Mtangazaji wa televisheni ya ABC nchini Marekani Danny Cliff amejitangaza kuwa yeye ni shoga katika taarifa ya habari ya kituo hicho ambapo yeye ndie alikuwa msomaji.
Hali hiyo ya kushangaza iliwaacha wengi vinywa wazi kwani ni jambo ambalo hawakulitegemea, Danny ambae swala la yeye kuwa shoga lilikuwa likifahamika na ndugu na marafiki wa karibu amesema ameamua kuchukua uamuzi huo kutokana na kukithiri kwa vitendo vya kinyanyasaji vinavyowakumba baadhi ya mashoga duniani kote na akitolea mfano wa mwanafunzi mwenye miaka 14 aliyejiua huko Marekani baada ya wanafunzi wenzie kuwa wanamwandama na kumnyanyasa baada ya kujitangaza hadharani kuwa ni shoga.
Hivi karibuni ambapo shoga mmoja aliomba haki zao kutambuliwa katika jamii na katiba mpya iwafikirie kama sehemu ya jamii katika kongamano la jinsia lililoandaliwa na TGNP na pia shoga mwingine maarufu hapa nchini maarufu kama Aunt Suzy alijitangaza hadharani katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds Fm ambapo pia baada ya hapo alipata shambulio toka kwa mwanaume aliyekuwa anaishi nae.
Tutafika kweli? Hii inaashiria nini? Je tuwatambue hawa kama moja ya wanajamii?
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
October
(18)
- MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FE...
- ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA,...
- BASI LA SUMMRY TOKA DAR-DOM LAPATA AJALI MBAYA, JI...
- WATATU WAFA KWA KIPIGO CHA POLISI DODOMA: NANI ANA...
- NANI ANAWAPA POLISI NGUVU YA KUPIGA RAIA NA KUHARI...
- KILICHOMTOKEA JK UDSM NI HALALI KABISA:NCHI INANUKA
- GHADDAFI ADAIWA KUKAMATWA NA MAJESHI YA NATO
- SHAME: JK AZOMEWA NA WANAFUNZI WA UDSM
- MTANGAZAJI AJITANGAZA SHOGA KWENYE TAARIFA YA HABARI
- USHAURI WA BURE KWA SERIKALI
- MITAMBO MIPYA YA AGGRECO YAPATA HITILAFU KUBWA
- LETS FIGHT AGAINST MALARIA: Miss Mtwara 2011/12 af...
- KADA WA CCM ATAMANI UPINZANI USHINDE MWAKA 2015: A...
- CHRISS BROWN ANG'AA KATIKA BET 2011 AWARDS
- MSHINDI WA BSS APATIKANA
- TUTAFIKA KWELI KWA KAULI ZA VIONGOZI? - Dr H.K Kin...
- CCM WASHINDA KWA TABU iGUNGA Chama Cha Mapind...
- http://www.mwananchi.co.tz/
-
▼
October
(18)
Popular Posts
-
AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harris...
-
AKITOA TAARIFA JUU YA MASULUHISHO HAYO MSANII WA KUNDI LA WAGOSI WA KAYA AMESEMA:KWANZA POLENI NA SAMAHANINI KWA HALI YA SINTOFAHAMU ILIYOTO...
-
Timu za soka zinazotokea katika jiji la London na zilizo katika Big 4 ya ligi kuu ya England zimewaonya mashabiki wake kujiepusha na vitendo...
-
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta ameendelea kusisitiza kwamba ugonjwa unaomsumbua Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harriso...
-
Arshavin amejiunga na klabu yake ya zamani ya Zennit Petrsburg ya Urusi kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu, mchezaji huyo ambae alikuwa akiip...
-
WI Z A R A y a A f y a n a U s t awi wa J am i i , i mem r u k a M k u r u g e n z i wa M a k o s a y a J i n a i ( D C I ) , R o b e r t M ...
-
PROSTITUTES in Lusaka’s Kanyama, John Laing, Chawama and Kalingalinga compounds offered themselves free of charge to every Jim and Jack as p...
-
Johannesburg (CNN) -- South African anti- apartheid icon Nelson Mandela successfully underwent hernia surgery Saturday, a family member told...
-
Huku hali ikiendelea kuwa tete kwa Chama Cha Mapinduzi sambamba na viongozi wake ambapo wanatafunwa na siasa za makundi, baadhi ya matukio y...
OTHER BLOG LIST
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tatizo binadamu tunapenda sana kuhukumu... aliyemuumba hajamua kumtengenezea dunia yake peke yake wala kumtenga, ila wewe kwa ubinafsi wako kisa tu hajaumbwa kama wewe basi utataka umtenge na kumyanyasa...si kazi yetu kuhukumu kwa sababu na sisi tunamapungufu yetu makubwa zaidi kuliko wao na hakuna anayetutenga.
ReplyDeleteMbona sioni wanaume wakiwanyanyapaa na kuwatenga wasichana waliotoa mimba...hilo si kosa la mauaji? Si amepunguza nguvukazi ya taifa? Huyo kwa ushoga wake, kamdhuru nani? Si bado anajenga taifa- anafanya kazi, analipa kodi, na nanaishi kama watu wengine ila tofauti ni kuwa hapendi wanawake kimapenzi bali wanaume?! Ulipokuwa hufahamu ni shoga alikudhuru nini...ila kufahamu tu kuwa ni shoga ghafla kawa mtu mbaya sana?! Tunapoteza muda mwingi sana katika mawazo hasi kuliko chanya!