Mgao wa umeme ambao ulisitishwa kwa muda na serikali baada ya kuamua kutoa fedha ajili ya ununuzi wa mafuta kwa kampuni ya IPTL kwa mwezi Agosti na Septemba unaelekea kurejea baada ya Waziri wa Fedha Mh Mustafa Mkullo kugoma kutoa fedha hazina kwa ajili ya zoezi hilo.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii Mkullo alisema "Sema kabisa kwamba Waziri wa Fedha kasema wizara yake haihusiki na malipo hayo", aliendelea kwa kusema serikali haiwezi kutumia hela za walipa kodi kuyapatia makampuni yaliyoajiriwa na Tanesco ajili ya kuzalisha umeme.
Kampuni ya IPTL inachangia kiasi cha Megawati 80 katika gridi ya Taifa na kama itashindwa kuzalisha kiwango hicho hii inamaanisha makali ya mgao yatarejea kama awali, msemaji wa Tanesco Badra Masoud amesema shirika hilo linatumia zaidi ya bilioni 17 kwa mwezi ajili ya ununuzi wa mafuta kiasi ambacho ni kikubwa mno kwao na kusitishwa huko kwa fedha kutaiingiza nchi kwenye mgao mkali tena.
Aliongeza kuwa kiwango cha maji kwa sasa katika bwawa la Mtera ni kidogo kuzingatia kiwango cha 690mm ambacho ndio sahihi kwa ajili ya kuzalisha nishati hiyo ila wameiombwa Wizara ya maji na wamewakubalia kuanza shughuli hiyo huku akisema hata kukatika kwa umeme mara kwa mara kunatokana na matatizo hayo.
Mgao wa umeme ulipungua makali yake baada ya makampuni ya Symbion 37megawati, IPTL megawati 80 na AGGreko 75megawati kuchangia kiasi cha Megawati 192 katika gridi ya Taifa. Tujiandae ma mgao kwa kweli.
Hii ndio Tanzania
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
October
(18)
- MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FE...
- ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA,...
- BASI LA SUMMRY TOKA DAR-DOM LAPATA AJALI MBAYA, JI...
- WATATU WAFA KWA KIPIGO CHA POLISI DODOMA: NANI ANA...
- NANI ANAWAPA POLISI NGUVU YA KUPIGA RAIA NA KUHARI...
- KILICHOMTOKEA JK UDSM NI HALALI KABISA:NCHI INANUKA
- GHADDAFI ADAIWA KUKAMATWA NA MAJESHI YA NATO
- SHAME: JK AZOMEWA NA WANAFUNZI WA UDSM
- MTANGAZAJI AJITANGAZA SHOGA KWENYE TAARIFA YA HABARI
- USHAURI WA BURE KWA SERIKALI
- MITAMBO MIPYA YA AGGRECO YAPATA HITILAFU KUBWA
- LETS FIGHT AGAINST MALARIA: Miss Mtwara 2011/12 af...
- KADA WA CCM ATAMANI UPINZANI USHINDE MWAKA 2015: A...
- CHRISS BROWN ANG'AA KATIKA BET 2011 AWARDS
- MSHINDI WA BSS APATIKANA
- TUTAFIKA KWELI KWA KAULI ZA VIONGOZI? - Dr H.K Kin...
- CCM WASHINDA KWA TABU iGUNGA Chama Cha Mapind...
- http://www.mwananchi.co.tz/
-
▼
October
(18)
Popular Posts
-
12 World’s weirdest stadiums A lot of stadiums around the world have spectacular designs, like the new World Cup 2010 stadiums in South A...
-
Usajili uliokamilika kwa timu za Uingereza Everton -Nikica Jelavic toka Rangers Tottenham - Louis Saha toka Everton QPR - Djibril Cis...
-
Pink Hummer Limo Three TVs, laser lights , strobes, 1800 watt sound system, Disco Floor, star lights, optic lights, pink leather interior, ...
-
INTERNATIONAL WOMEN’S DAY CENTENARY CELEBRATIONS: 1911-2011 DECENT WORK, DECENT LIVES: 100 YEARS OF HERSTORY CONCEPT NOTE Synopsis The 8...
-
Tanzania kwa mara ya kwanza tumepata bahati ya moja ya vivutio vyetu vya Utalii na moja ya lebo ya Taifa mlima Kilimanjaro kutajwa kuingia k...
-
PRESIDENT Jakaya Kikwete has warned the opposition PRESIDENT Jakaya Kikwete has warned the opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
-
Timu ya Liverpool na Manchester City zimeonja chungu ya kufungwa ugenini baada ya kupoteza michezo yake ya Europa League hapo jana. Liverp...
-
Haya ndiyo baadhi ya yaliyoamuliwa kuhusu madai ya Madaktari Kwa ufupi, kutoka kwa watu waliokuwemo kwenye mkutano wa Madaktari na Waziri Mk...
-
Miss Mtwara mwaka 2011/12 Rahma Swai amefariki dunia kwa Ugonjwa wa malaria, mlimwende huyo ambae alikuwa moja ya washiriki wa Shindano la V...
-
The boy octopus An eight-Deepak Kumar from India became a normal child after his parasitic twin was removed by surgery. In India, the b...
OTHER BLOG LIST
Saturday, October 29, 2011
MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FEDHA AGOMA KUTOA FEDHA ZA UNUNUZI WA MAFUTA KWA IPTL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment