Huku hali ikiendelea kuwa tete kwa Chama Cha Mapinduzi sambamba na viongozi wake ambapo wanatafunwa na siasa za makundi, baadhi ya matukio yamekuwa yakiibuka ambapo yanawaacha watu midomo wazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Jakaya M. Kikwete amezomewa na wanafunzi wa chuo kikuu Dar es Salaam alipodhuru chuini hapo kwa kushindwa kushughulikia matatizo mbalimbali yanayowakumba wanavyuo mbalimbali nchini ikiwamo swala la mikopo sambamba na matatizo mbalumbali yanayoikumba nchi ikiwamo kushuka kwa thamani ya shilingi sambamba na kupanda kwa gharama za maisha na matatizo mengineyo likiwamo la umeme
Mambo yakiwa hayajatulia ndani ya Chama baada ya fukuto la uchaguzi wa Igunga ambapo CCM walishinda kwa tabu japo jimbo lilikuwa mikononi mwao toka mwaka 1994 chini ya Rostam Aziz, tukio jingine lililowashangaza watu ni fujo zilizoikumba UVCCM huko Arusha sambamba na kujisafisha katika vyombo vya habari kwa Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowasa huku akitishia atawashtaki wote watakaotumia jina lake vibaya katika vyombo vya habari.
Mmmmmmh hali ni mbaya kwa kweli, hii ni Tanzania tunayoitaka?
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY
- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
October
(18)
- MAKALI YA MGAO WA UMEME KUREJEA UPYA: WAZIRI WA FE...
- ZITTO AHAMISHIWA ICU:ANA VIJIDUDU 150 VYA MALARIA,...
- BASI LA SUMMRY TOKA DAR-DOM LAPATA AJALI MBAYA, JI...
- WATATU WAFA KWA KIPIGO CHA POLISI DODOMA: NANI ANA...
- NANI ANAWAPA POLISI NGUVU YA KUPIGA RAIA NA KUHARI...
- KILICHOMTOKEA JK UDSM NI HALALI KABISA:NCHI INANUKA
- GHADDAFI ADAIWA KUKAMATWA NA MAJESHI YA NATO
- SHAME: JK AZOMEWA NA WANAFUNZI WA UDSM
- MTANGAZAJI AJITANGAZA SHOGA KWENYE TAARIFA YA HABARI
- USHAURI WA BURE KWA SERIKALI
- MITAMBO MIPYA YA AGGRECO YAPATA HITILAFU KUBWA
- LETS FIGHT AGAINST MALARIA: Miss Mtwara 2011/12 af...
- KADA WA CCM ATAMANI UPINZANI USHINDE MWAKA 2015: A...
- CHRISS BROWN ANG'AA KATIKA BET 2011 AWARDS
- MSHINDI WA BSS APATIKANA
- TUTAFIKA KWELI KWA KAULI ZA VIONGOZI? - Dr H.K Kin...
- CCM WASHINDA KWA TABU iGUNGA Chama Cha Mapind...
- http://www.mwananchi.co.tz/
-
▼
October
(18)
Popular Posts
-
The 5,000 sq ft home includes a saltwater pool, glassed in sunroom, outside fireplace, 5 bedrooms and 5 baths ... but no apparent grotto,...
-
Mabingwa wa samba barani Ulaya, timu ya Barcelona F.C jana usiku waliwaadhiri watani wao wa jadi timu ya Real Madrid kwa kipigo cha magoli m...
-
Timu ya Manchester united jana ilimaliza balaa la kufungwa mechi mbili mfululizo katika ligi kuu ya England baada ya kuiangushia Arsenal kip...
-
Klabu ya Manchester United ya England wanajiandaa kuhakikisha wanachukua point zote 3 katika dimba la Emirates siku ya jumapili May 1 ili ku...
-
Barcelona f.c jana wamethibitisha kwamba hawakabiki msimu huu baada ya kuwaadhiri Arsenal F.C kwa goli 3 - 1 huku wakionyesha soka ambal...
-
Rais wa Ghana John Evans Atta Mills amekuwa kiongozi wa kwanza toka Africa kutoa kauli ya kutoikubali misaada toka UK yenye masharti ya kuta...
-
Watch as Emeril Lagasse's Attorney Mark Stein fulfills his life-long dream of being a famous TV chef like his renowned client. ...
-
It is stupefying (classic Mike Tyson word) to think about how much has changed in relation to all things sex in the last 10 ye...
-
Timu za soka zinazotokea katika jiji la London na zilizo katika Big 4 ya ligi kuu ya England zimewaonya mashabiki wake kujiepusha na vitendo...
OTHER BLOG LIST
Thursday, October 20, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kimya kingi kina mshindo mkuu.....Siku yatakapolipuka yaliyojaa kwenye mioyo ya watanzania wengi ambao ni masikini....Ndipo watakapofunguka mafisadi hawa wanaojilimbikizia mali... Na hawa viongozi ambao hawawezi kuchukua hatua yeyote kwa kuwa nao wametekwa kimaslahi....
ReplyDelete