Kinyang'anyiro cha Urais wa mwaka 2015 umeendelea kuwapa tumbo joto baadhi ya vigogo wa CCM huku kila mmoja akitumia kila njia kuhakikisha yeye ndie anapitishwa kama mgombea.
Fukuto kubwa linaonekana kwa vigogo watatu wenye nguvu ndani ya Chama hicho ambao wamekuwa wakitumia kila njia kuhakikisha majina yao yanang'ara.
Baadhi ya vigogo hao wamekuwa wakihusishwa na mpasuko mkubwa unaoendelea ndani ya Chama cha Mapinduzi, ambapo baadhi wamekuwa wakiunga mkono wale wanaojihusisha na ufisadi wang'olewe ndani ya Chama, wengine wakipinga hilo na baadhi wakionekana kutounga mkono upande wowote.
Wengine wameenda mbali zaidi na kudai kuwa Rais ajae lazima atoke dini fulani kutokana na mlolongo wa wale waliopita kufuata mapokezano ya dini ambapo imekuwa wanaanza Wakristo na kufuatia Waislam jambo ambalo limewapa nguvu baadhi ya vigogo hao ambao ni wakristo kudhani kuwa sasa ni zamu yao. Huku hayo yakiendelea vyama vya upinzani vimeendelea kujipanga kuhakikisha nao wanachukua madaraka na jambo kubwa ambalo wanafanya sasa ni kuhakikisha wanajijengea sifa nzuri kwa wapiga kura.
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
November
(29)
- MANCHESTER UNITED WATUPWA NJE:CARLING CUP
- BREAKING NEWS; WANNE WAFA KWA AJALI UBUNGO
- 26th Nov; BAADHI YA WASANII WATAKAOTUMBUIZA ; okoa...
- KUNA UMUHIMU GANI KWA KATIBA YETU KUANDIKWA KWA LU...
- URAIS 2015 WAWACHANGANYA WENGI:TABIRI ZA MASANGOMA...
- HOW TO STOP MASTERBATION ADDICTION
- MOTO MKUBWA WALIPUKA MITAMBO YA UMEME UBUNGO:MITAM...
- BREAKING NEWS: MAFURIKO DAR NA MWANZA
- NCHINI INANUKA:MNADHIMU MKUU WA JWTZ AKAMATWA NA I...
- FROM MOVENPICK TO DAR ES SALAAM SERENA HOTEL:KWELI...
- HIVI NDIVYO ALIVYOLAKIWA PRINCE CHARLES
- POLISI YAWATAWANYA WAFUASI WA CHADEMA ARUSHA
- LADY GAGA ATWAA TUZO 4 ZA MTV EUROPE MUSIC AWARDS
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- HUDUMA ZA MAKAMPUNI YA SIMU NCHINI NI MBOVU MNO, T...
- MISS VENEZUELA IVIAN SARCOS ATWAA TAJI LA MISS WOR...
- CHURCH OF ENGLAND OPPOSED TO SAME SEX CIVIL PARTNE...
- EID MUBARAK GREETINGS ALL MUSLIMS: READ THIS
- RAIS KIKWETE AMTEMBELEA VENGU HOSPITALI
- THE MAGICIAN PAGE: KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMB...
- KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMBISHA KICHWA MASHOGA TZ
- BALOZI WA UINGEREZA NCHINI AIPINGA KAULI YA MEMBE:...
- MLIMA KILIMANJARO KAMWE HAUWEZI KUSHINDA KWA STAIL...
- WAZIRI WA MAMBO YA NJE ATOA KAULI JUU YA MISAADA Y...
- 2.2 BILIONI ZATUMIKA KUWASOMESHA WATATU TCRA NJE K...
- RAIS WA GHANA AIKATAA MISAADA TOKA UINGEREZA YENYE...
- NAMBA ZA KUUPIIGIA KURA MLIMA KILIMANJARO ZATOLEWA...
- TUNATAKIWA KUUKUBALI USHOGA ILI TUONGEZEWE MISAADA...
-
▼
November
(29)
Popular Posts
-
Johannesburg (CNN) -- South African anti- apartheid icon Nelson Mandela successfully underwent hernia surgery Saturday, a family member told...
-
The boy octopus An eight-Deepak Kumar from India became a normal child after his parasitic twin was removed by surgery. In India, the b...
-
Computer does not care how you look. Computer can’t be angry if you not respond immediately. Computer always wait for you Computer can’...
-
PRESIDENT Jakaya Kikwete has warned the opposition PRESIDENT Jakaya Kikwete has warned the opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
-
Babu akitoa huduma kwa wagonjwa WAKATI idadi ya watu ikizid...
-
AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harris...
-
The Football Association have confirmed that Fabio Capello has resigned as England manager. The Italian tendered his resignation following a...
-
How to be faithful to a Husband or Wife? There are many people who easily stray and end up cheating on their loved ones. Some get away with ...
-
Arshavin amejiunga na klabu yake ya zamani ya Zennit Petrsburg ya Urusi kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu, mchezaji huyo ambae alikuwa akiip...
OTHER BLOG LIST
Wednesday, November 16, 2011
URAIS 2015 WAWACHANGANYA WENGI:TABIRI ZA MASANGOMA ZAPEWA NAFASI KUBWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment