndipo Rais akaagiza uchunguzi ufanyike na baadae swala hilo likagundulika.
Stay tuned kwa habari zaidi
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
November
(29)
- MANCHESTER UNITED WATUPWA NJE:CARLING CUP
- BREAKING NEWS; WANNE WAFA KWA AJALI UBUNGO
- 26th Nov; BAADHI YA WASANII WATAKAOTUMBUIZA ; okoa...
- KUNA UMUHIMU GANI KWA KATIBA YETU KUANDIKWA KWA LU...
- URAIS 2015 WAWACHANGANYA WENGI:TABIRI ZA MASANGOMA...
- HOW TO STOP MASTERBATION ADDICTION
- MOTO MKUBWA WALIPUKA MITAMBO YA UMEME UBUNGO:MITAM...
- BREAKING NEWS: MAFURIKO DAR NA MWANZA
- NCHINI INANUKA:MNADHIMU MKUU WA JWTZ AKAMATWA NA I...
- FROM MOVENPICK TO DAR ES SALAAM SERENA HOTEL:KWELI...
- HIVI NDIVYO ALIVYOLAKIWA PRINCE CHARLES
- POLISI YAWATAWANYA WAFUASI WA CHADEMA ARUSHA
- LADY GAGA ATWAA TUZO 4 ZA MTV EUROPE MUSIC AWARDS
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- HUDUMA ZA MAKAMPUNI YA SIMU NCHINI NI MBOVU MNO, T...
- MISS VENEZUELA IVIAN SARCOS ATWAA TAJI LA MISS WOR...
- CHURCH OF ENGLAND OPPOSED TO SAME SEX CIVIL PARTNE...
- EID MUBARAK GREETINGS ALL MUSLIMS: READ THIS
- RAIS KIKWETE AMTEMBELEA VENGU HOSPITALI
- THE MAGICIAN PAGE: KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMB...
- KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMBISHA KICHWA MASHOGA TZ
- BALOZI WA UINGEREZA NCHINI AIPINGA KAULI YA MEMBE:...
- MLIMA KILIMANJARO KAMWE HAUWEZI KUSHINDA KWA STAIL...
- WAZIRI WA MAMBO YA NJE ATOA KAULI JUU YA MISAADA Y...
- 2.2 BILIONI ZATUMIKA KUWASOMESHA WATATU TCRA NJE K...
- RAIS WA GHANA AIKATAA MISAADA TOKA UINGEREZA YENYE...
- NAMBA ZA KUUPIIGIA KURA MLIMA KILIMANJARO ZATOLEWA...
- TUNATAKIWA KUUKUBALI USHOGA ILI TUONGEZEWE MISAADA...
-
▼
November
(29)
Popular Posts
-
Timu ya Arsenal ya Uingereza inatarajiwa kuvaa jezi yenye jina DUBAI kifuani katika mchezo wa leo usiku wa hatua ya 16 bora katika ligi ya m...
-
Babu akitoa huduma kwa wagonjwa WAKATI idadi ya watu ikizid...
-
Tanesco Tanzania wameendelea kuandamwa na mikosi na hii ni baada ya mitambo mipya iliyofungwa katika eneo la Ubungo katika wilaya ya Kinondo...
-
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma(POAC) imegundua ufisadi wa kutisha uliokuwa unafanyika ndani ya Bodi ya TCRA iliyo chini ya J...
-
Nahodha wa klabu ya Chelsea John Terry amepokonywa unahodha wa timu ya Taifa kwa mara ya pili katika kipindi cha miaka miwili kutokana na tu...
-
When we lose someone close to our heart we let go of a part of ourselves. In order to deal with heartache and loss we close ourselves of...
-
Furious Fabio Capello is considering quitting as England boss after the row over John Terry. DAILY MIRROR John Terry has vowed to carry on p...
-
Sasa unaweza soma gazeti la Mwananchi katika blog yangu, tembelea http//ronnieelmagnifico.blogspot.com
-
Fuatilia hapa baada ya muda si mrefu utapata habari zaidi
-
The 5,000 sq ft home includes a saltwater pool, glassed in sunroom, outside fireplace, 5 bedrooms and 5 baths ... but no apparent grotto,...
OTHER BLOG LIST
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment