Watu wanne akiwemo mama mjamzito na wanaume watatu wamefariki papo hapo kutokana na ajali iliyolihusisha Lori la mafuta na Gari ndogo mbili katika eneo la Riverside Ubungo majira ya saa10 jioni. Watu wengine watatu wamewahishwa hospitali kwa matibabu zaidi akiwemo dereva wa moja ya magari hayo madogo na mchuuzi wa barabarani
Lori hilo lililokuwa likielekea bandarini kupitia barabara ya mandela limeangukia magari hayo mawili yaliyokuwa kwenye foleni upande wa pili wa barabara ya kuelekea ubungo mataa katika eneo la Riverside baada ya kujaribu kuikwepa gari nyingine ndogo na kuacha barabara.
Habari zaidi baadae
Acheni Kutangaza Watu, Tangazeni Nchi - Makonda
10 minutes ago

No comments:
Post a Comment