Serikali ya Uingereza imezitaka nchi zinazoendelea kuzitambua haki za mashoga la sivyo zitapunguziwa ama kuondolewa kabisa misaada inayotolewa na nchi hiyo.
Kauli hiyo kali na yakusikitisha imetolewa na Waziri wa Uingereza anaeshughulikia Maendeleo ya Kimataifa Andrew Mitchel alipokuwa akizungumzia misaada inayotolewa Afrika. namnukuu " We'll cut your aid if you persecute gays". Ametoa kauli hiyo ikiwa tayari serikali yake imeiondolea nchi ya Malawi £19million baada ya kuwahukumu kifungo cha miaka 14 mashoga Tiwangole Chimbalanga 26 na Steven Monjeza 20 waliovalishana pete ya uchumba hadharani.
Waziri huyo pia ametishia kuzipunguzia misaada Uganda inayopata £70million kila mwaka na Ghana £36million toka nchini humo kwakuwa wamekuwa wakipinga ushoga bila woga. Msemaji wa Waziri huyo pia alitoa kauli kali katika kusisitiza hilo akisema " Serikali yetu imejipanga kuhakikisha kuwa vitendo vya kihalifu na unyanyasaji dhidi ya mashoga, wasagaji, watu wenye jinsia mbili na walipandikizwa jinsi tofauti na walizozaliwa nazo vinadhibitiwa na haki zao kutambuliwa katika jamii ndani na nje ya Uingereza" aliendelea kusisitiza akisema "Sasa tutaelekeza misaada yetu kwa wale watakaozingatia hili na tutakuwa tukitoa misaada kila baada ya miezi mitatu na sio kwa mwaka mzima kama ilivyokuwa awali jambo ambalo litatuwezesha kupitia kwa umakini kufuatwa kwa haki hizo. Tutaelekeza misaada ya moja kwa moja pale tutakaporidhika kuwa nchi za Afrika zinafuata masharti yetu ya kupunguza umaskini na kuheshimu haki za binadamu".
Swali linabaki kwetu, Je tupo tayari kuukubali ushoga ili tupatiwe misaada? Tungoje kuona viongozi wetu hasa mkubwa wa nchi kama atatoa kauli kuhusiana na hili. Tayari hapo juzi serikali hiyo ya Uingereza ilitishia kutupunguzia $490million katika bajeti yetu kwa kuwa hatutimizi yale wanayoyataka, hebu wayaainishe basi ili tuelewe. Tuwe makini na tulipinge hili kwa nguvu moja. Shime Watanzania, hii sio sawa mbele za Mungu, tusiogope kutopatiwa misaada.
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
November
(29)
- MANCHESTER UNITED WATUPWA NJE:CARLING CUP
- BREAKING NEWS; WANNE WAFA KWA AJALI UBUNGO
- 26th Nov; BAADHI YA WASANII WATAKAOTUMBUIZA ; okoa...
- KUNA UMUHIMU GANI KWA KATIBA YETU KUANDIKWA KWA LU...
- URAIS 2015 WAWACHANGANYA WENGI:TABIRI ZA MASANGOMA...
- HOW TO STOP MASTERBATION ADDICTION
- MOTO MKUBWA WALIPUKA MITAMBO YA UMEME UBUNGO:MITAM...
- BREAKING NEWS: MAFURIKO DAR NA MWANZA
- NCHINI INANUKA:MNADHIMU MKUU WA JWTZ AKAMATWA NA I...
- FROM MOVENPICK TO DAR ES SALAAM SERENA HOTEL:KWELI...
- HIVI NDIVYO ALIVYOLAKIWA PRINCE CHARLES
- POLISI YAWATAWANYA WAFUASI WA CHADEMA ARUSHA
- LADY GAGA ATWAA TUZO 4 ZA MTV EUROPE MUSIC AWARDS
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- HUDUMA ZA MAKAMPUNI YA SIMU NCHINI NI MBOVU MNO, T...
- MISS VENEZUELA IVIAN SARCOS ATWAA TAJI LA MISS WOR...
- CHURCH OF ENGLAND OPPOSED TO SAME SEX CIVIL PARTNE...
- EID MUBARAK GREETINGS ALL MUSLIMS: READ THIS
- RAIS KIKWETE AMTEMBELEA VENGU HOSPITALI
- THE MAGICIAN PAGE: KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMB...
- KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMBISHA KICHWA MASHOGA TZ
- BALOZI WA UINGEREZA NCHINI AIPINGA KAULI YA MEMBE:...
- MLIMA KILIMANJARO KAMWE HAUWEZI KUSHINDA KWA STAIL...
- WAZIRI WA MAMBO YA NJE ATOA KAULI JUU YA MISAADA Y...
- 2.2 BILIONI ZATUMIKA KUWASOMESHA WATATU TCRA NJE K...
- RAIS WA GHANA AIKATAA MISAADA TOKA UINGEREZA YENYE...
- NAMBA ZA KUUPIIGIA KURA MLIMA KILIMANJARO ZATOLEWA...
- TUNATAKIWA KUUKUBALI USHOGA ILI TUONGEZEWE MISAADA...
-
▼
November
(29)
Popular Posts
-
Majambazi yaliyokuwa na silaha nzito yamevamia katika kituo cha mafuta cha TOTAL kilichopembeni ya Mlimani City Supermarket na kupora mamili...
-
Mgao wa umeme ambao ulisitishwa kwa muda na serikali baada ya kuamua kutoa fedha ajili ya ununuzi wa mafuta kwa kampuni ya IPTL kwa mwezi Ag...
-
Kwa mujibu wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) haya ndiyo matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2011 JUMLA YA WATAHINIWA 3671 SAWA NA A...
-
Meneja mawasiliano wa Shirika la umeme nchini Tanzania (TANESCO) Bi Badra Masoud limetoa ufafanuzi kuhusiana na matukio ya kukatika umeme ya...
-
Roberto Mancini slammed the door on Carlos Tevez returning to the Man City team. THE SUN Sir Alex Ferguson believes Ryan Giggs could one d...
-
1 Going straight for the naughty bits You've got to be sensitive to the fact that a woman is more likely to be irritated than aroused...
-
Timu ya Manchester United imewasili jijini Amsterdam, Uholanzi mchana wa leo kikiwa na jumla ya wachezaji 20 tayari kwa mchezo wa Raundi ya ...
-
Johannesburg (CNN) -- South African anti- apartheid icon Nelson Mandela successfully underwent hernia surgery Saturday, a family member told...
-
Animals are such agreeable friends – they ask no questions, they pass no criticisms.”
OTHER BLOG LIST
Tuesday, November 1, 2011
TUNATAKIWA KUUKUBALI USHOGA ILI TUONGEZEWE MISAADA: SHINIKIZO TOKA SERIKALI YA UINGEREZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment