Kwa mtazamo wangu kwa hali ilivyo sasa katika eneo la Ubungo kutokana na kuwa na mitambo mingi hasa eneo la karibu na darajani ni heri wananchi wa maeneo yale wangehamishwa na kupelekwa maeneo mengine.
Kuna wafanyabiashara ambao hupanga bidhaa zao pembezoni mwa barabara ya Mandela sambamba na Gereji ambayo ipo laribu kabisa na mitambo ya Aggreco ambapo kama litajitokeza tatizo kubwa zaidi ya la leo maisha ya watu wengi yanaweza kupotea, ni zaidi ya mara 6 sasa kwa uzoefu wangu toka nimehamia eneo la Ubungo kwa matatizo kama haya kutokea, au tunasubiri makibwa kama ya MV Spice ndio turekebishe?
Usipoziba ufa..................
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
October
(18)
- MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FE...
- ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA,...
- BASI LA SUMMRY TOKA DAR-DOM LAPATA AJALI MBAYA, JI...
- WATATU WAFA KWA KIPIGO CHA POLISI DODOMA: NANI ANA...
- NANI ANAWAPA POLISI NGUVU YA KUPIGA RAIA NA KUHARI...
- KILICHOMTOKEA JK UDSM NI HALALI KABISA:NCHI INANUKA
- GHADDAFI ADAIWA KUKAMATWA NA MAJESHI YA NATO
- SHAME: JK AZOMEWA NA WANAFUNZI WA UDSM
- MTANGAZAJI AJITANGAZA SHOGA KWENYE TAARIFA YA HABARI
- USHAURI WA BURE KWA SERIKALI
- MITAMBO MIPYA YA AGGRECO YAPATA HITILAFU KUBWA
- LETS FIGHT AGAINST MALARIA: Miss Mtwara 2011/12 af...
- KADA WA CCM ATAMANI UPINZANI USHINDE MWAKA 2015: A...
- CHRISS BROWN ANG'AA KATIKA BET 2011 AWARDS
- MSHINDI WA BSS APATIKANA
- TUTAFIKA KWELI KWA KAULI ZA VIONGOZI? - Dr H.K Kin...
- CCM WASHINDA KWA TABU iGUNGA Chama Cha Mapind...
- http://www.mwananchi.co.tz/
-
▼
October
(18)
Popular Posts
-
The Ten Best Gifts for Men to Give Women Le The Ten Best Gifts for Men to Give Women Let's face it; some gifts ...
-
Meneja mawasiliano wa Shirika la umeme nchini Tanzania (TANESCO) Bi Badra Masoud limetoa ufafanuzi kuhusiana na matukio ya kukatika umeme ya...
-
Hatimaye jana mshindi wa shindano la BSS Second Chance Hajji Ramadhani jana alijinyakulia 40m za BSS huku akifuatiwa na Joseph Cuthbert kati...
-
Kada wa CCM, Mustafa Sabodo ameahidi kuchimba zaidi ya visima 200 katika majimbo yote ya wabunge wa CHADEMA nchini huku akieleza angependa k...
-
Mapya yaibuka Dowans • Dk. Slaa asema Kikwete anawajua wamiliki wake na Mwandishi wetu WAKATI kampuni ya kuzalisha umeme wa...
-
"Tanzania hakuna amani"x 4 ni kilio kilichoonekana ka,a wimbo nilichokisikia nikiwa nimetegea sikio taarifa ya habari katika stesh...
-
Johannesburg (CNN) -- South African anti- apartheid icon Nelson Mandela successfully underwent hernia surgery Saturday, a family member told...
-
Facebook is a social networks that links and create friendship and networking to many people worldwide, but some of illiterate people start ...
-
Majambazi yaliyokuwa na silaha nzito yamevamia katika kituo cha mafuta cha TOTAL kilichopembeni ya Mlimani City Supermarket na kupora mamili...
OTHER BLOG LIST
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment