Kutokana na mvua kubwa zinazoambatana na Radi zinazoendelea katika jiji la Dar es salaam toka mishale ya saa 10 alfajiri, zimesababisha kukatika kwa umeme katika maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam na maeneo mengine nguzo za umeme zimedondoka kama eneo la Ubungo na Tabata Segerea jambo ambalo limeilazimu Tanesco kuzima umeme baadhi ya maeneo kuepusha hatari.
Nikizungumza na moja ya wafanyakazi wa kitengo cha mawasiliano asubuhi hii ambae hakuwa tayari jina lake kuwekwa hapa amesema wananchi wanapaswa kutembea kwa makini wakati huu wa mvua na endapo utaona popote ambapo nguzo imedondoka au nyaya kukatika na matatizo mengine ya umeme toa taarifa Tanesco mara moja, ameendelea kusema katizo hili la umeme ni la muda na hali itakapokuwa shwari watashughulikia baadhi ya maeneo yenye matatizo na shughuli zitaendelea kama kawaida.
Tanesco inaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
December
(13)
- CHRISTMASS GIFT: OPEN HERE
- MVUA YAZUA BALAA DAR ES SALAAM
- TAARIFA MAALUM TOKA TANESCO
- RATIBA YA 16 BORA UEFA YATANGAZWA: LOOK DOWN
- BE CARE: WATU 102 WAFA KWA KUNYWA POMBE YENYE SUMU
- MATUKIO KUMI YAKUKUMBUKWA MWAKA 2011: SOMA HAPA
- 5 FACTS ABOUT FACEBOOK USERS IN tANZANIA
- MISAMIATI 30 ILIKOSA MAJIBU KATIKA MIAKA 50 YA UHURU
- VIBAKA WAMFANYIA KITU MBAYA DIAMOND
- HIVI RAIS YUPO AU AMESAFIRI? NCHI INAONGOZWA NA NANI?
- TUNDAMAN APATA AJALI MBAYA
- MAKUNDI YA EURO 2012 YATANGAZWA. LOOK DOWN
- MR EBBO AFARIKI DUNIA
-
▼
December
(13)
Popular Posts
-
Johannesburg (CNN) -- South African anti- apartheid icon Nelson Mandela successfully underwent hernia surgery Saturday, a family member told...
-
Haya ndiyo baadhi ya yaliyoamuliwa kuhusu madai ya Madaktari Kwa ufupi, kutoka kwa watu waliokuwemo kwenye mkutano wa Madaktari na Waziri Mk...
-
Mashabiki 74 wamepoteza maisha yao jana mjini Port Said nchini Misri katika mchezo uliozikutanisha timu za Al Masry dhidi ya timu inayoongoz...
-
AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harris...
-
UTANGULIZI Mgomo wa Madaktari ambao umedumu kwa takriban wiki mbili nchini sasa ni dhahiri kwamba umelitikisa Taifa na kuathiri huduma za t...
-
Magoli mawili yaliyowekwa kimiani na mshambuliaji wa Barcelona raia wa Chile Alexis Sanchez sambamba na goli murua toka kwa mchezaji bora wa...
-
This newly-appointed Education and Vocational Training minister, Dr. Shukuru Kawambwa announced recently new government strategies for imp...
-
Many people wonder what it takes to have twins, triplets or more. While having multiples is sometimes an act of fate, parents of multiples s...
-
Arshavin amejiunga na klabu yake ya zamani ya Zennit Petrsburg ya Urusi kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu, mchezaji huyo ambae alikuwa akiip...
OTHER BLOG LIST
Monday, December 19, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment