WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

Popular Posts

Thursday, October 20, 2011

GHADDAFI ADAIWA KUKAMATWA NA MAJESHI YA NATO

Kiongozi wa zamani wa Libya anadaiwa kukamatwa na majeshi ya NATO katika mapigano yaliyokuwa yakiendelea katika jimbo la Sirte ambapo ndipo alipozaliwa kiongozi huyo.
Habari ambazo bado hazijathibitishwa rasmi na serikali ya mpito nchini humo zinasema Rais huyo wa zamani amekamatwa na ana majeraha katika miguu yake yote miwili baada ya mapambano yaliyokuwa yanaendelea katika jimbo hili. Habari hizo zimeeleza pia Waziri wa zamani wa ulinzi wa serikali ya Kanali Ghaddafi ajulikanae kama Abu Bakr Yunis amefariki dunia.
Kaa tayari kwa habari zaidi

No comments:

Post a Comment