WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Thursday, February 16, 2012

MAJAMBAZI YAVAMIA ENEO LA MLIMANI CITY

Majambazi yaliyokuwa na silaha nzito yamevamia katika kituo cha mafuta cha TOTAL kilichopembeni ya Mlimani City Supermarket na kupora mamilioni ya pesa.
Tukio hilo limetokea mishale ya saa6 - 7 ambapo majambazi hao wakiwa na silaha nzito walifunga eneo hilo kwa milio ya risasi na kupora kiasi kikubwa cha pesa ambacho hakijathibitishwa hadi sasa na kutoweka nazo kusikoeleweka. Polisi imethibitisha kutokea kwa tukio hilo na uchunguzi unaendelea ili kuwabaini majambazi hao ambapo mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya mtu aliyejeruhiwa au kupoteza maisha katika tukio hilo.
Matukio ya ujambazi yameendelea kulitikisa jiji la Dar es Salaam huku njia sahihi ya kukabiliana nao ikiwa bado haijavumbuliwa na mara nyingi Polisi wakionekana kuzidiwa nguvu na ujanja na majambazi ambao mara nyingi huwa na silaha nzito.
Habari zaidi baadae

1 comment: