Tanesco Tanzania wameendelea kuandamwa na mikosi na hii ni baada ya mitambo mipya iliyofungwa katika eneo la Ubungo katika wilaya ya Kinondoni ambayo ilitegemewa kupunguza mgao kupata hitilafu kubwa usiku huu muda wa saa 5 na dakika 51
Mitambo hiyo iliyokuwa katika matengenezo kwa siku kadhaa sasa ikitarajiwa ingepunguza makali ya mgao kwa kuchangia zaidi ya megawati 150 katika gridi ya Taifa imekumbwa na mkasa huo huku Tanesco wakiandamwa na balaa jingine la kesi ya Dowans na mgao usio na kikomo, tega sikio kwa habari zaidi.
RIDHIWANI AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAO FISA UGANI CHALINZE
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment