Mgao wa umeme ambao ulisitishwa kwa muda na serikali baada ya kuamua kutoa fedha ajili ya ununuzi wa mafuta kwa kampuni ya IPTL kwa mwezi Agosti na Septemba unaelekea kurejea baada ya Waziri wa Fedha Mh Mustafa Mkullo kugoma kutoa fedha hazina kwa ajili ya zoezi hilo.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii Mkullo alisema "Sema kabisa kwamba Waziri wa Fedha kasema wizara yake haihusiki na malipo hayo", aliendelea kwa kusema serikali haiwezi kutumia hela za walipa kodi kuyapatia makampuni yaliyoajiriwa na Tanesco ajili ya kuzalisha umeme.
Kampuni ya IPTL inachangia kiasi cha Megawati 80 katika gridi ya Taifa na kama itashindwa kuzalisha kiwango hicho hii inamaanisha makali ya mgao yatarejea kama awali, msemaji wa Tanesco Badra Masoud amesema shirika hilo linatumia zaidi ya bilioni 17 kwa mwezi ajili ya ununuzi wa mafuta kiasi ambacho ni kikubwa mno kwao na kusitishwa huko kwa fedha kutaiingiza nchi kwenye mgao mkali tena.
Aliongeza kuwa kiwango cha maji kwa sasa katika bwawa la Mtera ni kidogo kuzingatia kiwango cha 690mm ambacho ndio sahihi kwa ajili ya kuzalisha nishati hiyo ila wameiombwa Wizara ya maji na wamewakubalia kuanza shughuli hiyo huku akisema hata kukatika kwa umeme mara kwa mara kunatokana na matatizo hayo.
Mgao wa umeme ulipungua makali yake baada ya makampuni ya Symbion 37megawati, IPTL megawati 80 na AGGreko 75megawati kuchangia kiasi cha Megawati 192 katika gridi ya Taifa. Tujiandae ma mgao kwa kweli.
Hii ndio Tanzania
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
October
(18)
- MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FE...
- ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA,...
- BASI LA SUMMRY TOKA DAR-DOM LAPATA AJALI MBAYA, JI...
- WATATU WAFA KWA KIPIGO CHA POLISI DODOMA: NANI ANA...
- NANI ANAWAPA POLISI NGUVU YA KUPIGA RAIA NA KUHARI...
- KILICHOMTOKEA JK UDSM NI HALALI KABISA:NCHI INANUKA
- GHADDAFI ADAIWA KUKAMATWA NA MAJESHI YA NATO
- SHAME: JK AZOMEWA NA WANAFUNZI WA UDSM
- MTANGAZAJI AJITANGAZA SHOGA KWENYE TAARIFA YA HABARI
- USHAURI WA BURE KWA SERIKALI
- MITAMBO MIPYA YA AGGRECO YAPATA HITILAFU KUBWA
- LETS FIGHT AGAINST MALARIA: Miss Mtwara 2011/12 af...
- KADA WA CCM ATAMANI UPINZANI USHINDE MWAKA 2015: A...
- CHRISS BROWN ANG'AA KATIKA BET 2011 AWARDS
- MSHINDI WA BSS APATIKANA
- TUTAFIKA KWELI KWA KAULI ZA VIONGOZI? - Dr H.K Kin...
- CCM WASHINDA KWA TABU iGUNGA Chama Cha Mapind...
- http://www.mwananchi.co.tz/
-
▼
October
(18)
Popular Posts
-
Whitney Houston, who reigned as pop music's queen until her majestic voice and regal image were ravaged by drug use, erratic behavior an...
-
MR II G SOLO ANTI VIRUS PART 1 COVER SOGGY DOGGY ZAY B SUMA G Picha za juu hapo ni baadhi ya wasanii watakaotumbuiza...
-
If you want to know how to your ex back and don’t know where to start, follow this simple step-by-step action plan to get your ex back. I...
-
AUSAMBAZA KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE WA KARIBU NAIBU Waziri wa Ujenzi anayeugua ugonjwa uliozusha utata mkubwa serikalini, Dk. Harris...
-
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta ameendelea kusisitiza kwamba ugonjwa unaomsumbua Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harriso...
-
The Football Association have confirmed that Fabio Capello has resigned as England manager. The Italian tendered his resignation following a...
-
How To Be Creative by ronald Do you ever get asked ‘Where did you get that idea from?’ in any of your projects or pieces of work and yo...
-
Carlos Tevez has been told he must make grovelling apologies before pulling on a Manchester City shirt again. THE SUN Arsene Wenger has ad...
-
Timu za soka zinazotokea katika jiji la London na zilizo katika Big 4 ya ligi kuu ya England zimewaonya mashabiki wake kujiepusha na vitendo...
-
UTAFITI mpya umebaini kuwa nusu ya wanaume nchini ni wagumba ukipingana madai ya wengi kuwa tatizo hilo linawaathiri zaidi wanawake.Kwa muji...
OTHER BLOG LIST
Saturday, October 29, 2011
MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FEDHA AGOMA KUTOA FEDHA ZA UNUNUZI WA MAFUTA KWA IPTL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment