MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE. BE BLESSED
CCM WASHINDA KWA TABU iGUNGA Chama Cha Mapinduzi(CCM) wamepata ushindi wa asilimia 49% katika jimbo la Jgunga huku Chadema wakiambulia asilimia 45% ya kura katika uchaguzi ulioonekana ni wa pande mbili, uchaguzi huo ulitawaliwa na vituko vingi ikiwamo moja ya mtu alitangazwa kufariki kutokea katika eneo la uchaguzi huku ikisemekana alikuwa hai ila chuki zake na mwenyekiti ndio sababu za yote hayo, hii ni hatua nzuri kwa CHADEMA katika kuelekea Uchaguzi mkuu mwaka 2015. Mungu Ibariki Tanzaniaasilimia 45% ya kura katika uchaguzi ulioonekana ni wa pande mbili, uchaguzi huo ulitawaliwa na vituko vingi ikiwamo moja ya mtu alitangazwa kufariki kutokea katika eneo la uchaguzi huku ikisemekana alikuwa hai ila chuki zake na mwenyekiti ndio sababu za yote hayo, hii ni hatua nzuri kwa CHADEMA katika kuelekea Uchaguzi mkuu mwaka 2015. Mungu Ibariki Tanzania
No comments:
Post a Comment