Timu ya Arsenal ya Uingereza inatarajiwa kuvaa jezi yenye jina DUBAI kifuani katika mchezo wa leo usiku wa hatua ya 16 bora katika ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya AC Milan.
Hii inakuja baada ya wote kuwa na mdhamini mmoja ambapo huwa jezi zao zina maandishi ya Fly Emirates kifuani, Arsenal itawabidi kuvaa jezi hizo sababu wapo ugenini. Mara ya mwisho Arsenal kuvaa jezi hizo ilikuwa mwaka 2006 walipocheza na Hamburg ya Ujerumani ambao pia hudhaminiwa na kampuni hiyo ya Uarabuni.
Mchezo wa leo dhidi ya AC Milan utachezwa katika dimba la San Sirro ambapo tayari timu ya Arsenal ipo Italia tayari kwa mchezo utakaochezwa saa 4 na dakika 45 kwa saa za Afrika Mashariki.
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2012
(43)
-
▼
February
(35)
- MANDELA IN "SATISFACTORY CONDITION" AFTER OPERATION
- ARSHAVIN, SAMBA WAKIMBILIA RUSSIA
- ARSENAL & TOTTENHAM ZAONYA MASHABIKI WAKE
- WARAKA WA SIRI TOKA KWA MH. HARRISON MWAKYEMBE
- SUGU NA RUGE WAPATANISHWA
- SITTA - MWAKYEMBE KALISHWA SUMU, POLISI WANAPOTOSHA
- WIZARA YA AFYA YAMRUKA DCI MANUMBA:NI KUHUSU TAARI...
- ASAMOAH GYAN QUITS INTERNATIONAL FOOTBALL
- TAARIFA YA DKT HARRISON MWAKYEMBE KUJIBU KAULI YA ...
- WENGER TO SELL WALCOTT & OTHER 5 PLAYERS IN SUMMER...
- MAJAMBAZI YAVAMIA ENEO LA MLIMANI CITY
- MATOKEO YA MICHEZO YOTE YA EUROPA ILIYOFANYIKA JAN...
- HABARI ZILIZOPAMBA MAGAZETI YA SOKA ULAYA LEO
- HONDURAS: FIRE KILLS 300 PRISONERS IN JAIL
- KIKOSI CHA MANCHESTER UNITED KITAKACHOIVAA AJAX KA...
- HABARI ZILIZOPEWA KIPAUMBELE MAGAZETI YA SOKA ULAY...
- ARSENAL KUVAA JEZI TOFAUTI LEO DHIDI YA AC MILAN
- BARCA, LYON ZAANZA VIZURI 16 BORA UEFA
- FA TO PUNISH SUAREZ
- R.I.P: WHITNEY HOUSTON 48 DIED
- WONDERFUL: PROSTITUTES IN LUSAKA OFFER FREE SEX FO...
- TAARIFA TOKA TANESCO JUU YA MGAO UNAOENDELEA
- YALIYOAMULIWA KUHUSU MADAI YA MADAKTARI:MASHARTI W...
- The list is compiled by gathering income streams f...
- MCHANGANUO WA MATOKEO KIDATO CHA NNE: DARAJA LA KW...
- WACHORA PICHA, KUANDIKA MATUSI NA VERSE ZA BONGO F...
- FABIO CAPELLO RESIGNED TO COACH ENGLAND
- UTAFITI: NUSU YA WANAUME NCHINI NI WAGUMBA
- TAARIFA MAALUM KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI TOKA JUKW...
- KAULI NA MSIMAMO WA MBUNGE jOHN MNYIKA KUHUSU MGOM...
- MADAKTARI BINGWA MUHIMBILI WAGOMA RASMI
- BARIDI INAYOENDELEA ULAYA YAUA 300
- YASEMAVYO MAGAZETI YA SOKA ULAYA LEO.
- TERRY APOKONYWA UNAHODHA ENGLAND
- MASHABIKI 74 WAFARIKI KATIKA FUJO MISRI
-
▼
February
(35)
Popular Posts
-
Mashabiki 74 wamepoteza maisha yao jana mjini Port Said nchini Misri katika mchezo uliozikutanisha timu za Al Masry dhidi ya timu inayoongoz...
-
Before you make an attempt to stop masturbating, there’s an important issue to deal with first. This issue is important because masturbatio...
-
Facebook is a social networks that links and create friendship and networking to many people worldwide, but some of illiterate people start ...
-
Majambazi yaliyokuwa na silaha nzito yamevamia katika kituo cha mafuta cha TOTAL kilichopembeni ya Mlimani City Supermarket na kupora mamili...
-
How to Get Over a Crush: Ten Sensible Tips Things You Can do to help the situation Most everyone has at one time or another had someone th...
-
If you want to know how to your ex back and don’t know where to start, follow this simple step-by-step action plan to get your ex back. I...
-
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma(POAC) imegundua ufisadi wa kutisha uliokuwa unafanyika ndani ya Bodi ya TCRA iliyo chini ya J...
-
Perhaps you took a course on human sexuality in college. If you did, you likely remember one thing: the lecture on the female orgasm. W...
-
Manchester United na Inter Milan jana usiku zilikata tiketi za kucheza hatua ya robo fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya baada ...
OTHER BLOG LIST
Wednesday, February 15, 2012
ARSENAL KUVAA JEZI TOFAUTI LEO DHIDI YA AC MILAN
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment