WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

Popular Posts

Tuesday, October 18, 2011

MITAMBO MIPYA YA AGGRECO YAPATA HITILAFU KUBWA

Tanesco Tanzania wameendelea kuandamwa na mikosi na hii ni baada ya mitambo mipya iliyofungwa katika eneo la Ubungo katika wilaya ya Kinondoni ambayo ilitegemewa kupunguza mgao kupata hitilafu kubwa usiku huu muda wa saa 5 na dakika 51
Mitambo hiyo iliyokuwa katika matengenezo kwa siku kadhaa sasa ikitarajiwa ingepunguza makali ya mgao kwa kuchangia zaidi ya megawati 150 katika gridi ya Taifa imekumbwa na mkasa huo huku Tanesco wakiandamwa na balaa jingine la kesi ya Dowans na mgao usio na kikomo, tega sikio kwa habari zaidi.

No comments:

Post a Comment