WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Thursday, February 9, 2012

TAARIFA TOKA TANESCO JUU YA MGAO UNAOENDELEA

Meneja mawasiliano wa Shirika la umeme nchini Tanzania (TANESCO) Bi Badra Masoud limetoa ufafanuzi kuhusiana na matukio ya kukatika umeme yaliyolikumba jiji la Dar es Salaam kwa siku za jana na leo na kusema hilo limetokana na hitilafu katika vituo vya kusambazia umeme vya Ununio, Kunduchi, Kijitonyama pamoja na Masaki. Amesema mafundi wa umeme wanaendelea na zoezi la kuhakikisha huduma hiyo inarejea kama kawaida.

1 comment: