WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

Popular Posts

Friday, December 9, 2011

MISAMIATI 30 ILIKOSA MAJIBU KATIKA MIAKA 50 YA UHURU

Hii ni orodha ya maneno ambayo yamekosa maana ya moja kwa moja na yametesa sana vichwa vya watanzania.
1. Kuchakachua
2. Mchakato
3. Uwekezaji
4. Posho
5. Katiba
6. Maisha bora kwa kila mtanzania
7. Ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya
8. Megawati
9.Kujivua Gamba
10. Hadidu za rejea
11. Barabara za juu
12. Mabasi ya mwendo kasi
13. upembuzi yakinifu
14. Sharobaro
15. Fursa sawa kwa wote
16. Richmond
17. EPA
18. Rasimu
19. Kamati teule
20. Tume ya uchunguzi
21. Mfumuko wa bei
22. Muafaka
23. Maslahi ya umma
24. Utandawazi
25. Ruksa
26. Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele
27. Wahisani
28. Kichwa cha mwenda wazimu
29. Haki za Binadamu
30. Mafisadi

Wewe kama mtanzania mwenzangu hebu changia ulichoelewa katika misamiati hii.

No comments:

Post a Comment